BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Kataaa ndoa shauri yakoWale wa kike ni wazuri (pisi kali), pepo la kuoa limeanza kunijia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii nchi imejaa VILAZA na VISHOKA kila mahali.
Ni kama tumekumbwa na NYUMBU SYNDROME!! Sijui kama ni BAHATI MBAYA au ni MKAKATI.
Ndio maana namshukuru sana Kaka Max Maxence Melo kwa jitihada zake za kulilinda hili jukwaa dhihi ya uvamizi wa VILAZA na VISHOKA kutoka mitandao mingine ya kijamii.
Ni mboko tu na adabu mtindo mmoja.
π€£π€£ Its disgusting bhanamind your bussness
Kunashida kubwa sana kwenye elimu yetu, na mtindo wa maisha yetu.Hizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan
Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.
Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?
They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years
Wanaboa π
vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
Hili neno, Naunga mkono hoja.Wacha tupate break kidogo....don't be toooo serious in life
Naskia hawa hawana kabisa UTI mkuuHizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan
Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.
Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?
They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years
Wanaboa [emoji34]
vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
Kitengo kina mbinu nyingi ku-divert, raia watanzania ndo the cheapest pple to be managed/manipulate ni wepesi sana kuwatoa kwenye mada, kitengo hakitumii nguvu nyingi kabisa.
Mbinu nyingi za kuwapoteza hawa semi literate na iliterate raia ebu ni kupe mfano, sasa hivi watangaze kwamba Yanga sports ananyanganwya ubingwa kwa kukiuka canuni za TFF hata kama ni hoax, hamna atakae jadili bandari tena hapa.
Umewaangalia wakiwa wamekaa mkuuWale wa kike ni wazuri (pisi kali), pepo la kuoa limeanza kunijia
BalaaUmewaangalia wakiwa wamekaa mkuuView attachment 2664057
Acha makasiriko π πHizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan
Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.
Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?
They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years
Wanaboa π
vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
una hoja usikilizweNaskia hawa hawana kabisa UTI mkuu
Ndio ukweli mkuuAcha makasiriko π π