Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
-
- #41
Vipi kama na wenzao huko ndani nao wanajiandaa kufuta ili wakutwe nao wapo wasafi kama theluji?Asilimia kubwa ni kuwa wanaagana na micheps, wanafuta call logs na texts ili waingie ndani wakiwa wasafi kama theluji.
Sasa kwa kuwa ni majirani, na unaonana nao kila siku, ni kwanini usiwaulize?Dereva makini hasimamishi gari katikati ya barabara, tena zikiwa zimebaki hatua chache tu kufika mlangoni kwake.
Huwenda kila mtu ana sababu yake, na mimi nimeuliza kujua sababu mbalimbali.
Sifuatilii maisha ya mtu, hawa ni majirani zangu na kila siku tunaonana.
Nimeuliza wababa wenye magari humu Jf, naamini hii sio tabia iliyopo mtaani kwangu tu.Sasa kwa kuwa ni majirani, na unaonana nao kila siku, ni kwanini usiwaulize?
Kuna swala linaitwa CLEAR DATA and CLEAR CACHES ni muhimu sana!Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Uzinzi tu unadhani wanamalizia mahesabu ya biashara hapanaWanachukua tahadhari kabla mambo hayajawa magumu kwao
Kufuta meseji zote tata.Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Gari ni yangu lakini Walimwengu mnataka nishuke kama vile notoka kwa Mwendo Kasi au Daladala ya Mbagala.Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Tunaweka mambo sawaWengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Huyu wangu huwa si kila siku ni kuna siku tu ghafla anaamua anapitia kila sehemu meseji WhatsApp mpaka dm za mitandao ya kijamii. Ni kujiandaa kujitetea...Huwezi kuelewa. Wanaishi na ma CIA wanakaguliwa WhatsApp Calls SMS kila kitu
Unajichanganya. Umesema mtaani kwenu wapo. Ila sasa unadai huamini kama wapo.Nimeuliza wababa wenye magari humu Jf, naamini hii sio tabia iliyopo mtaani kwangu tu.
Na tayari nimepata majibu
Wanachunguza CCTV camera kuona yaliyotokea wakati wakiwa hawapo.Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Kweli Wengine ni mazoea tu, lakni kama ulivyosema ni heri wafanye hivyo wakiwa ndani ya mageti yaoKwa wanaume baadhi yenu, anakuwa anamalizia kuongea/kuchat na mwanamke wake wa pembeni. Au mambo yake ya siri. Wengine Mr & Mrs wanatumia gari moja. Anajaribu kutoa ushahidi wa chochote asikamatwe.
Kwa wengine ni mazoea tu, hakuna baya lolote analofanya, huenda anaongea na washkaji au ndugu kwa simu. Mimi ndiyo nikipark ndani ya gate, naweza kaa dakika 10 na zaidi ndiyo nashuka. Huwa wanaogopa huenda nimepata tatizo, nashindwa kushuka but ni mazoea tu.
Mnazipiga pini mpaka kesho asubuhi tena 🙌Tunafuta sms za michepuko na kublock namba zao kwa muda
MaybeWanachunguza CCTV camera kuona yaliyotokea wakati wakiwa hawapo.
Wanacheza game maana nyumbani watagombea kucheza na familia.Wengi wenu, kabla hamjafika karibu na mageti ya nyumba zenu, mnasimamisha gari na kuwa Bize na simu kwa dakika kadhaa.
Ni kipi cha muhimu mnafanya kwenye simu wakati huo? Kwani huko mlipotoka mlikosa muda wa kufanya hivyo?
Nasema haya maana hapa mtaani naona sana hayo, nyumbani ni njiani na wengi wanapita hapa wakielekea kwenye mageti yao, sasa wanasimama bila sababu, na ukipita unawaona wapo Bize na simu ndani ya gari.
Huwa mnafanya nini na hizo simu?
Duh, yani wanacheza game katikati ya barabara?Wanacheza game maana nyumbani watagombea kucheza na familia.
Itakuwa mbwa kala nyau mkuu.Vipi kama na wenzao huko ndani nao wanajiandaa kufuta ili wakutwe nao wapo wasafi kama theluji?