Wadau wapinga Rais Samia na Makamu wake kuingia na Viti binafsi Kanisani, yadaiwa ni kujikweza

Shida ya PSU ya Sasa ni ya kujipendekeza sana, wamejaa Wapemba watupu Advance Team.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Inaonesha una chuki binafsi tu na huu uongozi, maana haina maana kulalamikia viti badala ya kuandika nyuzi zinazolenga maendeleo.
 
Inaonesha una chuki binafsi tu na huu uongozi, maana haina maana kulalamikia viti badala ya kuandika nyuzi zinazolenga maendeleo.
Mleta Mada Anapinga watawala Wa Sasa kuvunja tatatibu za Kanisa Wakati utaratibu wanaujua. Mbwembwe Zao wazifanyie Huko Nje ya madhabau. Halafu namshangaa Kilaini kukubali Huo Ujinga uliofanywa Hapo Kanisani

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mada nyepesi sana. JPM alikalia kiti cha kwake alicholetewa na wasaidizi wake siku ile alipokwenda chuo kikuu na kuongea na wasomi hakuna aliyekuja na uzi kabisa.

Lakini JPM hakuwahi kukalia kiti tofauti na mabench ya kanisani!
Hajawahi kupelekewa kiti na wasaidizi wake kanisani, aliheshimu sana madhabahu ukiacha mapungufu yake mengine!
Angefanya kama hawa ungeona, jinsi magazeti yangepambwa!
 

NENO walahi!
Rais wa nchi huwezi kumfananisha na raia, sasa hivi kuna kila aina ya sumu ya kuwwangamiza hawa marais wetu wa AFRIKA haswa wanapoona kazi vizuri!
Tuwa heshima viongozi wetu kwa maana hata neno la Mwenye Enzi Mungu linatuagiza hivyo!
Remain blessed!
Acha hasira utakosa baraka zako!
 
Kwani utaratibu wa kanisa unataka kila mtu akalie benchi?

Kanisa lilishiriki katika maandalizi yote ya misa na kufuata protocal stahiki ikiwemo kuandaa sehem Rais atakayokaa! kwanini mumlaumu Huyu Rais na siyo Jimbo husika?

Mbona watanzania tuna kuza vitu vidogo vidogo visivyo na maana! mimi pamoja na Kuwa muumini wa kanisa, jambo hili tunalikuza tuu, wakati halina impact yoyote kwenye imani!

Wakatolik sio watu wa kumind kitu kama icho, watu mnakuza tu huu mjadala lionekane ni jambo kuuubwa!
 
Lakini JPM hakuwahi kukalia kiti tofauti na mabench ya kanisani!
Hajawahi kupelekewa kiti na wasaidizi wake kanisani, aliheshimu sana madhabahu ukiacha mapungufu yake mengine!
Angefanya kama hawa ungeona, jinsi magazeti yangepambwa!
Kwani kupeleka kiti kanisani ni kudharau madhabahu?

Jambo hili linanishangaza sana!
 
Wamuulize Magufuli leo amekalia kiti gani
 
Siku Samia akiingia na Kiti kwenye msikiti wangu huu wa Temeke.

Mimi
 
Wasiingie tena kwenye makanisa yetu.

Hivi huko msikitini pia anaingia na kiti chake??
 
Wasiingie tena kwenye makanisa yetu.

Hivi huko msikitini pia anaingia na kiti chake??
Sidhani kama ni Big deal, mimi namkaribisha aje hata na Meza yake hapa Msikitini Temeke Sudani.
 
Wanaangalia na mtu.

Nyerere angekubali kukalia kiti kile hata kama kaletewa???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…