Bashite yuko wapi?Sabaya ni fisadi au mlitaka TU kumkomoa Ili mpate milage ya kisiasa mbaya zaidi wale mliotaka kuwa impress wakawatukana mkawabumbia kesi ya ugaid; ila Faiza mbona tukisrma hii ID ya mama husemi kitu?
Kama no wewe mama unachemsha sana sijui ni uoga au ni nini
Huyo SI memshindwa? Au mmemkamata kimya kimya?Makonda yuko wapi?
Hahaha Jiwe tunabidi tukamuwekee jiwe kubwa kaburini asifufuke hata siku ya mwisho[emoji23][emoji23]Magufuli kama mwanasiasa mwenzangu ndani ya CCM,kosa lake kubwa likikuwa ni kuasisi siasa za chuki
Mingine namsamehe ila ilon hapana
Muweke jina la magufuli na mbowe asimame lisu au mbowe tufanye uchaguzi mda wowote iwone marehe anavyowagalagazaKidume pia kikashindwa kuwakakamata "wasiojulikana", watu wakapotea na wakosoaji kukimbia nchi. Mwamba akasigina katiba,
Uchaguzi ukawa wa hovyo, bunge la Ndugai likawa sehemu ya serikali, aidha kuwa chama pinzani likawa kosa kwa raia.
Kwa kifupi, kama sio woga, unafiki, ujinga wa Watanzania alikuwa atuingize kwenye machafuko! Binafsi namsamehe yoteee ila la Watanzania kutekwa, kupotea, watu kukimbia nchi yao hapana!
Orijino ya mafisadi?Magufuli aliondoka na ccm yake feki. Orijino imebaki inadunda.
Vipi kuhusu fedha za plea bargain?Orijino ya mafisadi?
Libibi linafiki wewe, nakumbuka ulivyokuwa mstari wa mbele kumtukuza magufuli hata akivurunda!
Ukatusisitiza kwamba ati cherehani ni kiwanda!
Bibi la hovyo sana wewe! Na hapo IKULU ujiandae kutoka! Alaah!
Legacy inafunikwa vibaya Sasa wanahaha kukwamisha miradi na program za Rais Samia..Ni miaka miwili sasa tangu Magufuli afariki dunia, huku baadhi ya wafuasi halisi wa Magufuli wakigoma kuamini katika mioyo yao au kutambua katika akili zao kuwa, kwa hakika Magufuli alishakufa na milele hataweza kurejea tena huku siasa zake mbovu taratibu zikizikwa na rais Samia Suluhu.
Hao watu wanaamini kuwa japokuwa Magufuli kimwili alishakufa lakini kiroho bado anaishi katikati yetu, hivyo anaweza kuendelea kuathiri maisha yetu au ipo siku utawala na siasa zake zitafufuliwa upya na kuendelea kuongoza Tanzania!
Wapo wanasiasa wajanja waliokuwa wafuasi kindaki ndaki wa Magufuli waliweza kutambua kiuhalisia Magufuli hayupo tena na siasa zake hazina nafasi na kwa haraka sana wakaanza kuimba nyimbo mpya za kumsifia Samia huku wakimdhihaki kimtindo Magufuli na siasa zake.
Wafuasi hao wa Magufuli hawafurahishwi na hatua yoyote ya maendeleo (kisiasa, kiuchumi, kijamii) inayopigwa na mama Samia ambayo Magufuli hakuifikia au hatua yoyote ya kufutwa kwa baadhi yq siasa za Magufuli zisizokuwa na maana kwa watanzania.
Wao wanataka kuona Magufuli akisifiwa katikati ya utawala wa Samia (wakati Magufuli alikuwa kinara wa kubeza serikali zote za Tanzania zilizomtangulia) au kuona utawala wa Samia ukianguka kwa namna yoyote.
Hawa hapa wamezimia ila wameng'ang'ania sangara wao mkononiNi miaka miwili sasa tangu Magufuli afariki dunia, huku baadhi ya wafuasi halisi wa Magufuli wakigoma kuamini katika mioyo yao au kutambua katika akili zao kuwa, kwa hakika Magufuli alishakufa na milele hataweza kurejea tena huku siasa zake mbovu taratibu zikizikwa na rais Samia Suluhu.
Hao watu wanaamini kuwa japokuwa Magufuli kimwili alishakufa lakini kiroho bado anaishi katikati yetu, hivyo anaweza kuendelea kuathiri maisha yetu au ipo siku utawala na siasa zake zitafufuliwa upya na kuendelea kuongoza Tanzania!
