Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

Khaaaah kwahiyo unakataa hakuna watu walio zaliwa na hormonal imbalances? Mbna unashangaza wee, sasa km huko ulikokaa hawapo bas sehemu zingine wapooo.

Na hata huko ulikokaa bado piaa kuna sehemu wapoo wee hujakaa kila eneo ktk hizo sehemu, so hoja yako haina mashiko..

Hili suala la kuhisi watu na kuwatuhumu ni hatari litakuja kupita na wasio husika, watu watatumia km kisasi na chukiii.

Haikubaliki hii.

Kama upo Dar naomba tuonane unionyeshe ambaye amezaliwa na homoni imbalance
 
Khaaaah kwahiyo unakataa hakuna watu walio zaliwa na hormonal imbalances? Mbna unashangaza wee, sasa km huko ulikokaa hawapo bas sehemu zingine wapooo.

Na hata huko ulikokaa bado piaa kuna sehemu wapoo wee hujakaa kila eneo ktk hizo sehemu, so hoja yako haina mashiko..

Hili suala la kuhisi watu na kuwatuhumu ni hatari litakuja kupita na wasio husika, watu watatumia km kisasi na chukiii.

Haikubaliki hii.
Hakuna gay genes. Na wala hormonal imbalance haisababishi Homosexuality, ila inasababisha hulka ya jinsia tofauti, sio hamu ama ushiriki wa mapenzi ya Jinsia moja. Utafiti unaonyesha.


Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
 
Us
UshoshLabda nithibitishe kwanza, mimi napendelea sana maamuzi yanayofuata sheria ambazo zimewekwa - rules based orders.

Nimesikia kuna hawa wanamitindo wamewekwa kizuizini na mahakama kuamuru wakapimwe kama ni mashoga.

Sina ubaya na hilo kwasababu na mimi sisupport vitendo vya ushoga. Ila ambacho ningependa kujua ni kuhusu hayo mamlaka na nguvu ya mahakama kwenye vifungu vya sheria kuamua mtu apimwe kama yeye ni shoga pasipo idhini yake.

Nimeuliza hivo kwasababu, tusipokuwa makini, hii kitu inaweza kutumika kufanya defamation na character assassination.

Imagine leo hii mtu unafanya kazi ya maana na unakutana na watu wengi, unaheshimika na ukoo wako, halafu from no where unasikia kwamba umewekwa lock up kwamba ukapimwe kama wewe ni shoga. Halafu inagundulika kwamba sio kweli. Unadhani utachafuka kiasi gani?

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hili. Kwa wanasheria Pascal Mayalla na wengineo embu tunaomba ufafanuzi kwenye hili.

Mi sio mwanasheria ila, nina guts feeling kwamba kuna kitu cha kisheria hakijakaa sawa hapa.

Labda nithibitishe kwanza, mimi napendelea sana maamuzi yanayofuata sheria ambazo zimewekwa - rules based orders.

Nimesikia kuna hawa wanamitindo wamewekwa kizuizini na mahakama kuamuru wakapimwe kama ni mashoga.

Sina ubaya na hilo kwasababu na mimi sisupport vitendo vya ushoga. Ila ambacho ningependa kujua ni kuhusu hayo mamlaka na nguvu ya mahakama kwenye vifungu vya sheria kuamua mtu apimwe kama yeye ni shoga pasipo idhini yake.

Nimeuliza hivo kwasababu, tusipokuwa makini, hii kitu inaweza kutumika kufanya defamation na character assassination.

Imagine leo hii mtu unafanya kazi ya maana na unakutana na watu wengi, unaheshimika na ukoo wako, halafu from no where unasikia kwamba umewekwa lock up kwamba ukapimwe kama wewe ni shoga. Halafu inagundulika kwamba sio kweli. Unadhani utachafuka kiasi gani?

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hili. Kwa wanasheria Pascal Mayalla na wengineo embu tunaomba ufafanuzi kwenye hili.

Mi sio mwanasheria ila, nina guts feeling kwamba kuna kitu cha kisheria hakijakaa sawa hapa.
Ushoga ni kosa la jinai kwa sheria za Tz, yaani mtuhumiwa wa uhalifu lets ujambazi au ubakaji atoe idhini ya kukamatwa au kuchunguzwa au kupimwa finger prints au DNA!!!!!! Itakuwa ni pwagu na pwaguzi ridiculous! Watuhumiwa wa ushoga ni kama watuhumiwa wa uhalifu wowote ule wa jinai lazma wapimwe chochote kile kupata ushahidi.
 
