BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Hii nchi imejaa VILAZA na VISHOKA kila mahali.
Ni kama tumekumbwa na NYUMBU SYNDROME!! Sijui kama ni BAHATI MBAYA au ni MKAKATI.
Ndio maana namshukuru sana Kaka Max Maxence Melo kwa jitihada zake za kulilinda hili jukwaa dhidi ya uvamizi wa VILAZA na VISHOKA kutoka mitandao mingine ya kijamii.
Ni mboko tu na adabu mtindo mmoja.
Ni kama tumekumbwa na NYUMBU SYNDROME!! Sijui kama ni BAHATI MBAYA au ni MKAKATI.
Ndio maana namshukuru sana Kaka Max Maxence Melo kwa jitihada zake za kulilinda hili jukwaa dhidi ya uvamizi wa VILAZA na VISHOKA kutoka mitandao mingine ya kijamii.
Ni mboko tu na adabu mtindo mmoja.