Vitengo vya habari viwe makini katika video na picha za Rais zinazotumwa kwa jamii

Ben hajawahi kufanya ujinga kama huu
 
Kama ni hivyo, basi kumbe hata wewe #Mlabata ni mwongo na mjanja mjanja. Hata comment yako ni uongo. Hata mimi ninachoandika hapa ni uongo😭😭😭😭😭
Wote sisi...
 
Kama ni hivyo, basi kumbe hata wewe #Mlabata ni mwongo na mjanja mjanja. Hata comment yako ni uongo. Hata mimi ninachoandika hapa ni uongo😭😭😭😭😭
Nchi hii hata jumba jeupe wamechoka yan wameona hiki kituko kirushwe tuu watanzania watasahau. Hata mi ninae andika nimechoka yani
 
Zipo ktk mitandao. Wanachadema washaanza kuzitumia kwenye X

..Ssh uwezo wake ni mdogo.

..labda afungiwe ndani asionekane kabisa lakini vinginevyo lazima uwezo wake mdogo utathibitika mbele ya wananchi.

..Ssh alitakiwa awe na notes wakati akitoa taarifa ya msiba wa Mzee Mwinyi, lakini badala yake akaandikiwa neno kwa neno asome.

..Kilichotokea ni ajali ya Teknolojia ktk jitihada za kuficha uwezo mdogo wa DOKTA Ssh.

Cc Nguruvi3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…