Hapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Dakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
Bora tumebebwa kuliko tungepakatwA kama timu yako ya Wananchi.Mi ni simba ila tumebebwa ukweli usemwe.
Wamekuachia ndugu chambuziHapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Huko nyuma mwiko hamjui kanuni za mpira, hizo dakika ni fidia ya utoto walioufanya hao CS SfaxienHapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Kwani hapa waliongea sana?Ingekua ni Yanga kafunga dakika zile watu wangeongea sana
Hamna kasoro hapo acha upumbavuHapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Kwa akili hizi ukiambiwa hujui mpira utasema umeonewa? Hapo Yanga dk zake za nyongeza hazikuwa na nyongeza?Dakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
Walisem yanga wanabebwaKwani hapa waliongea sana?
Hata dakika za kawaida hawakujiangusha sana! Refa hajafanya fairMpira ni mchezo wa malengo. Kuna upande utahitaji dakika nyingi na kuna upande utahitaji dakika chache.
Wale jamaa ni kweli walikuwa wanapoteza muda na ndio maana zikaomgezwa dakika saba
. Ndani ya dakika saba za nyongeza hawajapoteza muda kabisa, nafikiri refa ameamua tu kuwakomoa.
Halafu wako wanapigia kelele sekunde thelathini na sita mkuu maana goli limefungwa dakika saba na sekunde hizoHizo dk zilikuwa za Simba tu? Wengine waliambiwa waacheni Simba wacheze mfungwe.
Vyura wamekuwa waarabu sasa. HahahaHalafu wako wanapigia kelele sekunde thelathini na sita mkuu maana goli limefungwa dakika saba na sekunde hizo
Hivi Mod.wa zamu nawe umevurugwa na ushindi wa Simba au! Thread kama hii una cha hewani ya nini!?Hapa ndipo naposhaangaa hawa wachambuzi yaani ni kama hiyo kasoro hawajaiona.
Yaani hao saa ya kocha hawaioni japo Camera inaionyesha vizuri?
Ni kweli mkuu. Furaha ya ushindi inafanya wasigundue makosa ya refa.Hata dakika za kawaida hawakujiangusha sana! Refa hajafanya fair
Kajifunze sheria za mpira vizuri kwa hiyo dakika zikiongezwa kipa akalala tibiwa dakika zaishia hapoDakika za nyongeza azinaga nyongeza Babu,,dakika zilishakwisha za kawaida na nyongeza sasa zile nyingine alitaka kitu Gani!
Hivi mnakumbuka kama widady walimfunga simba dakika ya tisini na tano wakati ziliongezwa nne?Ni kweli mkuu. Furaha ya ushindi inafanya wasigundue makosa ya refa.
Uzuri kuimba kupokezana, kuna siku kibao kitageuka zitafululiza nyuzi hapa.
Sikuangalia mechi ya Wydad. Tunaweza kustick kwenye mada husika kama hutojali?Hivi mnakumbuka kama widady walimfunga simba dakika ya tisini na tano wakati ziliongezwa nne?