Passenger19
JF-Expert Member
- Aug 14, 2021
- 597
- 955
Yani unakuwa unaangalia mpira lakini unajua hakuna kitakochotea mpka anayesikiliza atoe taarifa........inakera[emoji23][emoji23][emoji23]
Punguza jazba Kamanda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani unakuwa unaangalia mpira lakini unajua hakuna kitakochotea mpka anayesikiliza atoe taarifa........inakera[emoji23][emoji23][emoji23]
Punguza jazba Kamanda
Viwe na gradesMoja kwa moja.
Inakera sana unakuta upo kibanda umiza mnaangalia mechi mtu anaanza kushangilia goli kabla ya mpira kuingia wavuni au mtu anahadithia tukio la mbele kabla kutokea wakati mechi inaendelea.
Watu wa namna hii nashinda kuwatafsiri kichwani mwao kupo vipi natamani niwatandike makofi kabisa kama wanapenda kusikiliza mpira redioni bora wangekuwa wanabaki makwao kuliko kuwaharibia Ladha ya mpira wenzao.
#UziTayari
Hakuna kitu kama hicho, labda kama alikuwa anasikiliza mechi nyingine tofauti na hiyo iliyokuwa inachezwa uwanjaniKuna jamaa tulikuwa naye uwanjani sijui alikuwa anasikiliza redio gani ile...yani alikuwa anashangilia kabla ya goli, na kweli huku nyavu zinatikisika
Hii kali aiseeHata uwanjani wapo ambao wanakuwepo ila wanasikiliza radioni
Mimi ya leo nataka nidowee kwa jirani hapa kitaa maana kuna nyumba moja jirani kuna amsha amsha ya mechi kama kibanda umiza wadau wengi wa michezo kitaani wanakusanyika hapo kuna kuwa na watu kama kumi na kitu hivi hakuna hata upuuzi wa kusikiliza redio unaenjoy game kistaarabu.Na hii kitu ndo inanifanya game hasa za simba na yanga niamue tu kusikilizia ndani kwenye radio maana ukumbini ni upuuzi mtupu.
Itakuwa alikuwa anasikiliza Magic efuemu😂Kuna jamaa tulikuwa naye uwanjani sijui alikuwa anasikiliza redio gani ile...yani alikuwa anashangilia kabla ya goli, na kweli huku nyavu zinatikisika
[emoji23]Hata uwanjani wapo ambao wanakuwepo ila wanasikiliza radioni
Nenda kibandaumiza sehem zingine hawana hizo mamboMimi leo nitasalimia majirani nitengeze mazingira ya kuicheki gemu kwao maana home shemeji kagoma kulipia king'amuzi .