King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,041
- 1,349
Wewe mpuuzi kweli. Sasa wangeshirikije wakati wagombea wao zaidi ya asilimia 90 walienguliwa? Ulienda shule kweli wewe?
Maana yake ni kwamba kama wagombea hawataenguliwa watashiriki. Wakienguliwa kama ilivyokuwa kwa serikali za mitaa utataka washiriki uchaguzi hewa?
Mpaka kufika mwakani wakati wa uchaguzi sidhani kama hiki chama kitakuwepo.Tusubiri UHUNI mwingine kabambe wa CHAMA DOLA Octoba mwakani.
Yatakuwa yale yale. Hakika watafanya hivi hivi!Hata general election mwakani hakuna haja
Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.UPINZANI WHAT NEXT?
ndungu unataka kutushawishi kua upinzani unazuia au nikikwazo cha maendeleo Tanzania? How? and why?Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.
P
Unaweza ukawa hutanii, lakini kwa uwekezaji upi kuleta maendeleo hayo unayoyasema? China kuna uwekezaji mkubwa wa Western countries na USA. Ndio wanabeba uchumi wa China! ( is this true?).... Sasa kwa uwekezaji upi kupaa kimaendeleo kama say Scandinavia countries zilivyochupa kimaendeleo?Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.
P
Or ZimbabweNext ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.
P
Kelele za upinzani ni distractive. Ukiwa hype sensitive, any distraction zina diverts attention na kupunguza kasi ya developmentUnaweza ukawa hutanii, lakini kwa uwekezaji upi kuleta maendeleo hayo unayoyasema? China kuna uwekezaji mkubwa wa Western countries na USA. Ndio wanabeba uchumi wa China! ( is this true?).... Sasa kwa uwekezaji upi kupaa kimaendeleo kama say Scandinavia countries zilivyochupa kimaendeleo?
By the way, upinzani unakwamishaje? Mbona ndege zinanunuliwa, na kila kitu anachokitaka kinafanyika, sasa upinzani unacheleweshaje maendeleo? Nielimishe
Ni kweli kabisa mkuu P, maana mpaka mwaka 1992 Tanzania na China ilikua sawa kimaendeleo tulipoanzisha mfumo wa vyama vingi Tanzania ikaanza kurudi nyuma kimaendeleo.Next ni uchaguzi mkuu 2020, CCM inakamilisha kazi, kwa Tanzania kurudi kuwa nchi ya chama kimoja, kazi sasa itakuwa ni moja tuu, maendeleo kwa kwenda mbele, kama ilivyo China. Hizi kelele za upinzani ni so distractive ndio zimekwamisha maendeleo, baada ya 2020, Tanzania kupata maendeleo kama China.
P
Endelea kusubiri, utasubiri sana.Na mimi nasubiri jibu...
Kelele ni upinzani ni distractive.
P
Mtu hype sensitive akiwa distracted anakuwa disturbed ana loose concentration na kupoteza focus.Distractive def: unable to concentrate because one is preoccupied by something worrying or unpleasant
najarbu kuleta maana halisi ya distractive, wakipiga kelele unaoacha kwenda kulima, unaacha kwenda shule! unaacha kuteua mawaziri, unaacha kununua ndege.................