Mr Bundi
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 327
- 422
Kwhy redio inaanza kutangaza tukio ambalo ww uliekua live hulion,haiwezekani daimaKuna jamaa tulikuwa naye uwanjani sijui alikuwa anasikiliza redio gani ile...yani alikuwa anashangilia kabla ya goli, na kweli huku nyavu zinatikisika