Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Madanguro yapo kila mahali kwa bei rahisi ndio sababu vijana hawataki kuoaWanume pengne wamekua wazembe kujiongeza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Madanguro yapo kila mahali kwa bei rahisi ndio sababu vijana hawataki kuoaWanume pengne wamekua wazembe kujiongeza.
mbona hilo ni jibu mkuu litafutie swaliKwa hiyo wasiovaa pete wote ni wahuni 😀 😀
Mbaya zaidi, yeye anaweza akakuelewa ila wewe hujamwelewa (kuvutia).Hii ndo nzuri sasa ! Kusubiria mtu amfuate inachosha sana , sasa akae benchi mwaka wakati anaona kabisa kuna muhuni pembeni kamuelewa !! Na wanaomfata hawaelewi ! Na wahuni wengine ni wazito analetewa hadi gheto anajifanya haoni 😂😂 Na wanaume tuondoe hofu sio kila demu anayekutaka ana tabia mbaya !😂 Nyonyoa kuku huyo ,kienyeji ni tamu sana.
Wasalaam
Haina shida, tunawasubiri kwenye kulipa billKwan sie hatuna upwiru
Yah sasa haya maua tunajilia sisi wakongwe tu maana maua yanaitaji matunzo bwanaHii inaweza kuwa chanzo cha tatizo
Mkitaka tulingane kila ktu msije lalamika tuna viburiHaina shida, tunawasubiri kwenye kulipa bill
Ni kweli wengi wanahitaji, sehemu ya uhakika wa matunzo.Yah sasa haya maua tunajilia sisi wakongwe tu maana maua yanaitaji matunzo bwana
Sasa viburi vya nini; mbona sisi tunawahudumia bila kuwa na viburi?Mkitaka tulingane kila ktu msije lalamika tuna viburi
Tena waibebe kabisa waipeleke huko kwaoBwa Sheee.... Bandari anauziwa Mwarabu.... huku...
Thread kama hizi zinafanya wadada wapunguze kufunguka...Kuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi.
Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani; tukawa tunaongea na kubadilishana mawazo ya hapa na pale.
Mara akaja mkufunzi mmoja wa kike, akatupa hai, tukawa tunaongea huku tunacheka. Mara yule mkufunzi akaniuliza, ''huna mdogo wako aje anioe, nimechoka kuwa mwenyewe''. Nilishtuka ghafla kutokana na huo ujasiri aliokuwa nao, mpaka kunitamkia hayo maneno bila kupepesa macho.
Nikamuuliza, uko siriazi? Akanijibu, ndio; nami nikamjibu, ''kwa bahati mbaya wote walishaoa, na wakike walishaolewa''.
Ila katika kutafakari, nikahisi ujumbe ulikuwa unanilenga mimi, kwa sababu huwa nikitembea huwa sivai pete ya ndoa.
Ikabidi nimjibu kwa kifupi, nitakutafutia.
Swali langu; kwa nini nyakati hizi wadada wamekuwa wepesi kuwafungukia wanaume?
Si ndo desturi ilivyo nyie mnahudumiwa na sisi tunahudumiwa. Ukibadili mfumo kiburi lazima kijeSasa viburi vya nini; mbona sisi tunawahudumia bila kuwa na viburi?
Kwaio unataka maisha😂😂😂Kuna mmoja apa ninapoishi umri umeenda naona anavoangaika na me tatizo sio pisi kali na hana maisha kabisa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Na mara nyingi inakuaga hivi, demu anayekufata kumwelewa sio rahisiMbaya zaidi, yeye anaweza akakuelewa ila wewe hujamwelewa (kuvutia).
Wapo very serious...Umenikumbusha hawa vijana wanaoshinda kwenye ofisi za kubeti wapo ukiwaona wanavyoandaa mkeka utazani wapo kwenye paper la UE
Watafunguka tu, kutokana na haya mabadiliko ya tabia nchi, hakuna namnaThread kama hizi zinafanya wadada wapunguze kufunguka...
Tanzania ndo bado tunashangaa..
Wadada Kenya na kwingineko kutongoza akikuelewa kawaida sana
Ebu msaidie, asije akajinyonga kwa sababu yakoKuna mmoja apa ninapoishi umri umeenda naona anavoangaika na me tatizo sio pisi kali na hana maisha kabisa
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Umefanya utafiti au unaandika tu?Wanaume waliozaliwa from 1990 kuendelea 75% hawaowi, 60% wanaishi kwa wazazi.