Yote hayo mabaya siyaungi mkono hata kidogo.Siungi mkono mauwaji ya wasio na hatia,, sina uhakika maana hata maiti zao hazionyeshwi.
Narudi pale pale!ππΎ
Wakati iraq inavamiwa na marekani + Nato mbona hamkuonyesha huruma zenu kwa mauwaji ya watu wasio na hatia, na isitoshe rais wao akauawa pamoja na watoto wake Udai and Qusai, libya hivyo hivyo,. israel anafanya unyama wake kwa wapalestina, hivi haya yote hamuyaoni jamani!!!! Kwamba lile ni taifa teule sio π ilaa ya ukraine imewatachi sanaee!!
Tuwe na huruma kwa wasio na hatia wanaoteseka na kufa katika vita hii ambapo wakuu wa dunia wanaona watu ni kama kuku wa sadaka. Usipende kushabikia mauaji haya na hujui kwanini yanafanyika. Wewe unafikiri ni kwa sababu ya Ukraine kutaka kujiunga NATO?Kwa hiyo unataka Warusi Ndiyo wauwawe. Zelensky and the west are catalysts. Full stop
Tumekuelewa mwanahistoriaMuwe mnaacha upumbav nyie wajinga ,unaposema wazungu hao uliwaorodhesha hapo ni wamatumbi au ? ,
Halafu hao uliwaandika ni kwamba wengi wenu ni watu msiojua historia Tu mnaoanzisha threads za hovyo hapa ,kuna mtu aliwahi itwa Gengis Khan na genge lake la Mongols hawa ndio watu waliowahi chachafya Europeans kingdoms nyingi Kwa wakati mmoja na walianzia kuconqure china wakaja wakipiga kuteka na kuua mamilioni ya watu na inaaminika ndio waliosaidia kusambaza ugonjwa WA tauni na ndio miaka ambayo Roman empire ilikuwa inaanguka , hawa njemba walikuwa ni balaa walitawala mpaka Russia yote unayoisikia Leo Kwa Russia hii jamii walijulikana kama Tatars .
NATO haishambulii nchi mpaka ishambuliwe. Na kwa Urusi ndio hawathubutu kabisa kufikiria kupigana nae.1. Napoleon Bonaparte
Huyu aliasisi mapinduzi ya Ufaransa dhidi ya ufalme lakini baada ya kutawala hakuridhika, alitaka kutawala ulaya yote na alifanikiwa kwa kiasi kasoro Uingereza. Pamoja na kuogopwa na wababe wenzie bado walifanikiwa kumtoa kwa nguvu na kumshika kama kuku.
Alihamishwa kabisa ulaya kutokana na ukorofi wake.
2. Adolf Hitler
Huyu mwamba alitawala ulaya kwa muda mfupi sana,akaogopwa,akawaonea wenzake lakini mwishowe alijiua mwenyewe baada ya kuzidiwa nguvu na jeshi la USSR na nchi yake kukubali yaishe.
3. Viladmir Putin
Ubabe wake tumeuona wengi, ujasiri wake unaonekana na hakuna nchi inayothubuti kumwingilia akiwa kwenye mgao wa dozi kwa jirani yake na ndugu yake Ukraine. Wazungu wanamtazama ila hawajui mwisho wake. Wanamzoom tu hawajui nguvu kamili aliyonayo.
Pamoja na yote itafika wakati pumzi itaisha nguvu ya pesa na jeshi vitapungua hakika ni wakati wa NATO sasa kumshambulia kwa uharibifu alioufanya na hasara aliyoiletea ulaya na dunia.
Hawezi kuvumilika siku zote labda afe kabla ya kuchoka.
Unagongwa nyuma na fisiUnajifanya una akili lakini hujui hata kuandika.
Siku nyingine uwe na adabu fambaf wewe.[emoji849][emoji849]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Naona wanaharakati wa upinde wa mvua mnapeana faraja
Wapo mazwazwa hawaishi [emoji16]Hivi bado tu kuna viumbe wako upande wa NATO?.
If you live in the past, the future will never find you.1. Napoleon Bonaparte
Huyu aliasisi mapinduzi ya Ufaransa dhidi ya ufalme lakini baada ya kutawala hakuridhika, alitaka kutawala ulaya yote na alifanikiwa kwa kiasi kasoro Uingereza. Pamoja na kuogopwa na wababe wenzie bado walifanikiwa kumtoa kwa nguvu na kumshika kama kuku.
Alihamishwa kabisa ulaya kutokana na ukorofi wake.
2. Adolf Hitler
Huyu mwamba alitawala ulaya kwa muda mfupi sana,akaogopwa,akawaonea wenzake lakini mwishowe alijiua mwenyewe baada ya kuzidiwa nguvu na jeshi la USSR na nchi yake kukubali yaishe.
3. Viladmir Putin
Ubabe wake tumeuona wengi, ujasiri wake unaonekana na hakuna nchi inayothubuti kumwingilia akiwa kwenye mgao wa dozi kwa jirani yake na ndugu yake Ukraine. Wazungu wanamtazama ila hawajui mwisho wake. Wanamzoom tu hawajui nguvu kamili aliyonayo.
Pamoja na yote itafika wakati pumzi itaisha nguvu ya pesa na jeshi vitapungua hakika ni wakati wa NATO sasa kumshambulia kwa uharibifu alioufanya na hasara aliyoiletea ulaya na dunia.
Hawezi kuvumilika siku zote labda afe kabla ya kuchoka.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119][emoji119]wazee wa rainbow wanahangaika sana. putin piga mishoga hiyoo.
For sure,Kama mnakili Putin ni MBABE uzi ufungwe. Maana mlibisha sana
Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16]We jamaa acha kabisa kumfananisha jemedari Putin na wapuuzi hao
Peleka ujinga hukoHata Wafuasi wa Hitler waliamini hivyo hivyo, haijalishi ni muda gani lakini hawezi kuendelea kuonea wengine
Ulikuwa wapi USA alipoivamia Libya !?Kweli unaona sawa kwa mauaji ya watu yanayofanywa na Urusi?!
Muulize mbona gengish Khan hawa kuweza kumuua !?Muwe mnaacha upumbav nyie wajinga ,unaposema wazungu hao uliwaorodhesha hapo ni wamatumbi au ? ,
Halafu hao uliwaandika ni kwamba wengi wenu ni watu msiojua historia Tu mnaoanzisha threads za hovyo hapa ,kuna mtu aliwahi itwa Gengis Khan na genge lake la Mongols hawa ndio watu waliowahi chachafya Europeans kingdoms nyingi Kwa wakati mmoja na walianzia kuconqure china wakaja wakipiga kuteka na kuua mamilioni ya watu na inaaminika ndio waliosaidia kusambaza ugonjwa WA tauni na ndio miaka ambayo Roman empire ilikuwa inaanguka , hawa njemba walikuwa ni balaa walitawala mpaka Russia yote unayoisikia Leo Kwa Russia hii jamii walijulikana kama Tatars .
Yote hayo hayakubaliki kwa misingi yoyote ya kidini na ni dhambi kubwa kusapoti mauaji.Ulikuwa wapi USA alipoivamia Libya !?