Viongozi wa mkoa wenye roho mbaya sana

Viongozi wa mkoa wenye roho mbaya sana



Watu kama Makala na Gwonde ambao hawajai jiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi awawezi jua ugumu wa kusimamisha

Dada watu katega eneo zuri ambalo mmepa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.

Na sidhani ata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.

Mbona msiende maeneo mliyowapa wamanga na magacholi; mnabaki kuonea watoto wa maskini tu.

Japo mwenye biashara karidhika Hila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.

Ukoloni mambo leo
 
Sasa angefahamu ina maana kila mtu basi akipewa eneo inabidi mipango miji kuuliza wajameni hapa mnamipango baadae.

Manispaa kama walijua hilo neno ni reserve awatakiwi kumpa mtu kabisa.
Watanzania asilimia hawana ufahamu huo,ye akishaona kodi mseleleko basi

Watu wengi mbona wameuziwa viwanja maeneo ya makaburi nk

Ova
 
Watanzania asilimia hawana ufahamu huo,ye akishaona kodi mseleleko basi

Watu wengi mbona wameuziwa viwanja maeneo ya makaburi nk

Ova
Hapo sasa, si unaona shida ni Halmashauri sio raia.

Wamtendee haki Shishi on loss of business income kama hilo eneo wanashida nalo sana.

Sio rahisi kusimamisha biashara mpaka watu waizoee hasa kwa mtu ambae kaanzia kuuza uwani kwake.
 
Hapo sasa, si unaona shida ni Halmashauri sio raia.

Wamtendee haki Shishi on loss of business income kama hilo eneo wanashida nalo sana.

Sio rahisi kusimamisha biashara mpaka watu waizoee hasa kwa mtu ambae kaanzia kuuza uwani kwake.
[emoji1] shyshy nani bana kwani yeye ndy wa kuondolewa kwenye maeneo
Any way hyo lazima watampoza maana ni mwanaccm mwenzao

Ova
 
Plan ya siku nyingi sana hiyo hapo
Aache ubahiri kama kadhamiria kufanya biashara na brand anayo statute sehemu ya uhakika sasa

Ova
Ndugu biashara ya services (chakula, kinyozi, fundi garage, etc) sio brand tu na eneo lenyewe, wateja wa kila siku pia muhimu.

Nchi zingine ukiwa na mgahawa ukauza, jamaa anaenunua sehemu ya makubaliano atakwambia usifungue biashara ya aina hiyo eneo lenye radius ya mile mbili kwa sababu anaelewa wateja pia wanamzoea mwenye biashara.

So ukiwa karibu chances yeye kanunua eneo tu sio biashara na ndio msingi wa goodwill kwenye biashara ni thamani ya wateja biashara inayokuachia.

Sasa kumpa mtu eneo jipya anaenda anza upya huko nako kutakuwa na migahawa mingine afanye kazi ya kuiba wateja wao kwa kujitenga a upya.
 
Ndugu biashara ya services (chakula, kinyozi, fundi garage, etc) sio brand tu na eneo lenyewe, wateja wa kila siku pia muhimu.

Nchi zingine ukiwa na mgahawa ukauza, jamaa anaenunua sehemu ya makubaliano atakwambia usifungue biashara ya aina hiyo eneo lenye radius ya mile mbili kwa sababu anaelewa wateja pia wanamzoea mwenye biashara.

So ukiwa karibu chances yeye kanunua eneo tu sio biashara na ndio msingi wa goodwill kwenye biashara ni thamani ya wateja biashara inayokuachia.

Sasa kumpa mtu eneo jipya anaenda anza upya huko nako kutakuwa na migahawa mingine afanye kazi ya kuiba wateja wao kwa kujitenga a upya.
Akaze buti huko huko atapata eneo lingine la wazi

Ova
 
Kitu cha afya wameona kinafaa shishifood tu katika hilo eneo.

Kwanini wasingempa eneo aanze biashara ndio wamuondoe.

Unampa mtu notice ya siku tatu na eneo hiyo miezi ambayo biashara aifanyi kazi wafanyakazi wake wanakula wapi na familia zao.
We nawe ulivyoshikiria " wafanyakazi wake watakula wapi"?!

Au ww ni miongoni mwa wafanyakazi wa shishi food, Jambo dogo tu unataka kulikuza wkt mwenyewe kalidhika.

Kama hamna kwa kula nendeni kwa makala au gondwe mkale makwao[emoji3061]
 
We nawe ulivyoshikiria " wafanyakazi wake watakula wapi"?!

Au ww ni miongoni mwa wafanyakazi wa shishi food, Jambo dogo tu unataka kulikuza wkt mwenyewe kalidhika.

Kama hamna kwa kula nendeni kwa makala au gondwe mkale makwao[emoji3061]
Sikiza nini mtu anacho kusudia kusema sio lazima maneno yanayomtoka.

Sana sana Shishi alichosema ‘hewala si utumwa’ anachonifurahisha ni attitude yake ya vita mbele ili nalo litapita.
 


Watu kama Makala na Gondwe ambao hawajajiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi hawawezi kujua ugumu wa kusimamisha biashara kutoka mchangani.

Dada wa watu katega eneo zuri ambalo mmempa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.

Na sidhani hata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.

Mbona msiende maeneo mliyowapa wamanga na magacholi; mnabaki kuonea watoto wa maskini tu.

Japo mwenye biashara karidhika ila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.
Mwenye biashara hajaridhika ila imembidi tu akubaliane na matokeo kwakuwa makala na Gondwe ndio serikali ilio mpa eneo na sasa inamnyang'a baada ya kuona ameipendezesha [emoji848][emoji853] eti zahanati inajengwa... Dah huu uonevu kabisa bora wangempa kwa mkataba kuliko hivyo.
 


Watu kama Makala na Gondwe ambao hawajajiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi hawawezi kujua ugumu wa kusimamisha biashara kutoka mchangani.

Dada wa watu katega eneo zuri ambalo mmempa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.

Na sidhani hata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.

Mbona msiende maeneo mliyowapa wamanga na magacholi; mnabaki kuonea watoto wa maskini tu.

Japo mwenye biashara karidhika ila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.

Umewasahau wengine,,,,


Watu kama Makala na Gondwe ambao hawajajiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi hawawezi kujua ugumu wa kusimamisha biashara kutoka mchangani.

Dada wa watu katega eneo zuri ambalo mmempa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.

Na sidhani hata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.

Mbona msiende maeneo mliyowapa wamanga na magacholi; mnabaki kuonea watoto wa maskini tu.

Japo mwenye biashara karidhika ila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.

Umewasahau wengine,,,,,,,mbon wengi?????
 
Back
Top Bottom