Vyuo Vikuu 2 vya Tanzania ndani ya Top 10 kwa Ubora wa Elimu Kusini mwa Jangwa la Sahara. UDSM haimo

Sawa tu wewe dunia ya leo degree holder ajui kutumia email unadhani nini kinafuta hapo dunia ya leo bado assignment mnafanya kwenye magroup haaa haaaa
 
Niliingia UDSM mwaka 1974.Wakati huo, it was the only University in Tanzania.Kulikuwa na Campuses mbili,Morogoro Campus ambayo leo ni SUA na Muhimbili Campus.Oh,my goodness,UDSM ilikuwa inaheshimika worldwide.Leo dah,imekuwa laughing stock,inasikitisha sana.

Hata hivyo nadhani niseme hivii,tutainyoshe vidole UDSM,lakini frankly,sio UDSM peke yake ambayo imeoza, institutions zetu zote of higher learning ni kichekesho.Kijana aliyemaliza hata M.Sc.leo huwezi kuamini kamaliza M.Sc.Ufahamu wake hata kwenye fani aliyo-specialize,is so low.Ninao,so I know.

Siku moja nilikuwa SUA nikamsikia Lecturer mmoja ana-lecture undergraduates, nilichoka.Nikamuliza Professor mmoja rafiki yangu, is what I am hearing real?Aliniambia,"brother hiyo ndiyo hali halisi." Akaongeza, "kama Lecturer yuko hivyo,wanafunzi wakoje." Nilichoka,unajua,nilichoka!" Kwa hiyo hali ya elimu yetu ni mbaya sana.Msingi umeoza,na sina shaka yeyote kwamba it is by design,kwani mamlaka husika hazioni?.
 
Mara nyingi chachu ya maendeleo inaanzia chini; waanze kuweka wakuu wa vyuo wenye 'vision' ya kufika mbali kimataifa, wasiokuwa na element za kisiasa; hawa wanaweza wakashauri kitu ambacho ni 'positive', na mambo yakaenda vizuri.​
 
Siasa imeingia pale ukileta mawazo mbadala unatafutiwa zengwe hata enzi za mzee kifimbo paliendeshwa mijadala huru.....
 
This👉 is so stupid,"UDSM imeharibiwa na siasa za JPM. Between 2015-2020."Hatuzungumzii UDSM peke yake,we are talking of the entire education system, pamoja na UDSM,it is rotten.Sasa an entire education system iharibiwe so much within a short span of five years,si kweli,wewe unamtafuta tu mchawi.

Mimi naomba niseme hivi, uharibifu wa elimu sio issue ya Tanzania tu,it is a world-wide phenomenon na ni agenda kamili kabisa ya NWO.Nia ni mass production of fools.Agents wamesambazwa duniani kote,and have infiltrated all world governments and are already in high government positions za kubuni sera,nia ikiwa moja tu, kutimiza adhma yao ya kuharibu elimu.
 
Huyo magufuli hatunaye tangu 2021 na hatuta kua naye anaye tuharibia UDSM tunaye mbona humsemi huyu Gagula mzurulaji kama hana ndoa
 
Walitufikisha wapi na hizo hoja na misimamo?
Halafu kipindi kile, kusoma chuo na malazi na chakula ni bure
Kwa hiyo muda walikuwa nao wakupiga soga wakiita midahalo kule nkurumah hall
Leo, mimi nijitegemee ada, kula, na malazi, saa ngapi nianze kulopokalopa, eti tuite ni midahalo badala ya kupambana na maisha, maana unayaanza tangu unasoma chuo, siku nyingine siku inapita hujala hata msosi mmoja
 
Mbrrrr mbrrr mbrrr
 
Hivi chawa maarufu JF Lucas de mwashambwa Lucas mwashambwa ana degree ya UDSM?

Mwijaku najua anayo.
😀😀😀Ndio ninayo na hata makamu mkuu wa chuo kwa sasa profesa William anangisye ni mwalimu wangu. Profesa Bernadeta Kilian aliyekuwa mkuu wa chuo kishiriki cha Elimu Mkwawa naye pia ni mwalimu wangu na wengine wengi sana .
 
Aisee boss, sijui nakupataje unipe madini kidogo kuhusu maelezo yako ktk maada hii,NWO naifaham kwa sehem lakini sijajua kama wanaagenda kama hizi.
Nakupataje mkuu at least unaweza indirect hata source za kilichonyuma ya picha hii
 
Tangu muhimbili na ardhi wajiondoe UDSM. UDSM ilibaki kama skeleton tu kwa ubora.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…