DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Good man are a rare
Naomba nichangie Uzi huu kuwa wanaume wale wanajiita musculinity ambao wapo na upendo na wanajua namna kumu handle Mwanamke had wapo wachache Sana na ukiangalia wanawake wote wanawahitaji so inakuaga ngumu Sana .
Kila mwanamke anahitaji mwanume smart Good man musculinity na hao wanaume tupo wachache na tunahesabika so nadhani mtoa Mada yupo katika hili kundi la musculinity na lazima atongozwe Sana.
Naomba nichangie Uzi huu kuwa wanaume wale wanajiita musculinity ambao wapo na upendo na wanajua namna kumu handle Mwanamke had wapo wachache Sana na ukiangalia wanawake wote wanawahitaji so inakuaga ngumu Sana .
Kila mwanamke anahitaji mwanume smart Good man musculinity na hao wanaume tupo wachache na tunahesabika so nadhani mtoa Mada yupo katika hili kundi la musculinity na lazima atongozwe Sana.