Wabunge kama kweli mnalipenda taifa hili na kizazi chake tungeni sheria kupiga marufuku ushoga

Wabunge kama kweli mnalipenda taifa hili na kizazi chake tungeni sheria kupiga marufuku ushoga

Ungekua una akili ungerudi tena juu na kuona uliponi quote, mimi sikurupuki,

Sir Elton John unamjua vizuri hebu nenda kamgoogle ndio uje uongee uzushi wako hapa eti baada ya kujitangaza akaporomoka kimuziki,

Nimekwambia Mashoga wameleta maendeleo Marekani au nimeandika hizo Nchi zilizoruhusu Ushoga zina Maendeleo na Misaada mnakinga kwa hao hao wakati nyie mnaokaza kuupinga uhakika wa Maji safi na Afya bora hamna,

Pole upewe wewe unayekaza kupinga vitu vya kijinga na kuacha vitu vya maana,

Elimu, Elimu, Elimu
Akili za Baba yako aliekuzaa na ukawa shoga zinatosha Acha niangalie mpira Dotimund na RB ifike mwisho hii.
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yaani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya Marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lakini Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata Mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.

Hivi mama Samia Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kutoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba "Mimi kwenye nchi yangu ushoga ni marufuki." Kwani jamani hiyo misaada sisi ndio tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?

Na nyie Wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio bure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye kafanya yake. Yaani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamuoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote, peleka muswada wa sheria, itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.

Yaani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?

Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja mwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lakini kama nchi hatuna msimamo katika hili.
Sheria ipo tangia enzi ya mkoloni itungwe mara ngapi!! Sema utekelezaji ndiyo hakuna na wakienda jela ndiyo wanajifunza ushoga, labda adhabu ibadilishwe iwe viboko 100 hadharani
 
Hii nchi ina viongozi wa ajabu sana naweza kusema hvyo. Yaani wanajali matumbo yao kuliko vizazi vya taifa hili. Tumeona Uganda na Kenya Marais wao wamejitokeza hadharani kuupinga ushoga wazi wazi lakini Tanzania sijaona kiongozi yoyote hata Mwenyekiti wa mtaa akiliongelea jambo hilo.

Hivi mama Samia Mbona sikusikii katika hili? Kizazi kinaharibika mikononi mwako hiki. Simama zungumza hadharani sio zile propaganda mara sijui msiige kutoka sijui wapi. Simama mbele ya hadhara zungumza kwa sauti dunia ikusikie kwamba "Mimi kwenye nchi yangu ushoga ni marufuki." Kwani jamani hiyo misaada sisi ndio tutakuwa wa kwanza kuikosa? Kwani tutakufa? Pamoja na hiyo misaada mbona mchele ni 3500 na mafuta ni 8000/tr mbona hatufi?

Na nyie Wabunge mnaojiita mnawawakilisha wananchi ndio bure kabisa. Hivi kweli hamuoni kizazi kinavyoangamia hiki? Sasa angalia askari naye kafanya yake. Yaani mume wa mke na baba wa watoto na askari mtuliza ghasia naye ni shoga. Hivi hamuoni kama tumefika mbali sana? Potelea pote, peleka muswada wa sheria, itungieni sheria kwamba ushoga na usagaji ni kosa tena litungiwe adhabu kali. Dunia itaiheshimu Tanzania.

Yaani mnajali tu hiyo misaada mnasahau kabisa kizazi kijacho. Hivi kweli nchi kama Tanzania sasa ushoga umeingia mpaka jeshini kuna usalama hapa kweli?

Nayaandika haya kwa uchungu sana. Kinachoniuma sijaona kiongozi hata mmoja mwenye dhamira ya dhati ya kulikomesha hili. Inabaki ni propaganda tu lakini kama nchi hatuna msimamo katika hili.

Ushoga ni kosa kisheria, sheria itungwe mara ngapi Mkuu.
Kumwingilia Mwanamke au Mwanaume kinyume na maumbile ni kosa kisheria adhabu yake ni kifungo cha miaka isiyopungua 20
 
We vipi? Angalia upepo wa ushoga unavuma kutoka wapi. Kama unavuma kutoka nchi wafadhili na wahisani itakuwa ni shughuli pevu kutunga sheria hiyo. Nchi itaandamwa kuwa inakandamiza haki za binadamu na haina demokrasia.
Kuna nchi Asia inaitwa Brunei ilipitisha sheria ya kuwaua wapenzi wa jinsia moja wakubwa kutoka magharibi wakaingilia kati kwa kisingizio cha haki za binadamu
 
