Tuko hapa kueleweshana, sasa kama wewe unaona nimekosea unasahihisha.Itafute TJS
Niko D1 na take home yangu si NDOGO kama uliyoweka hapo,usipende kubisha kila kituWeka zako
Ooooh ok. Kumbe huna uhakika na ulichokiandika. Lakini nimeshakuwekea happy kuwa kuna watu Salary scale yao ni TJS na wanaanza na Tsh.961000/= na wapo kati ya hao uliosema hawaoni ndani kwa mwalimuTuko hapa kueleweshana, sasa kama wewe unaona nimekosea unasahihisha.
Unaposema nitafute, kwani mimi nina shida ya kutaka kutafuta.
Vitu vingine ni vya kawaida lakini unataka kujifanya sijui ni siri au mpaka ubembelezwe ndio useme.
Hao ni walimu wa Cheti au nursury au nini?Take home 331,000 . Hapa lazima ujiongeze.
Bora walimu muendelee kuteseka hivyo hivyo yani nyie na mapolisi ni watu wakuombewa mabaya muda wote ili mjue kwamba hayo 'masisiemu' mnayoyapachika hayana msaada kwenu.
Ni kweli mkuu ndio maana kuna mkubwa wao kule Wizarani aliwahi kusema salary za walimu ni kubwa kuliko kada nyingi za serikali..Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.
Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.
Mishahara ya walimu siyo midogo.
Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Hiyo si haki ni previlage ya mwajiri kulingana na bajeti kama anayo.Pengine haki ni ile annual increamentF1 ni daraja. Mtu anapanda baada ya kufanya kazi miaka kadhaa.
Yaani wale wa kwenye 419,000 wanenda kwenye 530,000 na wale wa 530,000 wanaenda kwenye 716,000 huku wale wa 716,000 ndio wanaenda kwenye 940,000.
Hii Tsh 940,000 ndio daraja la F1.
Kama huwa unasikia kuoandishwa madaraja ya watumishi ndio haya. Na kila mtumishi ana haki ya kupanda kila baada ya miaka 4.
TJS ni scale za serikali ??Ooooh ok. Kumbe huna uhakika na ulichokiandika. Lakini nimeshakuwekea happy kuwa kuna watu Salary scale yao ni TJS na wanaanza na Tsh.961000/= na wapo kati ya hao uliosema hawaoni ndani kwa mwalimu
Waliofeli shule,waliokua watukutu wakakumbana na dhahama pamoja na walionyanyaswa kingono na walimu hua hawawapendi walimu waoTatizo la watu waliokosa mamlaka
Ualimu = dekio la ccmNilikuwa Napenda sana kuwa mwl. Tena niwe nafundisha vitoto vidogovidogo vile!
Ualimu ni wito walimu walishapiga sana kelele kuhusu maslahi yao,lakini hakuna anayejali! Enzi za JK walikuwa wanaanzisha mpaka migomo, lakini hola!
Pigeni tu kazi walimu wetu, taifa linawategemea japo wanajifanyaga wanawachukulia poa, wakati mwingine wanawapeleka vishule vya huko ndani ndani ambako hata wao hawawezi kuishi,basi hata wawafikirie kuwapeni posho ya mazingira magumu hakuna[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]
Pigeni kazi tu na kwa kuwa mna muda mwingi wa ziada, jiongezeni mtafute namna ya kufanya ili kujiongezea vipato kulingana na mazingira mnayoishi!
Waliofeli shule,waliokua watukutu wakakumbana na dhahama pamoja na walionyanyaswa kingono na walimu hua hawawapendi walimu wao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo inakuwa ni biashara gani? Maana wenye viduka kwa kujifariji hamjambo na hamjui kutofautisha Kati ya mauzo na faida.Unakuta wenzako wanasubiri mishahara wewe wala hauwazi kabisa!!kwa siku unaingiza faida ya 80000/= hadi 100000/= tena unawashangaa wanavohaha!!!