Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ambapo ukimtongoza wewe hawezi kukuigizia sio?Anaweza kuigiza katika hicho kipindi cha mpito ili lengo lake litimie
Wanasema ndoa ni imani na inabidi tuishi nayo kiimani; hayo mambo yakujiwekea alama nje ili kuwaonyesha uko occupied hayana maana 😀 😀ishonee
Huo ni ulemavutupo wengi mkuu😂
uhuni huoWanasema ndoa ni imani na inabidi tuishi nayo kiimani; hayo mambo yakujiwekea alama nje ili kuwaonyesha uko occupied hayana maana 😀 😀
Nadhani mazingira yanawapa exposureKwenye taasisi hzo za elimu pisi ziko very cheap sana ni ww tu uamue! Ukikutana nae mpange tu kawaida mnapiga life la sogea tukae
mkono mtupu haulambwi kaka....Huo ni ulemavu
Naanzaje kwa mfano?🤣🤣🤣🤣 Niacheee!🤒
Hii inaweza kuwa chanzo cha tatizoWanaume waliozaliwa from 1990 kuendelea 75% hawaowi, 60% wanaishi kwa wazazi.
🤣🤣🤣 Upo?Naanzaje kwa mfano?
Usiniseme kiasi hicho kaka...mkono mtupu haulambwi kaka....
huna hela, huna maisha, huna mvuto....
utatongozwa na nani?? nani atakukubalia ukimtongoza??
Hujakutana na huo mtongozo?
Hili linaweza kuwa jibu; ingawa mara nyingi huwa tunapata tusichokitakaPili kupata unachokitaka...unapomwitaji mtu na kumweleza ukweli means huyo ndo moyo umeridhia
Umenikumbusha hawa vijana wanaoshinda kwenye ofisi za kubeti wapo ukiwaona wanavyoandaa mkeka utazani wapo kwenye paper la UEJibu.
Mambo ni mengi
Mda mchache
... Ma men now wana mambo mengi
Bado ajabet.. bado awaze kutongoza
Hana budi ajiongeze..
Sema mii hiyi bahati sijawahi pata na huwa natafuta kwa hali na mali lakini wapi..... 😂😂😂🤓🤓🤓🤓🤓
Haijakukuta?naona na wew umekuja kutoa ushuhuda?hongera
Na ukiingia hapo, huchomokiMe mwenyewe huku nimebanwa na bidada nakula mtongozo balaa,hadi nashangaa.
Bahati mbaya amenikuta kwenye wakati mgumuuuu mambo yangu financially yameharibika sana.Hapa nawaza tu kupambana yakae sawa na siwazi kabisa mapenzi.
Kingine ni kwamba si pisi kali kabisa na hayupo vizuri financially japo amejiwekeza kidogo.
Nawaza hata nikiomba assistance ya M10 hawezi nipa hata kama ni kuniazima.
Ila kama ana dawa vile,maana anachokitaka cha kukojozwa me ndo Gardiner Jr sasa.