Hata km nisinge kuwepo Dar, hao watu wapoo na tuna waonaa.

Hakuna kitu kama hicho kisayansi. Ushoga ni Tabia kama wizi, uzinzi, udokozi, n.k.

Sijui kama unaelewa unachokisema, Kwa hiyo Wezi, au wazinzi, au wabakaji, au wachoyo nao wajitetee kuwa ni homoni imbalance?

Wazungu wanakudanganyeni na ninyi mnaingia kingi.
Ushoga ni uamuzi wa mtu ambao mtu anaweza kuacha au kulazimishwa kuacha.
Ushoga pia unaweza Kutokana na mazoea ya vitendo vya kuingiliwa kinyume na umbile na kumfanya MTU aathirike kisaikolojia.

Ni kama vile Punyeto, alafu useme Punyeto nayo NI homoni imbalance, embu kuwa Serious kidogo
 
GOOD NEWZ!!!

Noel na Kelvin wameachiwa huruuuuu,
David aliachiwa tangu janaaa.

Ahsantee Jah kwa

Mkuu
Mahakama ndiyo chombo pekee chenye kutoa amri za kisheria.

Labda katika ile hati ya amri ya mahakama ya kuwapima uimara wa marinda watuhumiwa waliofikishwa mbele yake hawwkuweka vifungu kubackup ile agizo. Lakini kisheria Mahakama ina uwezo wa kuamuru upimwe bila ridhaa yako.

Watakuja wenye vifungu hapa lakini nadhani tuangalie kwa kina, kwa nini mabasha hawaguswi? Je wanatambuliwaje bila kukutwa kwenye tukio?

Sheria ina vikona kona vingi vinavyohitaji Mahakama kuvitafsiri.
Polisi ndiyo chombo pekee chenye mamlaka ya kuchunguza uhalifu na wahalifu. Ikiwemo kupekua sehemu za siri na kupeleka kwa wataalam washukiwa wakapimwe sehemu za siri.
 
Ukiona mpaka unafanyiwa hayo ina maana umejigamba na matendo yako...
 
GOOD NEWZ!!!

Noel na Kelvin wameachiwa huruuuuu,
David aliachiwa tangu janaaa.

Ahsantee Jah kwa
Koma kutaja jina la Mungu ktk dhambi alizosema anazichukiaaaa na akashusha moto kabla ya judgment day, kuachiwa na polisi haimaanishi upo huruuuuuu! Either umepewa dhamana na uchunguzi unaendelea, anytime unapelekwa mahakamani ukapigwe miaka 30 jelaaaaa!
 
Koma kutaja jina la Mungu ktk dhambi alizosema anazichukiaaaa na akashusha moto kabla ya judgment day, kuachiwa na polisi haimaanishi upo huruuuuuu! Either umepewa dhamana na uchunguzi unaendelea, anytime unapelekwa mahakamani ukapigwe miaka 30 jelaaaaa!
Dhambi anayo ichukia ni hiyo tyuuh? Mbna zipo nyingii? Na kwann sahiv mamlaka wanakua nayo wanadamu? Huyo Mungu kwanini asishushe moto sahivi?

Badalaa wawe buzzy na mambo ya msingi, wao kutaka kunyanyasa na kuwabughuzi wasio na kosa, ili kikundi Fulani cha watu kifurahiii.

Maajabu haya, Lol.
 
Hakuna kitu kama hicho kisayansi. Ushoga ni Tabia kama wizi, uzinzi, udokozi, n.k.

Sijui kama unaelewa unachokisema, Kwa hiyo Wezi, au wazinzi, au wabakaji, au wachoyo nao wajitetee kuwa ni homoni imbalance?

Wazungu wanakudanganyeni na ninyi mnaingia kingi.
Ushoga ni uamuzi wa mtu ambao mtu anaweza kuacha au kulazimishwa kuacha.
Ushoga pia unaweza Kutokana na mazoea ya vitendo vya kuingiliwa kinyume na umbile na kumfanya MTU aathirike kisaikolojia.

Ni kama vile Punyeto, alafu useme Punyeto nayo NI homoni imbalance, embu kuwa Serious kidogo
Kumbe ulikurupukaaaa na hukunielewaaaa, narudia tenaa kasome comment ya kwanza nilio kupinga afu ndo uje tujibizane tenaaa.

Tatizo hukusomaa na kuelewa ila ukakurupukaaaa tyuuh.
 
