Vita kati ya majangili na askari wa hifadhi za wanyama pori

Yani natamanigi Sana mazali kama haya yakukutana na majangili porini huko tena usiku. Huo mkono nitakaoutembeza maamaeee nitaacha historia na alama ya kudumu. Asante mleta mada Lazima sasa hivi nizame chaka niitendee haki black belt yangu.
Ebooooooooh [emoji849][emoji849][emoji849]
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Nyati msikie tu, bora ukitane na pride ya simba ila sio nyati nakumbuka miaka hiyo nilipokuwa nafanya tafiti katika mbuga ya Serengeti ile wakati wa kufanya darting kuna mzungu mmoja alikoswa koswa kupigwa pembe..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hawa watu wa game kukukuta umebanika nyama porini na wao kukubanika Kama ulivyokuwa umebanika nyama hawaoni taabu kabisa!
Duuuuuuuh [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
hao asikari uchwara wa wanyama pori wana roho mbaya sana na wana hamu ya kuua binadamu wenzao nakumbuka kuna wengine tulikuwa tunaishi nao nyumba moja walikuwa wakitukata macho mabaya bila sababu ikabidi tuwahamishe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuuuuh.
 
Usiombee ukutane na mziki wa askari wa wanyama pori,polisi wa uraiani cha mtoto

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Vita yao sio ndogo kabisa, ila kwa uchawi jamaa wapo vizuri, ogopa kuna mtembea na fimbo tu na akipotea ni kapotea kweli kweli
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio kwa nyati mpweke binadamu anasubjri sana huyo kiumbe ni bora ukutane na kundi lao ila sio nyati mmoja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na wao wanakua na stress? Nimecheka sana lol
 
Duuuuuh [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Unazijua zile pikipiki Sanlog sijui hizi ambazo town zinatumika kubebea mkaa? Achana na TVS na Boxer. Hizo Sanlg ni gari inapanda popote ile pikipiki tumezikamata sana porini jangili anakimbia anakuachia haina hata side mirror.
 
Ukikutwa na nyama ya swala ni uhujumu uchumi jela miaka mingi kweli??. Yaani Afrika, Arusha nyama ya swala ni kosa. Ndio maana hayati John Pombe aliwaita mabeberu, yaani sheria zao ziwe mpaka huku.
Had Songea pia, nyama ya swala, mbalapi, ngiri, ngorombo, nguruwe pori, ukikutwa miaka 30 jela.
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila nyie watu jaman lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…