Kuna nchi Asia inaitwa Brunei ilipitisha sheria ya kuwaua wapenzi wa jinsia moja wakubwa kutoka magharibi wakaingilia kati kwa kisingizio cha haki za binadamu
kwa tanzania rais awe mjanja kuhusu kutamkatamka wapenzi wa jinsia moja, asiwe kama marais wa uganda na kenya wanavyotamkatamka. Nchi za magharibi ambazo zinaunga mkono ushoga na ni wafadhili zinataka kuona kusikia nini misimamo juu ya wapenzi wa jinsia moja marais wa nchi wanazozipa misaada zinasemaje kuhusu jambo hilo
 
Tunamtaka Mama atoke nje na apinge Ushoga hadharani kabisa na wala sio kimafumbo mafumbo hii ya kupinga ushoga kwa mafumbo mafumbo haikubaliki kamwe, make kuwa neutro ni sawa tu unasapoti.

Tunataka msimamo rasimi wa Serikali kuhusu Ushoga na huo msimamo usambazwe nchi nzima, na tofauti na hapo nitaendelea kuhesabu Tanzania ni moja ya mataifa yanayo sapoti ushoga na kujifanya kupinga ushoga kimafumbo mafumbo.

Bado kauli ya Kangi Lugola kuhusu Ushoga haijawahi kakanushwa.
 
Ni bora huyu, aliekua na kibamia, bado alikua anapekea moto, kuliko alievuliwa nguo akapelekewa yeye moto.

Kile kinepi kinacho oneka kwenye picha kutunga, ni kwa ajili ya stara tu, ila jamaa alikua uchi wa mnyama, wamemtumia wee alafu wakamuua.

Maana mashoga mmeamua kuhama mada, mmehamishia kwenye dini, ili mtuvuruge tuseme mmefaulu.
Izo unaongea ni utunzi huna andiko

Ila pedophile Muhammad kajitaja mwenyewe alikuwa anapiga mbupu katoto Cha miaka 6

Kama sio kibamia ni nini , kidume Cha miaka 60 mshedede unapenyaje kwenye mbunye ya mtoto ?
 
Tukifanya utafiti kupitia member humu, nimegundua mapunga ni wengi sana.
Pedophile Muhammad angekuwa kipindi hichi , lazima tungemkata dudu tutupie mbwa

Mjinga Sana anabakwa vitoto
 
Hospital za serikali baadhi huwapatia vilainishi mashoga ukumbuke hilo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sahivi maduka ya dawa muhimu, wanauza 5k.
 
Kitu kinachonishangaza ni kampeni mnayopinga kataa ushoga mitandaoni wakati ushoga upo ndani ya nyumba zenu !! Nadhani kila mwana kaya aanze na familia yake.
Bora hata wee usemeee, huenda wata kuelewa.
 
Tena wakati makonda anawatia ndani mashoga alitukanwa na hawahawa bavicha .
Serikali ilitoa msimamo huu.

Usiwasingizie Chadema hapa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
JamiiForums-460527473.jpg
 
Wanaanzia wapi?

Wao wenyewe maslahi yao yapo kwenye huo ushoga. Wazungu wakiona wanaume wanapigana denda wanatuma ruzuku.

Ni swala la muda tu, ili kumridhisha mzungu baadhi ya hao wabunge watajitangaza kuwa ni mashoga.

Swala la ushoga lina mizizi mirefu kuliko hata tunavyohisi.

Mzungu kadhamiria watu wa jinsia moja wapakuane vinyesi hadi basi. Na kutimiza hilo kwa huku kwetu katumia udhaifu wa tamaa za viongozi wetu kuhakikisha marijali wanapotea kabisa.

Ukute Bi. Tozo keshakunja mtonyo wake aruhusu makuchu na ndio maana humsikii hata kukemea kama Museveni anavyofanya.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km mwehuuu hapaaa.
 
Watunge sheria wakati sheria zipo na zikataza, au hujui kabisa sheria? Ukifanya mapemzi kinyume adhabu yake miaka 30, sheria ipo
Sasa mbna hawajawahi kufungwa?? Ile sheria iko relevant kwenye ulawiti, na sio ushoga.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeee
 
Hakuna mbunge atafanya hivo ,unataka wapigwe ban kwenda kula bata paris na berlin
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeeeeeeeeeeeeeh
 
Back
Top Bottom