Wabongo wengi wanaoishi Marekani wana maisha magumu tofauti na wale wanaoishi nchi za Scandinavian

Mkuu muwe mnasoma nyuzi taratibu na kuzielewa halafu ndipo mchangie!.

Sijasema hakuna ambaye hataki kwenda Marekani,Pasepsheni ya watu wengi espeshali mtu mweusi ni kuwa America kuna maisha mazuri!.


HOJA NI KWAMBA

Ni kwanini Watanzania wengi waishio huko wanamaisha mabaya(Hali ngumu) tofauti na waishio kwenye nchi nyingine ikiwemo Germany?

Hii ndiyo Hoja ilipaswa ujikite kwenye hoja
 
Mkuu kuna mmoja juzi katoka Marekani ni mshikaji wetu kitaani yaani jamaa kachoka utadhani alikuwa gerezani,Amefika kuona nina drive Bima(BMW) anabaki kunishangaa na kunipa masifa kibao!

hiki ndo kimefanya nimeandika uzi!
WW NI TAPELI km cyo ni chawa wa mama.kitendo cha mtu kufika usa ni mafanikio tosha.ww mwenyew umeishia hapa bongo tu
 
kunishangaa
Mkuu kuna mmoja juzi katoka Marekani ni mshikaji wetu kitaani yaani jamaa kachoka utadhani alikuwa gerezani,Amefika kuona nina drive Bima(BMW) anabaki kunishangaa na kunipa masifa kibao!

hiki ndo kimefanya nimeandika uzi!
Karudi na kiongereza chake cha slang pekee bila mtaji😃😃
 
Sina hasira hata kidogo ndugu yangu. Uwe Ujerumani au Tanzania au Japani, mfano ulioutoa una-relation gani na hoja ya mwanzisha thread? Ku-save vs matumizi ni tatizo lililopo kila sehemu na sioni kipya!
Kwa hiyo anataka kusema Tanzania huku watu wana save vizuri kuliko Germany ? Tatizo la ku save sio dogo...
 
Wakukurupuka nao hatari?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…