CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Mmebaki na mashetani uraiani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio wao ni weweShida sio kwetu shida ni kwao watajikuta wanapoteza mtu mwenye malengo kisa kuendekeza njaa ya pesa
Samahani kwa kuwa nje ya mada, hivi alieanzisha kuitana mkuu hapa JF ni nani?Inategemea sasa tajiri mkuu...
Sema tajiri mkuu acha ubahili mkuu 😂😂😂👊👊👊
PointHiyo hoja ya "watakosa wanaume wazuri" kwa kiasi kikubwa hapa ni passive aggressive reverse psychology tu ya wanaume wanaojifanya wana huruma sana.
Wanawake wajinga wakikosa wanaume wazuri wewe mwanamme inakuuma nini? Si wamekosa kwa ujinga wao?
Hao wanaosema hivyo wengi wao ni wanaume wenye upwiru tu wanataka wanawake wajirahisishe kwao, katika mfumo unaolazimisha uwe na hela ili kuwa na mwanamke.
This is not an entirely altruistic argument.
Ni kama hoja ya Waislamu kutaka wanaume waoe wake wengi ili wawasaidie wanawake.
It is a thinly disguised self serving passive aggressive reverse psychology trick.
Lazima uwe na kitu cha ku offer, kama huna hela lazima uwe na akili sana kiasi chabkujua saikolojia ya mwanamke kwa haraka sana na kujua mqneno mengi mazuri ya kutongoza, uwe handyman unayejua kufanya na kutengeneza vitu vingi, uwe unajua mambo mengi kiasi mwanamke aone anakuhitaji kwa sababu fulani.Ujumbe mzuri sana.
Sasa hao WA standard bila kuwa wa status ya juu pochi nene utawapataje.
Sasa wewe mmoja tu humuwezi, unataka wengi tayari?Kuoa wake wengi waliona mbali mke mmoja humuwezi bila competition.
Jiulize kwann ndoa za Kikristo ndio zinazosumbua zaidi kuliko za waislamu
Mkuu Karibu mjini..,,,Mwanaume kavutiwa na wewe, karusha ndoano, umekubali. Usiku huo huo unaanza mizinga, naomba 150,000/- mama mdogo ana fibroid anatakiwa upasuaji. Kwa shingo upande unampa.
Baada ya siku mbili, mzinga mwingine tena, mdogo wangu kakamatwa na bodaboda ya wizi yuko Oysterbay inatakiwa laki 7 tu.
Jamani mizinga inauma, hata ukiombwa 10,000 tu!
Mtasugua sana bench hadi muolewe.
Hahahaha kwa hiyo timu imeangalia jina ikala kichwa….. bagoshaaaaaaaaaaaaa iiiiiiiiiiiiiiiiSasa kama mwenyewe unajiita TAJIRI MKUU WA MATAJIRI ulitegemea nini mkuu
Uneona ehhAhahahah.. zingatia sentensi ya pili kwenye heading ya uzi.
😂😂😂😂😂
Hela uliyoitafuta kwa jasho inauma sana
Siri ya utajiri ni ubahiliInategemea sasa tajiri mkuu...
Sema tajiri mkuu acha ubahili mkuu 😂😂😂👊👊👊
Hapo tumeelewana eeh?!🤣🤣🤣🤣🙌🙌
Hicho ndio kimenikimbiza kwa mtu niliyekua nimeshaweka nia ya kumuoa mwisho wa mwaka huu. Nikavumilia vizinga huku nikitamani aione nia yangu nzuri kwake, lakini wapi. Alivyo hana akili akitaka kunipiga kizinga ananiita majina romantic mno.Acha wasugue bench maana akili hawana maana saiv wanaangalia pesa na mwanaume anakupa hela akishakuweka tu anaona bora aachane nae maana ni mpenda pesa
Chief umeopoa pisi toka uswazi ama nnMwanaume kavutiwa na wewe, karusha ndoano, umekubali. Usiku huo huo unaanza mizinga, naomba 150,000/- mama mdogo ana fibroid anatakiwa upasuaji. Kwa shingo upande unampa.
Baada ya siku mbili, mzinga mwingine tena, mdogo wangu kakamatwa na bodaboda ya wizi yuko Oysterbay inatakiwa laki 7 tu.
Jamani mizinga inauma, hata ukiombwa 10,000 tu!
Mtasugua sana bench hadi muolewe.
Sawa bana😆Hapo tumeelewana eeh?!
Nimeongelea suala la utashi pia. Mimi sina tatizo na stories za kina Kajala pia, hatuwezi kuongea mambo serious muda wote.Jamani sio kwamba tukipiga story za kina kajala na wema hatuwezi kuongelea business au kufanya hizo business. Ni entertainment tu ambayo wengine tumechagua kama nyie mnavyozungumzia mpira.
Topic inahusu wanawake, anzisha thread ya wanaume makahaba wenye uzoefu wataleta shuhuda zao.Hata wanaume makahaba nao wapo
Usilie shem😘Jamani Hadi tajiri mkuu wa matajiri analalamika uwiiii nimelia sanaaaaa
Ni kwamba wanawake wanakosa potential husbands na wanaume wanakosa potential wivesSasaaaa kama wao ndo wanakosa pontential husbands mbona mnaolalamika ni nyie? Wao hawalalamiki...whats wrong?