Hakuna gay genes. Na wala hormonal imbalance haisababishi Homosexuality, ila inasababisha hulka ya jinsia tofauti, sio hamu ama ushiriki wa mapenzi ya Jinsia moja. Utafiti unaonyesha.


Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
Sasa mie nimesemajee? Kwan kuna sehemu nimesema kuna Gay genes?? Mbna mmekurupukaa na hamkusoma comment angu na kuielewaaa??

Tatizo lenu kukurupukaa na mhemko bila kusoma kwa weledi na kutafakarii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooo.
 
Sasa mie nimesemajee? Kwan kuna sehemu nimesema kuna Gay genes?? Mbna mmekurupukaa na hamkusoma comment angu na kuielewaaa??

Tatizo lenu kukurupukaa na mhemko bila kusoma kwa weledi na kutafakarii.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kazi ipooo.
No, no, no, no. Keep it down, just relax jibu hoja, usishambulie. Unazungumzia hormonal imbalance unaihusisha na Homosexuality, kitu ambacho utafiti unakataa.

Ukija kunishambulia tena, take time ufikiri, mimi na wewe nani anakurupuka.

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
 
Kumbe ulikurupukaaaa na hukunielewaaaa, narudia tenaa kasome comment ya kwanza nilio kupinga afu ndo uje tujibizane tenaaa.

Tatizo hukusomaa na kuelewa ila ukakurupukaaaa tyuuh.

Wewe ndio umekurupuka.
Mwisho useme kuvaa mlege, kuchora tattoo, kumuoa kiduku ni ishu ya homoni imbalance.

Mwanaume kufanya Matendo ya kike kama kujilegeza, kuongea kikike, haihusiani na homoni imbalance, ni maamuzi tuu
 
Dhambi anayo ichukia ni hiyo tyuuh? Mbna zipo nyingii? Na kwann sahiv mamlaka wanakua nayo wanadamu? Huyo Mungu kwanini asishushe moto sahivi?

Badalaa wawe buzzy na mambo ya msingi, wao kutaka kunyanyasa na kuwabughuzi wasio na kosa, ili kikundi Fulani cha watu kifurahiii.

Maajabu haya, Lol.
Unapenda ku support ushoga..

utakuwa shoga, msagaji, au unanufaika na harakati za ushoga.
 
No, no, no, no. Keep it down, just relax jibu hoja, usishambulie. Unazungumzia hormonal imbalance unaihusisha na Homosexuality, kitu ambacho utafiti unakataa.

Ukija kunishambulia tena, take time ufikiri, mimi na wewe nani anakurupuka.

Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
Tatizo nnacho kizungumzia mie nahisi hamjataka kukielewa au mliamua kutoka nje ya nilicho kisema.

Mie nazungumzia suala la watu kukamatwa kwa kuhisiwa na kutuhumiwa, huyo Robert alisema ktk hili suala waende mbali zaidi wakamatwe hadi wale wanaongeaa sauti ndogo, mwendo, haiba etc.

Ndipo mie nikampinga, kuwa hiyo sio sawa, kwani kuna watu wako hivyo na wala sio mashoga, je wakifanyiwa hivyo huoni wanakua wameonewa?? Yeye ndo alikataa alisema hakuna watu wa hivyo, na sehemu zote alizokaa hajawahi kuwaona, mie nkamuambia kuwa wapo wanaume wamezaliwa na hormonal imbalances, wana sauti ya kike, miondoko, haiba, hulka, ila sio mashoga, yeye anakataa hao watu hawapo kwa kuwa yeye hajawahi waona.

Sasa mie nipohusishaa hormonal imbalances na homosexuality wapiiiii???
 
Wewe ndio umekurupuka.
Mwisho useme kuvaa mlege, kuchora tattoo, kumuoa kiduku ni ishu ya homoni imbalance.

Mwanaume kufanya Matendo ya kike kama kujilegeza, kuongea kikike, haihusiani na homoni imbalance, ni maamuzi tuu
Unachanganyaaa mambo kabisaaa, yaan unatoka nje ya nacho kizungumza mie,
Tusiende mbaliii ngoja nikupe mfano, unamfahamu Frankie maston??
 
Nayaunga mkono Mashoga,ila napinga vitendo vya wizi wa tozo na kodi vinavyofanywa na akina Mwigu na wenzake.

Kuwe na system ya kupima makoromea na matumbo ya akina Mwigulu kwanini hawashibi waingiziwe vidole kwenye midomo ili kuyapima makoromeo yao.
 
Back
Top Bottom