Viongozi wangu wa Simba, ondoeni kirusi Chasambi ndani ya timu yetu, msikilizeni akimsifia Max Nzengeli na kudai Simba hakuna role model wake

Viongozi wangu wa Simba, ondoeni kirusi Chasambi ndani ya timu yetu, msikilizeni akimsifia Max Nzengeli na kudai Simba hakuna role model wake

Kaka hauko informed
Kevin de bruyne alishawahi msifia beki wa liverpool van djik ( tena admirable)
Washabiki wa man city walikuja juu ? Hapana

Marcus rashford mara kadhaa amekuwa akimsifia kevin de bruyne, alifukuzwa? Mashabiki wali mind?

Van djik at one time aliwa kumu admire erling haland wa manc city? Alifukuzwa ? Mashabik wali mind?

Harry kane akiwa totenham, ali mua dminre c.ronaldo wakati akiwa man u, wali mind? Alifukuzwa?


Ulaya yanatokea sana, na mashabiki hawapo emotional kiasi cha kumchagulia mchezaji nini cha kusema na nani wa kumpenda

Kwenye professionalism kuna wale watu wamekuzidi ,hata kama wako upande wa tofauti au pinzani but una admire na wanakuwa insparation

Haimaanish unadharau ulipo, bali unataka kufika level zile au zaidi.

Punguzeni kuwa emotional , ni ushamba
Tatizo sio kusifia, tatizo ni namna alivyowadisvalue wenzake

Alionesha dharau ya waziwazi kwa wenzie, wala shida sio kumsifia max.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Kaka hauko informed
Kevin de bruyne alishawahi msifia beki wa liverpool van djik ( tena admirable)
Washabiki wa man city walikuja juu ? Hapana

Marcus rashford mara kadhaa amekuwa akimsifia kevin de bruyne, alifukuzwa? Mashabiki wali mind?

Van djik at one time aliwa kumu admire erling haland wa manc city? Alifukuzwa ? Mashabik wali mind?

Harry kane akiwa totenham, ali mua dminre c.ronaldo wakati akiwa man u, wali mind? Alifukuzwa?


Ulaya yanatokea sana, na mashabiki hawapo emotional kiasi cha kumchagulia mchezaji nini cha kusema na nani wa kumpenda

Kwenye professionalism kuna wale watu wamekuzidi ,hata kama wako upande wa tofauti au pinzani but una admire na wanakuwa insparation

Haimaanish unadharau ulipo, bali unataka kufika level zile au zaidi.

Punguzeni kuwa emotional , ni ushamba
Angeongea mzinze kumsifia ateba ungeona poa
 
Angeongea mzinze kumsifia ateba ungeona poa
Poa kabisa, siwez mpangia mzinze nini cha kufanya, au nani ampende. Yule ni mtu mzima tena binadamu na professional football player.
Why nimapangir mtu mzima? Ni ushamba. Ulaya hawafanyi ujinga huu
 
Ladrack Chasambi leo amehojiwa na mwandishi na akaulizwa ni mchezaji gani kwake ni role model, yeye kwa kujiamini akauliza ndani ya timu yangu au kokotę, akaambiwa ndani ya Simba akasema hapana, akasema role model wake ni Mac Nzengeli.

Sasa Chasambi wewe kwa mpira gani uliokuwa nao hadi leo unasema ndani ya Simba huna role model.

Uongozi wangu wa Simba Chasambi hana uwezo wowote, amejiona yeye tayari ni mtu na nusu, mpelekeni Geita Gold huko akasifie wachezaji wa Yanga.
.
 
downloadfile-95.jpg
 
Huyo keshalewa sifa.
Halafu Simba wanamtoa Kabaraka kwa mkopo.
Balua anawekwa benchi.
 
  • Thanks
Reactions: K11
Poa kabisa, siwez mpangia mzinze nini cha kufanya, au nani ampende. Yule ni mtu mzima tena binadamu na professional football player.
Why nimapangir mtu mzima? Ni ushamba. Ulaya hawafanyi ujinga huu
Umeona kijana wenu kawabeba
 
Back
Top Bottom