Vita ya marafiki ni kali sana kwenye mafanikio kuliko mtu baki

Rahisi Sana kuandika hivi ukiwa uko kwenye amani au mda ambao changamoto ya kuhitaji msaada wa watu ijakufiks
Mkuu aisee umejua nimekua desperate namna gani halafu nina marafiki matajiri kabisa sikuwafata.
Nilifata tuliokua karibu hasa niliowahi kuwasaidia..
!
 
Nadhani ni busara kumwambia pia kuwa akisaidia mtu asitegemee kurudishiwa wema!! Hii itamisaidia kujua kuwa kwemue mapambano ya utafutaji yupo alone na kama misaada si ya kutegemea hata kama uliowasaidia wanakuona ukitaabika.
Ni kweli hii nimejifunza halafu boss...msaada na deni ni sawa...au msaada na kukopeshana?
 
We ushatapeliwa........yaani upate dili kwa kutoa dili? Ulisikia wapi?

Ndugu yangu kabisa alinipigia simu akiniambia kuwa Kuna Mchongo wa Uteuzi wa kuwaAfisa Elimu Wilaya fulani. Ila mchongo wenyewe inabidi utoe 1M ya Chapu chapu so Jamaa yangu anataka nimpige Tafu 500k.

Kwa sisi watoto wa shamba tunajua kabisa huo ni Utapeli 100%.

Aidha anataka kunitapeli mimi au Yeye anaelekea kutapeliwa.

Ile pesa nilikuwa nayo sikumpa na nilimuona ni mjinga.
 
Ukishakuwa mwanamume kumbuka hili;

No one cares about your struggles, pain or hustles, they only care about your SUCCESS

Sasa wewe pambania hapo kwenye SUCCESS
Ni kweli kabisa mkuu, ukiwa unatafuta unapitia mengi sana kuna muda unaanguka, unaumia na hakuna wa kukujali. Wewe ndio msaada wako pekee usiposhtuka ukaendelea na mapambano hakuna atakaefanya hivyo kwa ajili yako.
 
Siwezi kuweka kila kitu...ila ungekua unafanya biashara ungeelewa kwa watu wa supply wanajua naongea nn...!
Ila kesho namaliza mchezo mkuu...

Sijisifii...ila kunitapeli mm ni ngumu sana...! Ngumu niamini!
 
Yaaap unajua hii ni sawa kabisa...
Hili nimeliweka...
Nimepitia mengi kwenye ishu za hela uzuri nilishajifunza mapema cha mtu sio changu na sina haki nacho including marafiki. Huwa nilivyo msiri wa mambo yangu naamini kwa wengine nayo ni hvyo hivyo, nikikwama kifedha na nikakosa msaada kwa walionizunguka nnaamini pia hata wao ni watu kama mimi, naelewa hali zao huenda na wao wanapitia hali fulani ni vile hawajaamua kuweka wazi.
 
Sasa si ndio maana ameumia kwasababu yeye ameshaliwa sana, lakini yeye hajawala wenzie, ilipokuja muda wa yeye kuwala wenzie wakamtosa.

Anachokilalamikia huyu ndugu, kibinadamu muelewe tu. Ukweli ni kwamba nikipata shida lazima niwacheki wale ambao nao huwa wananicheki wakipata shida, ikienda tofauti lazima niquestion kama ni watu sahihi. Ndicho kilichompata huyu ndugu yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…