Viongozi wa mkoa wenye roho mbaya sana

Viongozi wa mkoa wenye roho mbaya sana

Wampe hela ya nini kwani alipangishwa au alikuwa namkataba na manispaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Toka lini manispaa ikakupa eneo la biashara au kilimo kwa kukodi; masharti yake huwa ni kulitumia kwa madhumuni waliyokupa.

Ni rahisi kuwatoa watanzania tu katikati ya shughuli zao bila ya fidia; ila wazungu wa Mtwara ambao eneo la shamba walibadili matumizi kinyume na sheria, shamba lenyewe wakitelekeza kwa miaka mpaka kuwa pori.

Watu hao hao kwa kushirikiana na majizi ya serikalini wameambiana kuna ndege ya ATCL Holland, wameikamata na kuvuta millions of dollars.

Hawa watoto wa maskini wanatafuta maisha, mtu anasomesha watoto wake, bills za nyumbani yeye, familia yake huko kijijini ukute ye ndio inamtegemea, kaajiri watu 40 wanaosaidia familia zao na analipa kodi zake.

Halafu unaenda mtoa tu bila ya fidia za loss of business ni uonevu.
 
Toka lini manispaa ikakupa eneo la biashara au kilimo kwa kukodi; masharti yake huwa ni kulitumia kwa madhumuni waliyokupa.

Ni rahisi kuwatoa watanzania tu katikati ya shughuli zao bila ya fidia; ila wazungu wa Mtwara ambao eneo la shamba walibadili matumizi kinyume na sheria, shamba lenyewe wakitelekeza kwa miaka mpaka kuwa pori.

Watu hao hao kwa kushirikiana na majizi ya serikalini wameambiana kuna ndege ya ATCL Holland, wameikamata na kuvuta millions of dollars.

Hawa watoto wa maskini wanatafuta maisha, mtu anasomesha watoto wake, bills za nyumbani yeye, familia yake huko kijijini ukute ye ndio inamtegemea, kaajiri watu 40 wanaosaidia familia zao na analipa kodi zake.

Halafu unaenda mtoa tu bila ya fidia za loss of business ni uonevu.
Mkataba wake wa pango unasemaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaelewa ugumu wa kuisimamisha biashara mpaka wateja wakuzoee, hasa biashara ya chakula na bar ambapo jiji la Dar kila baada ya mitaa michache kuna dining bar.

Humu watu wanaona shughuli rahisi tu kutengeneza biashara imara.

Jina lake litamsaidia hila uhalisia ni kwamba amepiga hatua kumi mbele, wamemrudisha tano nyuma; lazima alie.

Uzuri wa Shilole ni attitude yake ya ‘can do it’ atasimama tena.
Alitakiwa kufahamu siku zote kuwa jambo hili LITATOKEA siku moja na alipaswa kujipanga kibiashara kulikabili siku likitokea. Nyie ndiyo wale mnaishi nyumba za NHC miaka 40 kwa kodi ndogo ukilinganisha na uhalisia wa soko hadi maanza kujidanganya hizo nyumba ni mali zenu, halafu siku mnapewa notice muhame mnaanza kulialia mitandaoni.
 
Kapewa kiwanja tu sehemu nyingine hiyo sio fidia.

Kuna investment (wanatakiwa wampe hela yake).

Loss of business income mishahara ya wafanyakazi wake wakati wanasubiri sehemu mpya, pamoja ni income atakayopeteza.

Goodwill/Brand cost ambazo anatakiwa kutumia kulitangaza eneo jipya.

Ni hivi sio sawa kabisa, watanzania wengine treatment zao ni less favourable kushinda wengine.
Nchi lazima iende Kwa sheria na taratibu

Unajibrand kwenye open space?
 
Alitakiwa kufahamu siku zote kuwa jambo hili LITATOKEA siku moja na alipaswa kujipanga kibiashara kulikabili siku likitokea. Nyie ndiyo wale mnaishi nyumba za NHC miaka 40 kwa kodi ndogo ukilinganisha na uhalisia wa soko hadi maanza kujidanganya hizo nyumba ni mali zenu, halafu siku mnapewa notice muhame mnaanza kulialia mitandaoni.
Huu sio mjadala wa NHC hapa tunazungumzia eneo la biashara.

Kuna investment imewekwa hapo, kuna thamani ya biashara hapo physical and tangible assets.

Kuna dependants wa biashara hapo kwa
maisha yao.

Uvunji tu eneo la biashara kwa kujisikia ata kama wewe ni halmashauri, yes serikali inaweza chukua eneo lake kwa matumizi mengine lakini sheria inataka sio kufidia ardhi tu bali na assets za biashara.
 
Nchi lazima iende Kwa sheria na taratibu

Unajibrand kwenye open space?
Open space aliyopewa na serikali ikiwa dampo eneo akalisafisha kwa gharama zake na kuwekeza.

Branding (ni sehemu ya marketing) kama kila mtu anauza homogenous products/services if you don’t differentiate yourself ata kwa ubora wa huduma; you’re doomed to fail.
 
