Wabongo wengi wanapenda sana kudandia vitu visivyokuwa na maana. Rejea Wanafunzi wapya wa MNH

Wabongo wengi wanapenda sana kudandia vitu visivyokuwa na maana. Rejea Wanafunzi wapya wa MNH

Hii nchi imejaa VILAZA na VISHOKA kila mahali.

Ni kama tumekumbwa na NYUMBU SYNDROME!! Sijui kama ni BAHATI MBAYA au ni MKAKATI.


Ndio maana namshukuru sana Kaka Max Maxence Melo kwa jitihada zake za kulilinda hili jukwaa dhidi ya uvamizi wa VILAZA na VISHOKA kutoka mitandao mingine ya kijamii.

Ni mboko tu na adabu mtindo mmoja.
 
Hii nchi imejaa VILAZA na VISHOKA kila mahali.

Ni kama tumekumbwa na NYUMBU SYNDROME!! Sijui kama ni BAHATI MBAYA au ni MKAKATI.


Ndio maana namshukuru sana Kaka Max Maxence Melo kwa jitihada zake za kulilinda hili jukwaa dhihi ya uvamizi wa VILAZA na VISHOKA kutoka mitandao mingine ya kijamii.

Ni mboko tu na adabu mtindo mmoja.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan

Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.

Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?

They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years

Wanaboa 😠

vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
Kunashida kubwa sana kwenye elimu yetu, na mtindo wa maisha yetu.
 
Hizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan

Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.

Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?

They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years

Wanaboa [emoji34]

vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
Naskia hawa hawana kabisa UTI mkuu
 
Kitengo kina mbinu nyingi ku-divert, raia watanzania ndo the cheapest pple to be managed/manipulate ni wepesi sana kuwatoa kwenye mada, kitengo hakitumii nguvu nyingi kabisa.

Mbinu nyingi za kuwapoteza hawa semi literate na iliterate raia ebu ni kupe mfano, sasa hivi watangaze kwamba Yanga sports ananyanganwya ubingwa kwa kukiuka canuni za TFF hata kama ni hoax, hamna atakae jadili bandari tena hapa.

Ukweli usiosemwa, jana kulikuwa na changamoto ya mtandao. Hatujui athari zilizotokea.
 
Wale wa kike ni wazuri (pisi kali), pepo la kuoa limeanza kunijia
Umewaangalia wakiwa wamekaa mkuu
1687291876123.jpg
 
Hizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan

Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.

Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?

They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years

Wanaboa 😠

vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
Acha makasiriko 😅😅
 
Back
Top Bottom