Wababa wenye magari, kwanini mnasimama kwa dakika kadhaa kabla ya kuingia majumbani mwenu?

Ni kuepusha matatizo ya kuingia ndani kwa ghafla ukakuta utakachokikuta.
Wazee wa zamani walikuwa wakikaribia miji yao wanapitia nyumba ya jirani na kumtuma mtoto wa jirani
apeleke mizigo nyumbani,kama taarifa ya kuwa mwenye mji amerudi.
siku hizi tunatumia magari,mlio wa gari ukisikika kila kitu ndani kinawekwa sawa.Sasa jifanye kushtukiza uone kama hujafa kwa ugonjwa wa moyo.
 
Hii nayo ni hoja, pia naskia wazee wa zamani walikuwa hawana muda maalum wa kurudi nyumbani, yote ni kwasababu ya kuzingatia usalama wa walio waacha nyumbani, hasa wake zao
 
Hii nayo ni hoja, pia naskia wazee wa zamani walikuwa hawana muda maalum wa kurudi nyumbani, yote ni kwasababu ya kuzingatia usalama wa walio waacha nyumbani, hasa wake zao
Na ndo maana ndoa za zamani zilidumu sana, za siku hizi hata wanaoishi pamoja utasikia wanasema tunavumiliana.
 
Thibitisha madai yako kwa ushahidi usiopingika.
 
Ni ku clear mind kabla sijaingia ndani hii huwa inakuja automatically
Unaclear mind kwa kusimamisha gari?

Ama unaclear mind kwa kuchungulia simu kwa muda mrefu?

Sema wanaume wengine hawapumui kwa wake zao, asipofuta maujinga yake kwenye simu alizowasiliana na vidosho wake, hata makofi anaweza zabuliwa na ikawa siri yake asimwambie mtu.

Watu hawajui hata kujihifadhi kwa password kwenye simu zao.

Akiacha simu kitandani kaenda bafuni kuoga ikaingia msg anakuta mchafukoge wa kufa mtu na kununiwa na kunyimwa haki za msingi wiki nzima!

Ndo hicho tu, hakuna sababu nyingine ya maana ya kusimama njiani kipumbaf pumbaf.
 
Ok let's say sio hao, na siwezi kuthibitisha, case closed...

Maana unataka mabishano yasiyo na maana....
Hapana,

Mabishano haya yana maana sana.

Yanahusu uthibitisho na kukataa fake news.

Hujathibitisha habari yako.
 
Wewe ni mchepuko?
Una wababa wangapi?
 
Hapana,

Mabishano haya yana maana sana.

Yanahusu uthibitisho na kukataa fake news.

Hujathibitisha habari yako.
Nimemuuliza kuwa ana wababa wangapi na wangapi wanafanya hivyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…