Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Bora uwe wazi ukataliwe kuliko kuliko kuficha hisia uumieHamuwaoi ndyo maana wanaona wajiongeze japo approach yetu mnaichukulia tofauti sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora uwe wazi ukataliwe kuliko kuliko kuficha hisia uumieHamuwaoi ndyo maana wanaona wajiongeze japo approach yetu mnaichukulia tofauti sana
Ndiyo unatupa nyavu shwaaa akiruka nayo fresh akichomoa unajaribu kwengine 😊Bora uwe wazi ukataliwe kuliko kuliko kuficha hisia uumie
Yes mvuvi hachoki hadi achomoe samaki shwaaNdiyo unatupa nyavu shwaaa akiruka nayo fresh akichomoa unajaribu kwengine 😊
Unatongozaje mtu ambae anakukataa aisee 😅😅Bora uwe wazi ukataliwe kuliko kuliko kuficha hisia uumie
Soma vzr alichoandikaItakuwa ni 60% ya hiyo 75% labda[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wengi sisi wanaume tuna wake zetu tulioanza nao chini tukiwa hatuna kitu; leo hii ninapokuja kuonekana kwenye macho yako, tayari kuna mtu huko nyuma alishanijenga, kwa hiyo inatokea tayari nina mke; kwa hiyo kukubalia ombi la ndoa inakuwa ngumu.Hamuwaoi ndyo maana wanaona wajiongeze japo approach yetu mnaichukulia tofauti sana
Kutongoza ni sayansi hasa inahitaji timing.Unatongozaje mtu ambae anakukataa aisee 😅😅
Ila sijaona alipokutongoza ujue au sijasoma vizuriWengi sisi wanaume tuna wake zetu tulioanza nao chini tukiwa hatuna kitu; leo hii ninapokuja kuonekana kwenye macho yako, tayari kuna mtu huko nyuma alishanijenga, kwa hiyo inatokea tayari nina mke; kwa hiyo kukubalia ombi la ndoa inakuwa ngumu.
Ni vizuri kama wangekuwa wanaonyesha hisia zao kwa wale ambao bado wanajipanga kimaisha, ingekuwa vizuri sana.
Hivi kuna sehemu yeyote umeona mdada wa watu akimtongoza mtu kwenye huu uzi?Kwasababu nao wana hisia na wanajitambua
Ama ni illegal kuelezea hisia kwasababu ya kuwa mwanamke?
Ukiona mtu anakuambia kitu huku ameng'ata mdomo anakuwa anamaanisha.Ila sijaona alipokutongoza ujue au sijasoma vizuri
Halafu dhana ya tumetoka mbali haina mashiko siku hz kaka
Unaweza kutana na mtu mwezi huu miezi mitatu mbele anakuwa life partner na mnafika mbali
Sema na weweHivi kuna sehemu yeyote umeona mdada wa watu akimtongoza mtu kwenye huu uzi?
Au mimi ndio sijui maana yq kutongoza?
Mhhh hapa umetupigaUkiona mtu anakuambia kitu huku ameng'ata mdomo anakuwa anamaanisha.
Pia nyakati hizi kujua mwenye dhamira ya dhati inakuwa ni ngumu, wengi sana wako kifursa
Madogo wa siku hizi ukimwita dear tu anajua kashatongozwa. Sasa mdada wa watu anafanya utani njemba inadhani imetongozwa. Ukute mdada wa watu ni mke wa mtu siku nyingi tu...Sema na wewe
Wapi hujaelewa tuelimishane 😀 😀 au wewe bado una aibu kama wadada wa zamani?Mhhh hapa umetupiga
Yaani naona jamaa kachukulia serious hadi kafungua uzi.....halafu kwani kutongoza ni dhambi??? Kumbuka kwenye biblia Luth alijipeleka kwa Boaz and the rest was historyMadogo wa siku hizi ukimwita dear tu anajua kashatongozwa. Sasa mdada wa watu anafanya utani njemba inadhani imetongozwa. Ukute mdada wa watu ni mke wa mtu siku nyingi tu...
Hapo kwenye kunga'ta midomoWapi hujaelewa tuelimishane 😀 😀 au wewe bado una aibu kama wadada wa zamani?
Sijaona mtongozo hapo. Makazini kuitana bebi, sijui mume au mchumba mbona mambo ya kawaida sana tu....Yaani naona jamaa kachukulia serious hadi kafungua uzi.....halafu kwani kutongoza ni dhambi??? Kumbuka kwenye biblia Luth alijipeleka kwa Boaz and the rest was history
Nashukuru umeuelewa uzi.....halafu kwani kutongoza ni dhambi??? Kumbuka kwenye biblia Luth alijipeleka kwa Boaz and the rest was history
Alikuwa na hisia kali, ningekuwa mzembe tu; muda huo angetoroka kazini akanyooshe uti wa mgongoHapo kwenye kunga'ta midomo