Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Waarabu wa Morocco wambagua kocha Rolani Mokwena Kwa kumwita Kaffir

Sasa ulipo sema unawashangaa waislam kujipendekeza kwa wamorocco ilhal wamorocco wanawaunga mkono waisrail, ulikua na maana gani?

Au ndio nyie tunawaita hamuchelewi kujizima data?
Daah mkuu sipo kundi la kutukanana tafuta ID zingine za kutukanana si wengine tukitukana ni kama tunawakosea waliotulea kwenye maadili bora mimi siwezi kukutukana kisa mambo ya Israel sijui na ndugu zake tafuta wenzio mfike mpaka kesho poa tu uwe na siku njema mazee..
 
Sijaona uliposema, nimesoma ulichoandika, kwani ulikuwa unaongelea lugha au porojo tu baada ya kushindwa kuzihesabu asilimia za Kiarabu kwenye Kiswahili?

Niliwhi kuandika hivi, nadhani siku hizo hata JF ulikuwa bado huijuwi:

Matamanio yako ya kutaka ionekane
kuwa Kiswahili ni Lugha iliyotokana na Kiarabu ni MATAMANIO TUPU, haijalishi utatoa nguvu kiasi gani kutamani iwe hivyo, HAITAKUWA.

Kiswahili kipo hata kabla ya ujio wa waarabu.

Lakini pia licha ya 30% ya msamiati wa Kiswahili kuwa ni wa Kiarabu, hakuna hata 0.1% ya muundo wa Kiarabu katika Lugha ya Kiswahili. Nje ya dhana ngeni zilizoingizwa na waarabu mfano maneno kama kaburi, shehe, ibada, sala, nk... KISWAHILI KILIJITOSHELEZA.
 
Akome na bado

Alijifanya pep guardiola acha aisome namba.
Mokwena hajawahi kuwa kocha mzuri ni vile mamelodi ilikuwa tayari ishasukwa na kina pitso

Huko kakutana na waarabu yaani ubaguzi, na hawana uvumilivu kabisa .

Ukute licha ya hao team pinzani (tanget kitu kama.hiko) kumtusi labda na mabosi zake pia wanamtusi kimya kimya


Karma is a real deal
 
Akome na bado

Alijifanya pep guardiola acha aisome namba.
Mokwena hajawahi kuwa kocha mzuri ni vile mamelodi ilikuwa tayari ishasukwa na kina pitso

Huko kakutana na waarabu yaani ubaguzi, na hawana uvumilivu kabisa .

Ukute licha ya hao team pinzani (tanget kitu kama.hiko) kumtusi labda na mabosi zake pia wanamtusi kimya kimya


Karma is a real deal
Hasira zote kwakuwa aliifunga timu yako ya Yanga sio?
 
Ogopa kuishi na mtu mwenye maktaba za mafuvu ya Babu zako waliouawa na kutumikishwa kupitia daraja la rangi na dini.
 
Warabu wametia aibu soka la Africa kwa kumbagua Mwafrica mwenzao Kwa kumwita Kaffir, yaani mtu mweusi mchafu na anayenuka kama mzoga

Rulan Mokwena ni Coach wa Wydad Casablanca ya Morocco, zamani alikuwa coach wa Mamelod sundown ya Africa Kusini

Ubaguzi huo umefanywa na Moja ya viongozi wa benchi la ufundi la IR Tanger katika mchezo uliomalizika kwa suluhu

Siyo uungwana kumbagua mwenzako Kwa tusi la KAFFIR,
Kamati kuu ya CAF itakaa kufanya maamuzi ya adhabu kwa hao waliomwita Coach Rulan Mokwena Kaffir
Tatizo letu weusi tuko too emotional. Akikuita Kaffir muite nguruwe. Usikae kinyonge na kutafuta huruma.
 
Acheni mbaguliwe maana hata kwa muonekano mpo tofauti na binadamu wengine, ulisha ona wapi binadamu wengine vipilipili?
 
Sidhani kama wote wamemuita hivyo , lakini hicho sio kitu cha kushangaza kwa baadhi ya waarabu , ni kosa pia baadhi kunasibisha na uislamu , waarabu wasio wastaarabu wanaweza kumfanyia hivyo mtu mweusi yeyote hata kama ni muislamu pia , ni tabia zao baadhi
 
Back
Top Bottom