Wadada siku hizi wanatongoza, hawana aibu tena

Wadada siku hizi wanatongoza, hawana aibu tena

Kuna wanaume ni madomo zege....njia hii nakuwa nimemsaidia pia
Pili kupata unachokitaka...unapomwitaji mtu na kumweleza ukweli means huyo ndo moyo umeridhia
Tatu,nasi tuna moyo,tunapenda ivo ni haki yetu kupata tunachostahili

NB:Bidada,ukimpenda mtu usivunge eti kuogopa jamii itakuchukuliaje....ukitongoza au ukitongozwa ukakubali na ukatoa papuchi...bado threads zitakuja kuuliza "hivi kwanini wasichana wa sikuhizi ni rahisi mno?" Wanaume wengi hawajui wanachokitaka sikuzote
 
Kuna wanaume ni madomo zege....njia hii nakuwa nimemsaidia pia
Pili kupata unachokitaka...unapomwitaji mtu na kumweleza ukweli means huyo ndo moyo umeridhia
Tatu,nasi tuna moyo,tunapenda ivo ni haki yetu kupata tunachostahili

NB:Bidada,ukimpenda mtu usivunge eti kuogopa jamii itakuchukuliaje....ukitongoza au ukitongoza ukakubali na ukatoa papuchi...bado threads zitakuja kuuliza "hivi kwanini wasichana wa sikuhizi ni rahisi mno?" Wanaume wengi hawajui wanachokitaka sikuzote
We To yeye weweee..!!
 
Back
Top Bottom