Mufti kuku The Infinity
JF-Expert Member
- Sep 21, 2019
- 6,053
- 10,032
- Thread starter
- #61
AiseeNaskia hawa hawana kabisa UTI mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeNaskia hawa hawana kabisa UTI mkuu
Jana nimekutana na VX V8 nyingi za serikali zinakwenda Dar, usishangae kusikia vigogo wamekwenda kupigana vikumbo MuhimbiliHizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan
Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.
Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?
They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years
Wanaboa 😠
vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
Bure kabisa hawa 😅JAna nimekutana na VX V8 nyingi za serikali zinakwenda Dar, usishangae kusikia vigogo wamekwenda kupigana vikumbo Muhimbili
Ndiyo hao tunawaita waheshimiwaBure kabisa hawa 😅
Hizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan
Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.
Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?
They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years
Wanaboa 😠
vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
Mfadhaiko wa akiliHizi siku mbili tatu, nikiingia status za whatsap, fb ...watu wapo busy na wanafunzi wapya waliohamishiwa MNH kutoka sudan
Chaajabu hadi watu maarufu nao wapo busy na huo uzuzu.
Hivi ina maana hamjawahi/hawajawahi kuona wadada warembo?
They are acting like they were in boarding schools for 10 consecutive years
Wanaboa 😠
vinavyo wahusu vinawashinda, busy kudandia u-shushushu
Kwa kweliTun
Mfadhaiko wa akili
🤣🤣🙌Me kutokana na hili nimegundua kwamba nimezaliwa nchi ya Mirembe haki ya nani.
🤣🤣🙌 Kwamba hapa bongo dizaini ile haipo??Acheni watu tutanie siku ziende hatujafika level za kua serious kiasi hicho!
We mzee eb kua mkweli hv ukiwaangalia wale wasudani hamna hata wazo linalokuja kichwani?
Bro hiyo ni kazi ya kile kitengo wala usiumize kichwa. Wanataka kupotezea watu waache kujadili kuhusu ishu ya bandari imewakalia vibaya.
Bro hujui hawa jamaa wanavyofanya kaz. Hawa jambo likiwakaba serikali wanatafuta chochote cha kudraw ateshen kwa watu. Wanajua watz wanafuatilia ujinga kuliko vitu vya maana. Hawachelew kuandika Diamond afumaniwaKitengo kinakuja na mbinu ya kitoto kiasi hiki? Na nyie ni wajinga kiasi gani Hadi mchotwe akili kwa mambo ya kijinga jinga namna hii? Huwa nasema watanganyika ni wajinga kuliko viongozi wao this proves it even the thought of it.
For the sake of the argument, kitengo kilijua ishu ya bandari itakua muda muafaka na hawa wasudan so wakianza mipango wakitegema hili kutokea sio?
Nakazia, life was never mean't to be so serious,Usikariri maisha Mkuu mambo yenyewe ni mengi na yanatushinda Wacha tupate break kidogo....don't be toooo serious in life utateseka sana[emoji13][emoji13]muda mwengine unajiachia vimizaha kidogo userious kidogo life linasonga...