Wababe wa vita walioogopwa sana na wazungu lakini maisha yao yakaishia pabaya, Putin anapaswa kujifunza kwao

Yote hayo mabaya siyaungi mkono hata kidogo.
 
Kwa hiyo unataka Warusi Ndiyo wauwawe. Zelensky and the west are catalysts. Full stop
Tuwe na huruma kwa wasio na hatia wanaoteseka na kufa katika vita hii ambapo wakuu wa dunia wanaona watu ni kama kuku wa sadaka. Usipende kushabikia mauaji haya na hujui kwanini yanafanyika. Wewe unafikiri ni kwa sababu ya Ukraine kutaka kujiunga NATO?
 
Tumekuelewa mwanahistoria
 
NATO haishambulii nchi mpaka ishambuliwe. Na kwa Urusi ndio hawathubutu kabisa kufikiria kupigana nae.
 
If you live in the past, the future will never find you.
 
Muulize mbona gengish Khan hawa kuweza kumuua !?

Kama haikuwezekana kwa gengish Khan kwanini iweze kane kwa Putin ..Hilo Jamaa jinga kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…