atlas copco
JF-Expert Member
- Jun 15, 2015
- 8,497
- 9,728
Tena wa kwenu ni balaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Kwan sie hatuna upwiru
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena wa kwenu ni balaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]Kwan sie hatuna upwiru
Hujachukua namba🤔🤔🤔Kuna siku nilitembelea chuo fulani, kwa ajili ya shughuli tu za kikazi.
Ile nikiwa kwenye foleni katika kusubiri huduma, nikakutana na jamaa zangu wawili ambao tulikuwa tunafahamiana huko mtaani; tukawa tunaongea na kubadilishana mawazo ya hapa na pale.
Swali langu; kwa nini nyakati hizi wadada wamekuwa wepesi kuwafungukia wanaume?
Kizazi cha 2000Mi npo mwishoni mwa range ya miaka aliyoitaja hapo, sikai home kwa wazeee wala sijakataa kuoa npo zangu ngu nasaka hela kimtindo anatokea mwamba kashiriki misa ya pili akitoka anaanza kupika data
Huyo aliekukataa anajitambua sanaSion shida hapa nakumbuka chuon wadada wawili washanifwataga sana nikawatolea nje walikuw wachafu hawajui kuvaa walipo jua kuvaa na usafi nikawafwata mmoja alinikataaa kabisa mwingine alinipa mara moja tu na hakurudia tena mpka leo
Sawa mkuuHuyo aliekukataa anajitambua sana
Haya mnafiki wa kujitegemeaMkuu una bahati sana.
Mimi ni mdogo wako lkn ukiachana na huyo uliyekutana naye kwa njia aliyotumia alijitahidi sana kuvumilia.
Mimi nilishachanwa waziwazi mara nne na wanawake,wasichana lkn sikushangaa kwani na wao ni binadamu wana hisia.
Wawili walifanikiwa na mmoja kati ya hawa wawili nilimuoa ijapo miaka 8 baadae tuliachana.
Wawili hawakufanikisha kabisa ila ktk hali ambayo haikuwa na athari kubwa sana kwani niliwachukulia positively na mmoja kati ya hawa ni rafiki yangu wa karibu mpaka leo.
Had tunacheka ovyoTena wa kwenu ni balaaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama una mzigo utalogwa tu,ila kama hali Jojo mbe hakuna wa kukuroga mkuu😁😁😁😁Hatari sana, muhimu tu wasituloge 😀
Ndio!Kizazi cha 2000
Mtu hana hela unaroga wa nn kama sio uharibifu wa dawaKama una mzigo utalogwa tu,ila kama hali Jojo mbe hakuna wa kukuroga mkuu😁😁😁😁
Mnakuwaga vichaa kwa muda[emoji2][emoji2] sababu ya Kumiss [emoji533]Had tunacheka ovyo
Eh ndo natureMnakuwaga vichaa kwa muda[emoji2][emoji2] sababu ya Kumiss [emoji533]
🤣🤣🤣🤣Kwa kweli...Mtu hana hela unaroga wa nn kama sio uharibifu wa dawa
Unaonekana sio wa cuba weweUmefanya utafiti au unaandika tu?
75+65=135%
Je na kama yeye ana duka? Balance story.Nachojua wanawake wakipenda Huwa wanatongoza indirect,kama una duka atakuwa anakuja mida mbovu na nguo loose,ili ujiongeze