Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Viwango vya mishahara kwa walimu: Ualimu ni mateso

Bora walimu muendelee kuteseka hivyo hivyo yani nyie na mapolisi ni watu wakuombewa mabaya muda wote ili mjue kwamba hayo 'masisiemu' mnayoyapachika hayana msaada kwenu.
 
Tuko hapa kueleweshana, sasa kama wewe unaona nimekosea unasahihisha.
Unaposema nitafute, kwani mimi nina shida ya kutaka kutafuta.

Vitu vingine ni vya kawaida lakini unataka kujifanya sijui ni siri au mpaka ubembelezwe ndio useme.
Ooooh ok. Kumbe huna uhakika na ulichokiandika. Lakini nimeshakuwekea happy kuwa kuna watu Salary scale yao ni TJS na wanaanza na Tsh.961000/= na wapo kati ya hao uliosema hawaoni ndani kwa mwalimu
 
Bora walimu muendelee kuteseka hivyo hivyo yani nyie na mapolisi ni watu wakuombewa mabaya muda wote ili mjue kwamba hayo 'masisiemu' mnayoyapachika hayana msaada kwenu.

Tatizo la watu waliokosa mamlaka
 
Hapo mwalimu anazidiwa kidogo na kada za Afya na Engineering.

Lakini taaluma nyingine zote kama Acccountancy, sociology, Mchumi, Maafisa Maendeleo, Kilimo, HR, Afisa Utumishi, WEO/VEO, sheria wote kwa walimu wanasubiri.

Mishahara ya walimu siyo midogo.

Walimu wanachojua ni kujiliza liza kama mbweha tu.
Ni kweli mkuu ndio maana kuna mkubwa wao kule Wizarani aliwahi kusema salary za walimu ni kubwa kuliko kada nyingi za serikali..

Hao engineering unaowasema hakuna kitu labda awe kwenye Wakala ila sio serikali kuu..

Sema tofauti yao na kada zingine ni ishu za posho.
 
F1 ni daraja. Mtu anapanda baada ya kufanya kazi miaka kadhaa.

Yaani wale wa kwenye 419,000 wanenda kwenye 530,000 na wale wa 530,000 wanaenda kwenye 716,000 huku wale wa 716,000 ndio wanaenda kwenye 940,000.

Hii Tsh 940,000 ndio daraja la F1.

Kama huwa unasikia kuoandishwa madaraja ya watumishi ndio haya. Na kila mtumishi ana haki ya kupanda kila baada ya miaka 4.
Hiyo si haki ni previlage ya mwajiri kulingana na bajeti kama anayo.Pengine haki ni ile annual increament
 
Ooooh ok. Kumbe huna uhakika na ulichokiandika. Lakini nimeshakuwekea happy kuwa kuna watu Salary scale yao ni TJS na wanaanza na Tsh.961000/= na wapo kati ya hao uliosema hawaoni ndani kwa mwalimu
TJS ni scale za serikali ??

Mimi ninachojua TJS ni scale za Mahakama na wengi ni njaa tu.
 
Nilikuwa Napenda sana kuwa mwl. Tena niwe nafundisha vitoto vidogovidogo vile!

Ualimu ni wito walimu walishapiga sana kelele kuhusu maslahi yao,lakini hakuna anayejali! Enzi za JK walikuwa wanaanzisha mpaka migomo, lakini hola!

Pigeni tu kazi walimu wetu, taifa linawategemea japo wanajifanyaga wanawachukulia poa, wakati mwingine wanawapeleka vishule vya huko ndani ndani ambako hata wao hawawezi kuishi,basi hata wawafikirie kuwapeni posho ya mazingira magumu hakuna[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Pigeni kazi tu na kwa kuwa mna muda mwingi wa ziada, jiongezeni mtafute namna ya kufanya ili kujiongezea vipato kulingana na mazingira mnayoishi!
Ualimu = dekio la ccm
 
Back
Top Bottom