Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Sheria ipi ?Huu sio mjadala wa NHC hapa tunazungumzia eneo la biashara.
Kuna investment imewekwa hapo, kuna thamani ya biashara hapo physical and tangible assets.
Kuna dependants wa biashara hapo kwa
maisha yao.
Uvunji tu eneo la biashara kwa kujisikia ata kama wewe ni halmashauri, yes serikali inaweza chukua eneo lake kwa matumizi mengine lakini sheria inataka sio kufidia ardhi tu bali na assets za biashara.
Hizi ni domestic and local governed by LGABecause you think land usage contract terms for business purposes are different in Tanzania; yet they derive from the same law.
Atafute ardhi yake👋 Shukran kwa mliochangia kwetu kumekucha.
Haki kwa Shishifood
👋
Amelia sana.Msilize vizuri kashukuru kwa kusadiwa kupata eneo mbadala
Nimeguswa!, so emotional chozi melenga lenga Shishi alivyo break!, it's human!.
Watu kama Makala na Gondwe ambao hawajajiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi hawawezi kujua ugumu wa kusimamisha biashara kutoka mchangani.
Dada wa watu katega eneo zuri ambalo mmempa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.
Na sidhani hata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.
Mbona msiende kwa vigogo wacheni kuonea watoto wa maskini tu.
Japo mwenye biashara karidhika ila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.
Lile ni eneo la serikaliKituo cha afya wameona kinafaa shishifood tu katika hilo eneo.
Kwanini wasingempa eneo aanze biashara ndio wamuondoe.
Unampa mtu notice ya siku tatu na eneo, hiyo miezi ambayo biashara aifanyi kazi wafanyakazi wake wanakula wapi na familia zao.
Watanzania ni watu wa kudandia sana. Mtu kaweka biashara eneo la serikali.Mbona mwanzo alipokuwa block41 alihama baada ya eneo alilokuwa anafanya biashara kuuzwa
Hebu mshauri atafute sehemu ya uhakika,asipende maeneo ya mterezo
Ova
Ndio watanzania walivyo.Mbona ni kitu Cha kawaida tu hiki? Mnapenda kukuza mambo sana Yale Yale ya Dr Kimario na KKKT
Kampe fidia wwHaki itendeke wampe fidia sahihi za kuondoa biashara sio kiwanja tu. Yaani maeneo yote ya Kinondoni Zahanati wameona itafaa kuwekwa shishifood tu.
Mkuu sio lazima umjibu kila mtu, angalia uzito wa swali kisha jibu.Utaumiza ubongo.Siongelei kwa sababu nani anaondolewa hila ethics of the removal ndio shida.
Halafu mie sio mtaalamu wa kodi nimesoma accounting tu kumaliza taxation ni sehemu ya course.
Mtaalamu wa kodi ni accountant, ana professional qualification (ACCA or whatever), amefanya kazi kwenye eneo la kodi kwa miaka zaidi ya tano.
Baada ya hapo kaenda tena kusoma masters ya sheria za kodi, kuna mitihani mingine ya kufanya baada ya masters; ndio unakuwa qualified tax accountant nchi za wenzetu.
Haya majadiliano yetu ya kodi JF ni basic tu. Hila kuitwa mtaalamu kwa viwango vya huku kijijini kwetu bado sana.
Eneo la umma hilo, msijitoe ufahamuUkoloni mambo leo
Kwa nini walimruhusu kujenga open space? Huo ni udhaifu wa Watendaji wa Serikali.Huna msikilize vizuri kasema kunajengwa kituo cha afya na yeye akikuwa open space ya manispaa temporary hilo eneo kinapanuliwa kituo cha afya
Hao unaowalaumu ndiyo kwa utu wamemtafutia eneo mbadala
Unajua eneo ni la manispaa
Gondwe sio Mlokole kweli mbona anafanya ushetani huu?
Watu kama Makala na Gondwe ambao hawajajiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi hawawezi kujua ugumu wa kusimamisha biashara kutoka mchangani.
Dada wa watu katega eneo zuri ambalo mmempa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.
Na sidhani hata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.
Mbona msiende kwa vigogo wacheni kuonea watoto wa maskini tu.
Japo mwenye biashara karidhika ila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.
kama karidhika shida yako ni nini?yeye kaangalia maslahi mapana ya wananchi wenzake,pia huenda umekurupuka tu kuandika hayo.je unajua mazungumzo yao yakoje na kama kaahidiwa kujengewa kwingine je?kama hatuna cha kuandika tusome yaliyoandikwa na wengine.
Watu kama Makala na Gondwe ambao hawajajiajiri maishani mwao miaka yote wanaishi kwa jasho la walipa kodi hawawezi kujua ugumu wa kusimamisha biashara kutoka mchangani.
Dada wa watu katega eneo zuri ambalo mmempa wenyewe, ameweka hela yake, ameitumia nguvu ku-brand biashara leo imekuwa imara mnamwambia avunje muweke zahanati.
Na sidhani hata kama wamempa fidia ya investment zake wala compensation on loss of business.
Mbona msiende kwa vigogo wacheni kuonea watoto wa maskini tu.
Japo mwenye biashara karidhika ila sio sawa kabisa nchi yetu wote hii.
Je BIASHARA hiyo aliweka mwenyewe baada ya kuona eneo lipo wazi au alipewa?Watanzania ni watu wa kudandia sana. Mtu kaweka biashara eneo la serikali.
Serikali imeamua lichukua anakimbilia mitandaoni kutaka huruma za watu