Matokeo ya kikao hiki tumeyaona leo...watanzania sio wajingaHivi hawa nao ni wapinzani kweli.
View attachment 1616832
Wanazani tumesahau.Matokeo ya kikao hiki tumeyaona leo...watanzania sio wajinga
Hii ndio ilikuwa turning point ya CHADEMAHivi hawa nao ni wapinzani kweli.
View attachment 1616832
Maslai ndio nin we bwege?Akili yako inafanana na hivyo vyama tisa. Hivi kwa nini binadamu huwa anajitoa ufahamu linapokuja suala la maslai?
Wapinzani wa kweli kama hawa 👇👇.Hawa ndio wapinzani wanaopendwa na ccm na ni wapinzani wa kwelikweli.# tukutane tarehe 2 na kuendelea novemba
wanawafanya wananchi na wapiga kura kuwa ni wapuuzi na wasiofuatilia
Nina pata shida na akili zako kama unaweza kuamini uongo wa kipuuzi kuwa kura zilipigwa nyumbani. Are you really a great thinker?Wewe kweli jinga. Ingekuwa na ukweli hiyo NECCM wangepigia kura majumbani kwao na kuzileta vituoni kwenye mabegi na vikapu kwa nguvu ya polisi?
Kwani tunakekewa na wenyeviti au wajumbe wa nyumba kumi au mabolalozi.Hivi Chadema ina wajumbe wao Wa nyumba kumikumi?!!!
Hivi ni rahisi Kushinda uchaguzi ilihali huna WENYEVITI WA SERIKALI YA MTAA?!