Visa vya Uchawi na Ushirikina Mkoani Kigoma Mwisho wa Reli

Huwa sina muda wa kubishana na wapumbavu au washamba. Kuna watu wanatafuta uzi wa kutokea/kufahamika.ukisoma tu texts za jamaa unagundua ni mshamba flani hivi anayetaka kuonekana mjanja.
daah sasa vipi hiyo laki tunaiacha hv hv
 
Mlikuwa wote wapangaji au yeye ni mwenye nyumba?
Alikua mpangaji kama Mimi tuu na Tena alinikuta yaani Mimi ndiye wakwanza kupanga kwenye Lile Banda, pia nilisahau kitu kimoja
Yaani yule mama alikuwa muda woote kavaa maijabu kuonyesha Dini imemkaaa lakini Kumbe ni Simba ila kavaa ngozi ya kondooo
 
Huwa sina muda wa kubishana na wapumbavu au washamba. Kuna watu wanatafuta uzi wa kutokea/kufahamika.ukisoma tu texts za jamaa unagundua ni mshamba flani hivi anayetaka kuonekana mjanja.

Toa jina it's that simple. Udiwani ni public office therefore there names are public record. Acha kudanganya watu na story za kusadikika.
 
Mh! Hii chai hii
Mkuu ukitaka Mimi nawewe tukutane nikupeleke pale kwenye ile nyumba na ujaribu kuuliza story yake kwa7bu naye alishahma pale, mkuu mpka sasa nahangaika kuyanasua mauchawi aliyonifanyia kwani alidhamiria kunifanya niwe chizi.

Usiombe yakukute mkuu na nimejifunza usipende kutoa Siri za watu kwani ilifika kipindi Hadi mwanae aliniambia yakwamba mdomo wangu umeniponza
 

Ulitakiwa utafute mwenyeji ulale nae wewe mgeni unalala peke yako kibondo mtakuja kufa kizembe, haukuulizwa unataka mwenyeji?
 

Hua ni story tu hizo mimi binafsi hua siziamini kabisa
 
Mkuu sasa kwenye hiyo laki tano si unitolee na mimi ten

Mkuu I will gladly do so. Huyu muuza hii chai atoe jina tu.

Ilibidi aambatanishe jina la Mh Diwani kwenye uzi bila sisi kuulizia ila sasa anaficha tena kwa malipo kama sio chai ni nini?

Namshangaa zaidi anayeamini hii chai kuliko mtunga chai mwenyewe Chizi Maarifa
 
Unatumia Ids mbili uje uwatapeli watu.... Unakuja ji support mwenyewe.....huu ujanja wa zamani sana.🤣🤣🤣🤣🤣 Hivi bado unapata mademu kwa style hii? Washamba labda.

Umewahi kusikia wapi jina la diwani linafichwa 🤣 🤣

Mitanganyika kama nyie inabidi mlipe tozo ya uzwazwa
 
Ungekuwa una Imani ningekushauri ukaombewe ila ndio huna Basi tena
 
Hahahahah sasa kumbe unaringa sababu uko New York mzee! Huko watu wako busy na maisha nani ana muda wa kufuatilia umekula nini ama umefanya nini cha maendeleo yako binafsi?
hii pimbi inaleta ujuaji kisa ipo NYU York pambaf kabisa aje huku Nyumbanitu ajifunze mavitu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…