Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #101
Kukataa mara nyingi huwa inakuwa ngumuSisi wanaume ni rahisi sana kukubali tukitongozwa na Wanawake.
Ni maji mara moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukataa mara nyingi huwa inakuwa ngumuSisi wanaume ni rahisi sana kukubali tukitongozwa na Wanawake.
Ni maji mara moja.
Maandiko yaliona mbaliNadhani ule utabiri wa kwenye biblia Isaiah 4:1 umeanza kutimia mdogo mdogo.
Nami acha nisubiri zamu yangu ya kutongozwa na mwanamke.
Nimekaa pale 👉
Ipo siku kifaa kitajileta na utashindwa kuchomoaMimi wanawake walio nifungukia wote ,walikuwa wa hovyo, mmoja mke wa mtu ni ana bonge la shape, ila anakula bange.Wapili anagrocery yake ila nae ni chama la wana.Ila huyu wa grocery nahisi alikiwa anataka kunitegeshea mimba,kwani baada kama ya miezi miwili nikasikia ana mimba,akaja kujifungua baba wa mtoto hajulikani.
Nikamuuliza, uko siriazi? Akanijibu, ndio; nami nikamjibu, ''kwa bahati mbaya wote walishaoa, na wakike walishaolewa''.
Ila hapo na wewe naona hata Dada ungemuoza huyo binti kwa maneno yako mwenyewe
Kuhusu kutongozwa na wanawake lipo sana kwani wengi huwa tunapata mademu kwa hisia zao
Yaani hapa nimekaa kuna wawili kwa nyakati tofauti wanaonekana wako interesting Nami ila sio kwa kusema bali macho tu unajua
Wewe fala, huo ni utani wa kawaida sana mjiniKuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi.
Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani; tukawa tunaongea na kubadilishana mawazo ya hapa na pale.
Mara akaja mkufunzi mmoja wa kike, akatupa hai, tukawa tunaongea huku tunacheka. Mara yule mkufunzi akaniuliza, ''huna mdogo wako aje anioe, nimechoka kuwa mwenyewe''. Nilishtuka ghafla kutokana na huo ujasiri aliokuwa nao, mpaka kunitamkia hayo maneno bila kupepesa macho.
Nikamuuliza, uko siriazi? Akanijibu, ndio; nami nikamjibu, ''kwa bahati mbaya wote walishaoa, na wakike walishaolewa''.
Ila katika kutafakari, nikahisi ujumbe ulikuwa unanilenga mimi, kwa sababu huwa nikitembea huwa sivai pete ya ndoa.
Ikabidi nimjibu kwa kifupi, nitakutafutia.
Swali langu; kwa nini nyakati hizi wadada wamekuwa wepesi kuwafungukia wanaume?
Vifaa vyenyewe hivi vinapenda hela,halafu sio waaminifu.Ipo siku kifaa kitajileta na utashindwa kuchomoa
Alikuwa siriazi hacheki kabisa, anataka moto wa peke yakeWewe fala, huo ni utani wa kawaida sana mjini
Ni kweli, wengi ndio wapo hivyoVifaa vyenyewe hivi vinapenda hela,halafu sio waaminifu.
Umewahi sana kuanza umalaya ulikuwa hujakua😁😁😁Alikuwa siriazi hacheki kabisa, anataka moto wa peke yake
Kweli kabisaKwa hali ya sasa wanafunguka kabisa, wengine wanakwambia usiponishughulikia wewe, unataka nani anishughulikie?
Mapepe/wacheshi wanatafuna warembo sana usidanganyike.Mie juz kati nilikuwa beach flan hivi.. ghafla kikaja kimemo mezani.. nikakisoma nikakausha, wale wadada walikuwa kwa juu yaan kama kuna kighorofa hivi cha mbao.
Nikawa nakula gambe mwenyewe mdg mdg ghafla akaja tena mwingine apart from wale huyu yeye alikuja kama mwakilishi kaja tyr kaandika 0 kwenye dial pad. Nikamalia digits zilizofata hapo hapo ikaja text.. the rest is history.
Hawa Wanahisia pia, ila nilichojifunza kwa kila namna jitahidi kujiweka serious. Watu serious ndio wanakumbana na changamoto za mitongozo compared to wale wenye mapepe.
Itakuwa ni 60% ya hiyo 75% labda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umefanya utafiti au unaandika tu?
75+65=135%
Hivi unajua maana ya mtu Mapepe?Mapepe/wacheshi wanatafuna warembo sana usidanganyike.
Wanawake wengi hawapendi casual relationship na mwanaume mikausho/gubu.
Bali wanawake wanataka mume kauzu pia.
Unisome vizuri usichanganye habari mbili tofauti nilizoziongelea
Kwa ujumla inaonekana wanaume halisia ni wachache sana, ndio maana wanawake wengi nyakati hizi hawaolewikwa mfumo huu wa haki sawa wanaume tutakua tunawaona wanawake wakawaida tu yan wao watakua wahangaika kututafuta pia uwepo wa mambo ya mashoga ndo kabsa
Hapana, yeye anatafuta ndoaWe nae umechukulia serious....huenda alikuwa anatania
Ila ht akiwa anamaanisha mbona sio vibaya ameamua afunguke tu we kama una connection mtupie mambo yasiwe mengi
Hamuwaoi ndyo maana wanaona wajiongeze japo approach yetu mnaichukulia tofauti sanaKwa ujumla inaonekana wanaume halisia ni wachache sana, ndio maana wanawake wengi nyakati hizi hawaolewi
miaka 10 mingi sana, mie sasa hivi nazikimbia mbususu tena kaliii sanaa yani, zingine hadi nina zi block 😅😅Waoaji hawapo wee subiri tuu ndani ya miaka kumi ijayo mbona tutakuwa tunazikataa mbususu wenyewe