Wafanyakazi wako wanakuibia? Jaribu mbinu niliyotumia wangu wakaacha

Bora nimepita hapa nimesoma huu uzi maana tulitishwa sana na mfanyakazi mwezetu sasa jipange lazima maji uite ummma....!
 
Kumbe ilikuwa janja janja ngoja nikawaambie wafanyakazi wenzangu pia nitawaonyesha huu uzi kama watakuwa hawaamini maneno yangu. Aksante.
 
Kumbe ilikuwa janja janja ngoja nikawaambie wafanyakazi wenzangu pia nitawaonyesha huu uzi kama watakuwa hawaamini maneno yangu. Aksante.
Kumbe ilikuwa janja janja ngoja nikawaambie wafanyakazi wenzangu pia nitawaonyesha huu uzi kama watakuwa hawaamini maneno yangu. Aksante.
😃😁😁
 
Umenikumbusha shemeji yangu aliiba mno hadi tukapata hasara tukafunga mradi toka siku hiyo yupo hana shughul
 
Itakua unawakipa mshahara kiduchu mkuu...

Nakuhakikishia wataendelea kuiba.
Mswahili na Muhindi siku zote wanataka wapate wao na wafanyakazi wawe watumwa wao.
Mimi Boss Mswahili namuibia vizuri tu,wengi ni wabinafsi na wanyonyaji ila Mzungu simuibii kwasababu huwa wamenyooka sana mambo yao.
 
UBaya ni kwamba tunaosoma Hii makala wote Ni wafanyakazi siyo maboss kwahiyo umefeli Chief
 
Mswahili na Muhindi siku zote wanataka wapate wao na wafanyakazi wawe watumwa wao.
Mimi Boss Mswahili namuibia vizuri tu,wengi ni wabinafsi na wanyonyaji ila Mzungu simuibii kwasababu huwa wamenyooka sana mambo yao.
Bila shaka mtoa mada ana miliki supermarket...

Hua wanalipa wafanyakazi 120,000/= hadi 150,000/= huwezi kukwepa kuibiwa kwa mshahara huo...

Maana wafanyakazi wanaona pesa wanayokuingizia kwa siku ni nyingi sana then mwisho wa mwezi unawalipa 120 na wengine wana familia.
 
Ahaa kumbe yule shoga yako ni muongo siyo!

Mshahara unalipa kiduchu halafu tukichukua hela za kula unasema tunaakuibia?

Mikazi yote ile kweli boss huna huruma na sisi!
 
Mswahili na Muhindi siku zote wanataka wapate wao na wafanyakazi wawe watumwa wao.
Mimi Boss Mswahili namuibia vizuri tu,wengi ni wabinafsi na wanyonyaji ila Mzungu simuibii kwasababu huwa wamenyooka sana mambo yao.
Mara nyingi uwezo wa waajiri wengi wa kizungu ni mkubwa kulinganisha na waajiri wa kiafrika.Kuwaza hivyo ni kutuonea na kurudishana nyuma mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…