Wadau naomba mnijuze hiki kifaa kinauzwa bei gani

Mkuu hiyo ni Mpya kabisa angalia vizuri, bei ya mwisho nauza 70.

NOTE: siuzii shida, nauza kwasababu kipo kinapigwa na vumbi bila matumizi yoyote.
 
Naona master unatafuta point 3 kisela ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…