Wadada siku hizi wanatongoza, hawana aibu tena

Wadada siku hizi wanatongoza, hawana aibu tena

Good man are a rare

Naomba nichangie Uzi huu kuwa wanaume wale wanajiita musculinity ambao wapo na upendo na wanajua namna kumu handle Mwanamke had wapo wachache Sana na ukiangalia wanawake wote wanawahitaji so inakuaga ngumu Sana .

Kila mwanamke anahitaji mwanume smart Good man musculinity na hao wanaume tupo wachache na tunahesabika so nadhani mtoa Mada yupo katika hili kundi la musculinity na lazima atongozwe Sana.
 
Tatizo wanaume nao wanaolewa, sasa nani ataoa hao wanawake?
Hao wataolewa tuu wala usijali...ilisha andikwa kiwa wanawake saba watamkimbilia mwanaume mmoja ili tu waitwe ka jina lake. Patience is a virtue wee linda afya yako. Mambk mazuri yanakuja huko mbeleni, yaani mbususu zinaomba uzigegede
 
Kuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi.

Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani; tukawa tunaongea na kubadilishana mawazo ya hapa na pale.

Mara akaja mkufunzi mmoja wa kike, akatupa hai, tukawa tunaongea huku tunacheka. Mara yule mkufunzi akaniuliza, ''huna mdogo wako aje anioe, nimechoka kuwa mwenyewe''. Nilishtuka ghafla kutokana na huo ujasiri aliokuwa nao, mpaka kunitamkia hayo maneno bila kupepesa macho.

Nikamuuliza, uko siriazi? Akanijibu, ndio; nami nikamjibu, ''kwa bahati mbaya wote walishaoa, na wakike walishaolewa''.

Ila katika kutafakari, nikahisi ujumbe ulikuwa unanilenga mimi, kwa sababu huwa nikitembea huwa sivai pete ya ndoa.

Ikabidi nimjibu kwa kifupi, nitakutafutia.

Swali langu; kwa nini nyakati hizi wadada wamekuwa wepesi kuwafungukia wanaume?
The future is female
 
Kuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi.

Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani; tukawa tunaongea na kubadilishana mawazo ya hapa na pale.

Mara akaja mkufunzi mmoja wa kike, akatupa hai, tukawa tunaongea huku tunacheka. Mara yule mkufunzi akaniuliza, ''huna mdogo wako aje anioe, nimechoka kuwa mwenyewe''. Nilishtuka ghafla kutokana na huo ujasiri aliokuwa nao, mpaka kunitamkia hayo maneno bila kupepesa macho.

Nikamuuliza, uko siriazi? Akanijibu, ndio; nami nikamjibu, ''kwa bahati mbaya wote walishaoa, na wakike walishaolewa''.

Ila katika kutafakari, nikahisi ujumbe ulikuwa unanilenga mimi, kwa sababu huwa nikitembea huwa sivai pete ya ndoa.

Ikabidi nimjibu kwa kifupi, nitakutafutia.

Swali langu; kwa nini nyakati hizi wadada wamekuwa wepesi kuwafungukia wanaume?
Una umri wa miaka mingapi mkuu?
 
Kuna wanaume ni madomo zege....njia hii nakuwa nimemsaidia pia
Pili kupata unachokitaka...unapomwitaji mtu na kumweleza ukweli means huyo ndo moyo umeridhia
Tatu,nasi tuna moyo,tunapenda ivo ni haki yetu kupata tunachostahili

NB:Bidada,ukimpenda mtu usivunge eti kuogopa jamii itakuchukuliaje....ukitongoza au ukitongozwa ukakubali na ukatoa papuchi...bado threads zitakuja kuuliza "hivi kwanini wasichana wa sikuhizi ni rahisi mno?" Wanaume wengi hawajui wanachokitaka sikuzote

Mtaalam ushasema case closed, washaelewa
 
Mkuu una bahati sana.
Mimi ni mdogo wako lkn ukiachana na huyo uliyekutana naye kwa njia aliyotumia alijitahidi sana kuvumilia.

