Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo watachezea sana tu Vichwa vyangu.Muongeze na ngumi ya pua
Huwa inakera sana kwa kweli.Yaani GENTAMYCINE natizama zangu Derby ya Kariakoo na Wewe unasikiliza Mpira kupitia Earphones zako unaotangazwa na TBC Taifa halafu Mayele ameshafunga Goli unaruka Kushagilia mbele yangu tegemea kupata bonge la Kofi au Kichwa kutoka Kwangu kutokana na Hasira.
Jana huko Ulaya Chama langu pendwa la Liverpool FC limefungwa na nina Mihasira yangu halafu nimekaa Kibandani kuangalia Simba's ina na Yanga itokee Mayele au Fei Toto au Aziz K anifunge na uanze Kushangilia kabla yetu tunaotizama Runingani ( katika Television ) halafu nikuache?
Leo kuweni makini 'mtapigwa' sana!!!
Ambao umeufuata na Kuusoma wote.Uzi tayari?
Leo nina Hasira nao mno tu hawa Mkuu.Huwa inakera sana kwa kweli.
Hahaha hahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaaLeo nina Hasira nao mno tu hawa Mkuu.
Mapopoma wanasema kichwa chako kina sumu kali kuliko zidane.Leo watachezea sana tu Vichwa vyangu.
Mkuu nawe una Utani wa Kikabila na Waha kama Mimi au hapana? Kama hapana tegemea Kushambuliwa nao hapa JamiiForums na hata Kurogwa vile vile.Wanakera sana, ungesikiliza huko basi sasa kwenye TV umefuata nn?
Halafu nimefanya research wengi ni waha
Nimecheki ratiba kuna mechi ya Arsenal saa 10 na vibanda umiza vyote mtaani wameandika mechi hizo mbili unacheki kwa jero tu ,kea hiyo hamna namna lazima niende kibanda umiza nipate faida ya mechi mbili.Nenda kibandaumiza sehem zingine hawana hizo mambo
Siyo mnawatoa nje wakibisha ndiyo mnawapiga makofi?😀 hivi mechi saa ngapi?Watu kama hao sisi huku hua tunawapiga makofi wakibisha tunawatoa nje
😀 machi saa kumi na mojaSiyo mnawatoa nje wakibisha ndiyo mnawapiga makofi?😀 hivi mechi saa ngapi?
Shukrani mkuu😀 machi saa kumi na moja
Unaua dege wa wawili kwa jiwe moja, sema binafsi ikicheza simba sipendi kuwe na mechi nyingine ambayo inanitoa kwenye concentrationNimecheki ratiba kuna mechi ya Arsenal saa 10 na vibanda umiza vyote mtaani wameandika mechi hizo mbili unacheki kwa jero tu ,kea hiyo hamna namna lazima niende kibanda umiza nipate faida ya mechi mbili.
kwa mfano mimi ni shabiki wa Arsenal alafu ni Simba mnyama nacheki mechi zote kibanda umiza.Unaua dege wa wawili kwa jiwe moja, sema binafsi ikicheza simba sipendi kuwe na mechi nyingine ambayo inanitoa kwenye concentration
Umenikumbusha siku moja kuna mzee alipata ajali akawa anampigia simu mkewe kumtaarifu.Hao hawatofautiana sana na wale mnaangalia move yeye kama alishaiangalia ataanza kuhadithia ya mbele yake aloooo hakuna kitu kinanikera kama hicho yaani sipendi
Sasa unakuwa unapoteza umakini wa kuangalia inabidi mumsikilize aisee.
Hawako mbali na wale tukio limetokea na mlikuwepo wote mkishatoka anakuja tena kuwahadithia kilichotokea wakati mwingine wanaongeza chumvi wewe jamaa si tulikuwa wote sasa unasimlia nini tena