Vitengo vya habari viwe makini katika video na picha za Rais zinazotumwa kwa jamii

Without prejudice ingawa ilikuwa ni live lakini nahisi rais amedhalilishwa.

Tumsitiri kwenye hili
 
Alichoongea mtoa mada ni sahihi siyo kwamba hao watu hawapo ili kuwajibika ndiyo kibarua kizito kwao hawajui majukumu yao
Walipata vipi hizo nafasi za kufanya kazi ofisi nyeti kama majukumu yao hawayajui!?
 
Yaani kuna makosa na husemi???
Haya tuache hilo, hivi kwa fikra zako timamu ikulu haina wataalamu wanaozijua hizo software vyema??

Aisee unajiaibisha, hivi unadhani production zote za Rais zinafanywa na nani?
Lazima uandike kwa hasira? Umekunywa chai lkn?
 
Wewe unaetumia masaa mengi kuangalia tv tujulishe sisi tusioangalia tv Mara kwa Mara ni nini uliona .
 
Wewe unaetumia masaa mengi kuangalia tv tujulishe sisi tusioangalia tv Mara kwa Mara ni nini uliona .
Hujafahamu? Inaonekana mwalim wa std 1 akipata shida sana wakati anakufundisha jadweli
 
Sasa wanawateua watu huko upande wa media wanawaokota mitaani
Kujuana jana,unategemea nini!

Ova
 
Walipata vipi hizo nafasi za kufanya kazi ofisi nyeti kama majukumu yao hawayajui!?
Wewe unaongea kama vile huijui vizuri hii nchi kwenye maswala ya utumishi umma, nakwambia kama kuna nchi ambayo inaongoza kwakua na watumishi wengi ambao ni incompetent basi ni Tanzania.

Kila idara imejaza watu wajingawajinga tu, huko kwenye afya zimeenda mpaka division four za 28, Police ndio imejaa uozo wa failures, wanasiasa wenyewe elimu ni za kuungaunga wakiongozwa na kiongozi wao mkuu, mawaziri, wabunge na wengine wengi.

Unashangaa nini kusikia kuwa ikulu kuna watu wasiojua kutumiza majukumu yao, ikiwa kigezo cha kwanza ni kuwa UVCCM?
 
Mimi mwenyewe nnayo na siiweki humu,Acha watu waendelee kupingapinga

Ova
 
Uko sahihi ni vitu vya kawaida huwa vinatokea. Hata kwa rais wa marekani ilishatokea.
 
Marekani ndio nani? Marekani washaruhusu ushoga? Marekani isiwe role model wetu
Hata hujui ni kitu gani hadi nikasema hivyo? Maana issue za teknolojia si ndizo zimewekwa hapa kuhusu sijui adobe photoshop au malaria imepanda kichwani?
 
Kwani ikiwa recorded wewe utajua? Mbona jambo la kawaida. Hujasoma ethics za media. Utakuja humu ukiwa umejaa usingizi
 
Ile ilikuwa mubashara, wangeifuta vipi sasa?
Kwamba raisi alishindwa kusoma kilichoandikwa au kilichoandikwa hakikuhaririwa? Nashindwa kuelewa.
 
Sema ukijua vingi nayo ni shida sana, mbona me naona fresh tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…