Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyote!Malaya huponzwa na mdomo au private parts?!
Hao itakuwa wana underlying issues. Sasa kimelea kikija juu yake,kuwatibu itakuwa mtihani. Bora waaply social distance.
Ungeanzia hapa... Hayo mengine ni upuuzi tuJe serikali yake ina mikakati gani ya muda mfupi na ya muda mrefu kukabiliana na kusambaa kwa Covid-19?
Je serikali yake ina mikakati gani ya kuwakinga wahudumu wa afya dhidi ya maambukizi ya Covid-19?
Je serikali yake ina mikakati gani ya kuboresha miundombinu, vifaatiba na huduma muhimu kwenye hospitali za umma?
Je serikali yake ina mikakati ipi ya kutoa nafuu ya kiuchumi kwa wananchi ambao hali zao zinazidi kuwa tete??
😂😂😂😂😂Vyote!
Sawa... Ni upuuzi je una majibu yake??Ungeanzia hapa... Hayo mengine ni upuuzi tu
Kunywa maji mkuu utakufa na stress kwa wivu!!Magufuli hadhi yake ni katibu tarafa au mwenyekiti wa kijiji ndiyo maana ameona Bora arudi kwao kijijini Kwenye hadhi ya kazi zake
hahahhahaBahati nzuri sn ni kwamba saaizi wote tukiukwa tunatibiwa hapa hapa!!!
Lazima dole lipite kwako!Majaliwa ndo Falcao wetu,ndo Lewandowski wetu kwa sasa.
Una matatizo wewe sio bure. Relax ❤😘.I think you need a hug.Lazima dole lipite kwako!
Na yeye yupo kwake huko Chato anafanya kama wewe.Mimi nipo nyumbani...
Nina kaa karibu na wale nilio na dhamana juu yao... Familia yangu! Najikinga na nawakinga vile vile!!
USITUTISHE !....Funga mdomo wako wewe malaya mkubwa utakuponza!
Umeenda magogoni au dom ukamkosa? Au unataka afanye kazi live kwenye tv ndio ujue yupo afisini?Ndiyo! Where is Mr. President?
Mwenye habari kamili za alipo rais wa Tanzania atujibu haya maswali...
Anafanya nini huko alipo?
Je, yupo karantini au self lockdown?
Je, anaumwa? Kama ndiyo anaumwa nini?
Kama haumwi je yupo likizo? Kama ndiyo je ni unpaid leave?
Kama hayupo likizo je ni lini atarudi ofisini?
Je serikali yake ina mikakati gani ya muda mfupi na ya muda mrefu kukabiliana na kusambaa kwa Covid-19?
Je serikali yake ina mikakati gani ya kuwakinga wahudumu wa afya dhidi ya maambukizi ya Covid-19?
Je serikali yake ina mikakati gani ya kuboresha miundombinu, vifaatiba na huduma muhimu kwenye hospitali za umma?
Je serikali yake ina mikakati ipi ya kutoa nafuu ya kiuchumi kwa wananchi ambao hali zao zinazidi kuwa tete??
Mierda. Wewe form four for four years fighting for food huniogopeshi hata kitogo. Again Tanzania hatuna Rais. Falcao wetu ni Majaliwa.Okay let wait and see! Endelea kusema hakuna Rais TZ!
Wise spoken and this is the fact. why niwe mnafiki wakati huu ndo ukweli. The guy is useless he is just good of memorising cooked data. werevaaaaMierda. Wewe form four for four years fighting for food huniogopeshi hata kitogo. Again Tanzania hatuna Rais. Falcao wetu ni Majaliwa. Majaliwa ndo Rais wetu kwa sasa. Mwamba wa kusini kakubali kuibeba Tanzania hata kama sie yeye aliegombea uraisi 2015.
Hiyo kitu hatari. Ina meno kama vipini vikifika mapafuni ni kudonoadonoa tu inflict pain and causing devastating damage on victims orgs living the dying an agonising death.Chezea covid 19 wewe ? Aisee chezea kitu kingine bwa shee