Huu sio mjadala wa NHC hapa tunazungumzia eneo la biashara.

Kuna investment imewekwa hapo, kuna thamani ya biashara hapo physical and tangible assets.

Kuna dependants wa biashara hapo kwa
maisha yao.

Uvunji tu eneo la biashara kwa kujisikia ata kama wewe ni halmashauri, yes serikali inaweza chukua eneo lake kwa matumizi mengine lakini sheria inataka sio kufidia ardhi tu bali na assets za biashara.
Are you privy to the terms and conditions za mkataba aliokuwa na Halmashauri, au unabwabwaja tu ili mradi ubishe kila hoja? Ungekuwa na busara ungekaa kimya kwa mambo usiyoyajua. Halafu hakujenga permanent structure ya simenti kwenye kile kiwanja, kitu ambacho kinaashiria alikuwa anajua pale ni temporary premises na kuna siku ataambiwa aondoke.
 
Are you privy to the terms and conditions za mkataba aliokuwa na Halmashauri, au unabwabwaja tu ili mradi ubishe kila hoja? Ungekuwa na busara ungekaa kimya kwa mambo usiyoyajua. Halafu hakujenga permanent structure ya simenti kwenye kile kiwanja, kitu ambacho kinaashiria alikuwa anajua pale ni temporary premises na kuna siku ataambiwa aondoke.
I don’t think there are secret terms on contracts which are subject to admin laws.

You do know where there is a law it remains the main contract term and no other agreement supersede that.

Moreover halmashauri aifanyi mikataba kwa utashi wao nor how they operate, they must always adhere to the law.

Make sure you know your legal staff kabla ya kuropoka.
 
I don’t think there are secret terms on contracts which are subject to admin laws.

You do know where there is a law it remains the main contract term and no other agreement supersede that.

Moreover halmashauri aifanyi mikataba kwa utashi wao nor how they operate, they must always adhere to the law.

Make sure you know your legal staff kabla ya kuropoka.
Mishahara ya Wafanyakazi, hasara na gharama zote za kuhama alitakiwa ajipange from day one alipopewa mkataba na Halmashauri. Miaka yote hii alikuwa anakula faida tu hajui kuna siku atapewa notisi ya kuhama? Akafungue kesi ya madai mahakamani kama anaona hajatendewa haki.
 
Open space aliyopewa na serikali ikiwa dampo eneo akalisafisha kwa gharama zake na kuwekeza.

Branding (ni sehemu ya marketing) kama kila mtu anauza homogenous products/services if you don’t differentiate yourself ata kwa ubora wa huduma; you’re doomed to fail.
It is an open space

Hata ufanyeje, cha kuazima hakisitiri matako

Shishi anunue eneo lake tu
 
Mishahara ya Wafanyakazi, hasara na gharama zote za kuhama alitakiwa ajipange from day one alipopewa mkataba na Halmashauri. Miaka yote hii alikuwa anakula faida tu hajui kuna siku atapewa notisi ya kuhama? Akafungue kesi ya madai mahakamani kama anaona hajatendewa haki.
Mbona ata sheria ipo wazi, si kila siku unasikia sheria inalipa fidia kwa watu inaowachukulia maeneo kwa shughuli zingine na kuwapa ardhi juu.
 
It is an open space

Hata ufanyeje, cha kuazima hakisitiri matako

Shishi anunue eneo lake tu
That’s the long term solution hasa kwa maeneo ya Kinondoni ambayo ardhi kila siku inazidi kuadimika.

But still ni haki yake kufidiwa sahihi sio kupewa kiwanja tu.
 
Inafidia mtu aliyeazimwa open space?
Wazungu waliozuia ndege Canada na Holland; kwani walikuwa wanadai nini?

Mashamba closed space?

Watu wanataka investment zao and loss of income na tunawapa millions of dollars mnakuja hapa kusifia sana serikali isiyo heshimu mikataba.

Ila Shishi hapana astahili kufidiwa.
 
Wazungu waliozuia ndege Canada na Holland; kwani walikuwa wanadai nini?

Mashamba closed space?

Watu wanataka investment zao and loss of income na tunawapa millions.
Usichanganye mada mkuu
 
👋 Shukran kwa mliochangia kwetu kumekucha.

Haki kwa Shishifood

👋
 
Kapewa kiwanja tu sehemu nyingine hiyo sio fidia.

Kuna investment (wanatakiwa wampe hela yake).

Loss of business income mishahara ya wafanyakazi wake wakati wanasubiri sehemu mpya, pamoja ni income atakayopeteza.

Goodwill/Brand cost ambazo anatakiwa kutumia kulitangaza eneo jipya.

Ni hivi sio sawa kabisa, watanzania wengine treatment zao ni less favourable kushinda wengine.
Kwani wewe ndio shishi mwenyewe au? kama alipewa tempo open space manispaa wanachukua eneo lao shida iko wap
 
Back
Top Bottom