Mimi nilishachanwa waziwazi mara nne na wanawake,wasichana lkn sikushangaa kwani na wao ni binadamu wana hisia.

Wawili walifanikiwa na mmoja kati ya hawa wawili nilimuoa ijapo miaka 8 baadae tuliachana.

Wawili hawakufanikisha kabisa ila ktk hali ambayo haikuwa na athari kubwa sana kwani niliwachukulia positively na mmoja kati ya hawa ni rafiki yangu wa karibu mpaka leo.
 
Kwasababu nao wana hisia na wanajitambua

Ama ni illegal kuelezea hisia kwasababu ya kuwa mwanamke?
Ni haki kuelezea Hisia, ila ukweli ni kwamba Mwanaume ndio anapaswa kuanzaa, yaani tukiongelea nature na tamaduni.. Hii ya kisasa tunafosi tu.. Ila ukweli wanaume wengi wanaotongozwa na wanawake they feel low, hata wakiwa ktk mahusiano wengi wanaona wajibu wao umechukuliwa na mwanamke, huwa wa nawaza kama alinitongoza yeye, si anaweza ongoza wengine? Mara nyingi huwa wasumbufu ktk mahusiano just to demand their position as man maana they feel ilitekwa wakati anakubali kutongozeka.. Hugeuka kuwa kama chumaulete kwa wanawake.. Yaani so demanding... Ndio unaona wadada wa nahangaika Sana kuwapa kila kitu ili wasiwaache... Yaani kama unamtu wa hivyo... Hesabu tu huna mpenzi... Tembea tu.. Mwombe Mungu akupe atakae kupenda🙏
 
Ila sijaona alipokutongoza ujue au sijasoma vizuri

Halafu dhana ya tumetoka mbali haina mashiko siku hz kaka
Unaweza kutana na mtu mwezi huu miezi mitatu mbele anakuwa life partner na mnafika mbali

Ndio inawezekana ila muwe mnafana fanana sehemu nyingi.. sio mmoja tajiri ana mali kibao.. mwingine anamiliki lipstic, viatu na mikoba halafu aseme mnafika mbali huku anakutaka sababu ya faida zake kiuchumi
 
Ukimpenda wala hutoangalia visababu vidogovidogo km hvyo

Endelea kujidanganya.. pia kumpenda mtu sio sababu ya kufunga nae ndoa. Kuna vitu vinafanya ndoa ifungwe

tazama ndoa zinazofungwa.. kama bwana harusi ni mambo safi unakuta na mwanamke ni mambo safi ama ana kipato kilichonyooka

Tambua Marriage is a legally binding contract.

Sasa What fool doesn’t want to know the other party’s strengths? Kabla hajafunga nae ndoa
 
Kuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi.

Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani; tukawa tunaongea na kubadilishana mawazo ya hapa na pale.

Mara akaja mkufunzi mmoja wa kike, akatupa hai, tukawa tunaongea huku tunacheka. Mara yule mkufunzi akaniuliza, ''huna mdogo wako aje anioe, nimechoka kuwa mwenyewe''. Nilishtuka ghafla kutokana na huo ujasiri aliokuwa nao, mpaka kunitamkia hayo maneno bila kupepesa macho.

Nikamuuliza, uko siriazi? Akanijibu, ndio; nami nikamjibu, ''kwa bahati mbaya wote walishaoa, na wakike walishaolewa''.

Ila katika kutafakari, nikahisi ujumbe ulikuwa unanilenga mimi, kwa sababu huwa nikitembea huwa sivai pete ya ndoa.

Ikabidi nimjibu kwa kifupi, nitakutafutia.

Swali langu; kwa nini nyakati hizi wadada wamekuwa wepesi kuwafungukia wanaume?
Aisee..yaani tukio moja tu umefanya majumuisho kwa wote..sidhani kama sampuli yako ni sahihi.
 
Back
Top Bottom