Wabongo wanakera sana tabia ya kusikiliza mpira redioni kibanda umiza wakati mechi inaendelea

Huwa inakera sana kwa kweli.
 
Wasukuma na Wamasai ndo wanaongoza kwa hii tabia ya ovyo.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
 
Wanakera sana, ungesikiliza huko basi sasa kwenye TV umefuata nn?
Halafu nimefanya research wengi ni waha
Mkuu nawe una Utani wa Kikabila na Waha kama Mimi au hapana? Kama hapana tegemea Kushambuliwa nao hapa JamiiForums na hata Kurogwa vile vile.
 
Nenda kibandaumiza sehem zingine hawana hizo mambo
Nimecheki ratiba kuna mechi ya Arsenal saa 10 na vibanda umiza vyote mtaani wameandika mechi hizo mbili unacheki kwa jero tu ,kea hiyo hamna namna lazima niende kibanda umiza nipate faida ya mechi mbili.
 
Nimecheki ratiba kuna mechi ya Arsenal saa 10 na vibanda umiza vyote mtaani wameandika mechi hizo mbili unacheki kwa jero tu ,kea hiyo hamna namna lazima niende kibanda umiza nipate faida ya mechi mbili.
Unaua dege wa wawili kwa jiwe moja, sema binafsi ikicheza simba sipendi kuwe na mechi nyingine ambayo inanitoa kwenye concentration
 
Unaua dege wa wawili kwa jiwe moja, sema binafsi ikicheza simba sipendi kuwe na mechi nyingine ambayo inanitoa kwenye concentration
kwa mfano mimi ni shabiki wa Arsenal alafu ni Simba mnyama nacheki mechi zote kibanda umiza.
 
Umenikumbusha siku moja kuna mzee alipata ajali akawa anampigia simu mkewe kumtaarifu.

" eti mama nani hii, unaifahamu ile vx yangu mpya?? Imepata ajali tuko hapa kituoni nikimaliza nitakuja nyumbani"

Yaani anavyomsimulia mkewe ni kama anamhadithia mtu ambaye hafahamu anamiliki gari ya aina gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…