Mkuu kuna mmoja juzi katoka Marekani ni mshikaji wetu kitaani yaani jamaa kachoka utadhani alikuwa gerezani,Amefika kuona nina drive Bima(BMW) anabaki kunishangaa na kunipa masifa kibao!
hiki ndo kimefanya nimeandika uzi!
Umewahi kuishi Marekani?Kwa hali ilivyo sasa kutoboa Marekani ni vigumu sana. Haki za mfanyakazi ni ndogo na pia mfumo wa bima ya afya ni mbovu. Ujerumani ni nchi nzuri sana lakini mpaka uje ujiseti inabidi upate cheti cha huku huku na ujue lugha. Huku malipo yako poa na mfanyakazi unalindwa sana. Kwa kumalizia mimi naona ukishafanya kazi kwa miaka mitano ukawa na experience ya kutosha kwenye field yako Bora urudi Bongo. Maana kama una mtaji unaweza hata ukaanzisha biashara yako.
Umeambiwa mafanikio yake ni
1. TV inchi 65
2. Mke mwenye ''mkia'' wa maana na watoto
3. Kununua vitu super market
4. Kausafiri.
Mkuu Marekani nikatafute nini kama nyie mnarudi mmechoka kama wazee?Uongo sasa huu.Vipi umenyimwa visa ya kwenda US nini?.
Ndugu yangu baada ya mama kufariki ilitumika nguvu sana kumleta msibani. Maana aliondoka tangu mwaka 97.Kauli za kichawi maisha sio mashindano pambana na hali yako
Kupangia maisha kwa namna gani?Acha kupangia watu maisha wewe
Mkuu kwa namna wanavyoficha atathubutu kukwambia shughuli anayoifanya huko?Rafiki yako huyo yupo state gani na shughuli yake ni ipi?
Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.Wewe upeo wako wa kupambanua mambo ni mdogo. Na unaweza kukuta hilo BMW ni haya mamitumba waliyoendesha wajapani au waarabu wakayachoka na wewe ukaletewa. Watu wakijibina hapo Bongo wewe utawapa ajira? Tatizo lako unadhani ni kila anayekwenda Marekani anafanikiwa.
Hii ni kwa wote ukiwemo na weweHiyo tafiti kwa wote au watu unaowafahamu wenye mind kama yako?
Kila Mtu anaishi Sehemu a anayopendaNdugu yangu baada ya mama kufariki ilitumika nguvu sana kumleta msibani. Maana aliondoka tangu mwaka 97.
Baada ya msiba ilibidi atafutiwe kazi nzuri ili abaki nyumbani akafanya miezi miwili akatimka
Na kilichomuondoa alikuwa anajihisi aibu.
Watanzania ni WAJINGA mno, narudia WAJINGA mno.Tv kubwa nchi 65 .Umenichekesha.Mimi nikajua labda una kiwanda hata cha kutengeneza vifungashio na umeajiri watu 30.Sasa TV nayo ya kulingia jamani.
Mkuu ukiona wanachukia wewe elewa sindano yenye dawa imegusa mfupa!Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
Ndugu yangu baada ya mama kufariki ilitumika nguvu sana kumleta msibani. Maana aliondoka tangu mwaka 97.
Baada ya msiba ilibidi atafutiwe kazi nzuri ili abaki nyumbani akafanya miezi miwili akatimka
Na kilichomuondoa alikuwa anajihisi aibu.
Sasa unga wanaovuta hapa Bongo ni wazungu ?Punguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
Ukiwemo wewe!
MAISHA ni kuishi vizuri ikiwemo kula Bata acha watu waishi vizuriPunguza hasira nipo Ujerumani anachokiongea mtoa mada ni ukweli mtupu. Kuna waafrika wakifika huku wanajisahau. Mtu unamaliza chuo unapata kazi unalipwa 4000 Euros. Unatafuta apartment kubwa halafu huna mke . Unaanza kuiga wazungu unatumia madawa na kusafiri kila summer.Mwisho wa siku unakuta hio hela unabakia kusave Euro 6000 kwa mwaka. Ukirudi Bongo Hohe hahe. Nasoma masters ila nimekutana na watanzania analipwa vizuri. Lakini matumizi yao kama wamezaliwa ulaya. Yaani hadi unga wanavuta na wanafanya kazi kama kawaida. It is a huge culture shock, I don't judge. Lakini ni vigumu watu kama hawa kufanya vitu vikubwa nyumbani.
Hao unaosema wengi wao amekurupuka, mbona kuna wengi sana wanaishi maisha mazuri tu.Ukihitaji salamu nenda pwani kwa waswahili,kwangu utaambulia chuya ukalishie kuku!
Bado sijafahamu ni kwanini watanzania wengi wanaoishi nchi za Marekani,Canada na Uk huwa wanamaisha magumu kupita kiasi tofauti kabisa na wale wanaoishi nchi za Scandinavian na Germany!.
Ninawafahamu jamaa kadhaa wanaoishi huko tangu zamani na hakuna walichofanya cha maana kwenye familia zao(Wazazi) hapa Tanzania,wengi huwa wanarudishwa kipindi cha matatizo tu lakini huwezi kuwaona wakiwa wanarudi kipindi cha furaha kuwasalimia ndugu zao.
Watanzania wengi wanaoishi nchi za Scandinavian huwa wamerekebisha makazi ya wazazi wao na pia huwa wamejenga nyumba za kifahari ili wanapokuwa wanakuja likizo basi hufikia huko,siyo nyumba tu bali huwa na usafiri mzuri!.
Hii ni tofauti kabisa na wabongo wanaoishi Marekani,Canada na UK,hawa huwa wanarudi makwao endapo Baba au Mama ni mgonjwa au amefariki kabisa,na huwa wakija hata vaa yao inatia mashaka!.
Huwa wanapenda kuvaa miwani mikubwa kama wachomelea welding na kujifanya kuishangaa Tanzania kana kwamba ni chooni!,Unakuta hata hela ya kuwatoa marafiki zake tu Out hawana zaidi ya kujiongelesha blah blah na masifa kibao!.Wengi wamechoka kimuonekano,Sura hazina nuru na mionekano yao imefubaa!.
Ukiwauliza wanabaki kusingizia Marekani Kodi ni kubwa na Ishu za Bills zinabana kila kona,Unabaki kumshangaa kana kwamba huko Marekani ni yeye tu ndiye Bills hupewa kubwa!.
Wabongo wengi wanaoishi Marekani na Canada waliofanikiwa huwa ni kuanzia Umri wa Miaka 50 - na Kuendelea,hawa ndiyo angalau huwa wamejenga makwao na hata hujitahidi kuprovide kwenye familia zao.
Ila hawa wenzangu na mie kuanzia miaka 25 - 45 huwa hawana cha maana zaidi ya blah blah na ngonjera kibao huku kila muda wakipiga simu na kusimanga serikali na kuwakashifu ndugu kana kwamba wanaishi kwenye vyoo!.
Wengine tunawafahamu wamekwenda huko miaka ya 90 lakini hadi leo ni kuzurura tu hawana paper!.
Any way:
Ukitaka kuona walivyo na hasira,wewe soma comments!