Kama serikali inajua kuna mabaya walifanya kwanini wasihukumiwe kama Kweli wanahatiaTuombe Allah kuwa walioachiwa sio magaidi. Lakini nashangaa sana wanaolalamika kuwa wamekukaa rumande muda mrefu, as iff ni wao tu ndio wameka rumande muda mrefu na hakuna wengine, na wanalalamika asi if serikali imewaweka kizuizini bila sababu yoyote. Kama serikali ingeweka kila kitu hadharani kutokana na habari za kiitenijensia ilizonazo nadhani maoni ya watu yangekuwa tofauti kabisa.
Wengine waliokaa ndani miaka 9 bila kesi zao kutajwa ni akina nani, wataje wasaidiweTuombe Allah kuwa walioachiwa sio magaidi. Lakini nashangaa sana wanaolalamika kuwa wamekukaa rumande muda mrefu, as iff ni wao tu ndio wameka rumande muda mrefu na hakuna wengine, na wanalalamika asi if serikali imewaweka kizuizini bila sababu yoyote. Kama serikali ingeweka kila kitu hadharani kutokana na habari za kiitenijensia ilizonazo nadhani maoni ya watu yangekuwa tofauti kabisa.
Ila watahadharishee..wakianza yale mahubir yao ya alshababii, hizbollah na Hamas wanarudi ndani asubuh kweupeee..hatutaki upuuz puuz kwenye nchi yenye kila aina ya dini..huku wengine wakijipambanua kuwa dini yao ndio ina haki na kutaka sharia itawale hata wale ambao haiwahusu..Baada ya miaka karibu ya Kumi ya dhulma unyanyasaji usio wa haki uliokuwa unafanywa na wakoloni wanaotutawala dhidi ya ndugu zetu wasio na hatia Leo kwa mara ya kwanza baada miaka Kumi wameweza kuungana na familia zao na kunusa harufu ya Hewa Safi
Jee wakoloni watawapa fidia ya DHULMA waliowafanyis?
Tusubiri
Jazakumullah alaikh, Unyanyasaji huu haikuwa stahili yao.Tuombe Mungu iwe kweli maana kukaa mahabusu kwa miaka 9 sio haki kabisa na ni ukiukwaji wa katiba na haki za binadamu.
Ebu tusaidie kutujilisha ili tupate kufahamTuombe Allah kuwa walioachiwa sio magaidi. Lakini nashangaa sana wanaolalamika kuwa wamekukaa rumande muda mrefu, as iff ni wao tu ndio wameka rumande muda mrefu na hakuna wengine, na wanalalamika asi if serikali imewaweka kizuizini bila sababu yoyote. Kama serikali ingeweka kila kitu hadharani kutokana na habari za kiitenijensia ilizonazo nadhani maoni ya watu yangekuwa tofauti kabisa.
Hakuna watanzania wenye sura kama zilee..wale ni walowezi tuu wa oman, yemeni na kwinginekoo..ni vizuri aisee, kwa maana wameteseka sana watanzania wenzetu,bora waungane na familia zao, Tanzania hakuna ugaidi Wala upuuzi wa ugaidi, Nchi yetu Ni Taifa lenye amani, amani ambayo Ni zao la umadhubuti wa vyombo vyetu vya ulinzi, na sisi wenyewe pia kiasili si watu wa Shari
Labda sheghee pondaa ndo mtanzania..ni vizuri aisee, kwa maana wameteseka sana watanzania wenzetu,bora waungane na familia zao, Tanzania hakuna ugaidi Wala upuuzi wa ugaidi, Nchi yetu Ni Taifa lenye amani, amani ambayo Ni zao la umadhubuti wa vyombo vyetu vya ulinzi, na sisi wenyewe pia kiasili si watu wa Shari
Taarifa za kiintelijensia ambazo wameshindwa kuwafikisha nazo mahakamani kwa miaka tisa?Tuombe Allah kuwa walioachiwa sio magaidi. Lakini nashangaa sana wanaolalamika kuwa wamekukaa rumande muda mrefu, as iff ni wao tu ndio wameka rumande muda mrefu na hakuna wengine, na wanalalamika asi if serikali imewaweka kizuizini bila sababu yoyote. Kama serikali ingeweka kila kitu hadharani kutokana na habari za kiitenijensia ilizonazo nadhani maoni ya watu yangekuwa tofauti kabisa.
Kwani kuna wengine zaidi ya hawa!?Miaka 9 bila kuhukumiwa ni muda mrefu.
Hopefully hawa sio wale waliokuwa wakichinja/wakihamashisha baadhi ya watu kuchinja wenzao na kuchoma makanisa na huu upuuzi hautajirudia tena
Ebu tujuze mkuu.Hivi mnajua walichokifanya hawa wanaojiita mashehe hadi kuwalililia?
kivip we mgogoLabda sheghee pondaa ndo mtanzania..
Rudi shule we mgogo,huna ujualoHakuna watanzania wenye sura kama zilee..wale ni walowezi tuu wa oman, yemeni na kwinginekoo..