Wapo wanasiasa wajanja waliokuwa wafuasi kindaki ndaki wa Magufuli waliweza kutambua kiuhalisia Magufuli hayupo tena na siasa zake hazina nafasi na kwa haraka sana wakaanza kuimba nyimbo mpya za kumsifia Samia huku wakimdhihaki kimtindo Magufuli na siasa zake.
Wafuasi hao wa Magufuli hawafurahishwi na hatua yoyote ya maendeleo (kisiasa, kiuchumi, kijamii) inayopigwa na mama Samia ambayo Magufuli hakuifikia au hatua yoyote ya kufutwa kwa baadhi yq siasa za Magufuli zisizokuwa na maana kwa watanzania.
Wao wanataka kuona Magufuli akisifiwa katikati ya utawala wa Samia (wakati Magufuli alikuwa kinara wa kubeza serikali zote za Tanzania zilizomtangulia) au kuona utawala wa Samia ukianguka kwa namna yoyote.
Kati ya marais wote waliowahi kutawala tanzania na wote walioko madarakani bado magufuri ni maarufu kuliko wote pita mitaani ndo utajua hiloNi miaka miwili sasa tangu Magufuli afariki dunia, huku baadhi ya wafuasi halisi wa Magufuli wakigoma kuamini katika mioyo yao au kutambua katika akili zao kuwa, kwa hakika Magufuli alishakufa na milele hataweza kurejea tena huku siasa zake mbovu taratibu zikizikwa na rais Samia Suluhu.
Hao watu wanaamini kuwa japokuwa Magufuli kimwili alishakufa lakini kiroho bado anaishi katikati yetu, hivyo anaweza kuendelea kuathiri maisha yetu au ipo siku utawala na siasa zake zitafufuliwa upya na kuendelea kuongoza Tanzania!
Wapo wanasiasa wajanja waliokuwa wafuasi kindaki ndaki wa Magufuli waliweza kutambua kiuhalisia Magufuli hayupo tena na siasa zake hazina nafasi na kwa haraka sana wakaanza kuimba nyimbo mpya za kumsifia Samia huku wakimdhihaki kimtindo Magufuli na siasa zake.
Wafuasi hao wa Magufuli hawafurahishwi na hatua yoyote ya maendeleo (kisiasa, kiuchumi, kijamii) inayopigwa na mama Samia ambayo Magufuli hakuifikia au hatua yoyote ya kufutwa kwa baadhi yq siasa za Magufuli zisizokuwa na maana kwa watanzania.
Wao wanataka kuona Magufuli akisifiwa katikati ya utawala wa Samia (wakati Magufuli alikuwa kinara wa kubeza serikali zote za Tanzania zilizomtangulia) au kuona utawala wa Samia ukianguka kwa namna yoyote.
Mbona kama wewe ndio bado hujaamini?
Huyu mtu alitungisha mimba nyingi sana hapa nchini!
Inafika hatua maiti ina nguvu kuliko walio hai! Haijawahi kutokea.
Wewe unayeamini kama Mwamba Magufuli aliishafariki kiherehere cha kuandika kuhusu Mwamba Jiwe Magufuli unakitoa wapi kama wewe na waliokutuma hamumwogopi? Hebu tufanye hivi, tangazeni maandamo ya Kuadhimisha Miaka Miwili ya Kifo cha Mwamba Magufuli na ya Kuadhimisha Miaka Miwili ya Kuupiga Mwingi kwa pamoja halafu uone wapi watu watajaa!Ni miaka miwili sasa tangu Magufuli afariki dunia, huku baadhi ya wafuasi halisi wa Magufuli wakigoma kuamini katika mioyo yao au kutambua katika akili zao kuwa, kwa hakika Magufuli alishakufa na milele hataweza kurejea tena huku siasa zake mbovu taratibu zikizikwa na rais Samia Suluhu.
Hao watu wanaamini kuwa japokuwa Magufuli kimwili alishakufa lakini kiroho bado anaishi katikati yetu, hivyo anaweza kuendelea kuathiri maisha yetu au ipo siku utawala na siasa zake zitafufuliwa upya na kuendelea kuongoza Tanzania!
Wapo wanasiasa wajanja waliokuwa wafuasi kindaki ndaki wa Magufuli waliweza kutambua kiuhalisia Magufuli hayupo tena na siasa zake hazina nafasi na kwa haraka sana wakaanza kuimba nyimbo mpya za kumsifia Samia huku wakimdhihaki kimtindo Magufuli na siasa zake.
Wafuasi hao wa Magufuli hawafurahishwi na hatua yoyote ya maendeleo (kisiasa, kiuchumi, kijamii) inayopigwa na mama Samia ambayo Magufuli hakuifikia au hatua yoyote ya kufutwa kwa baadhi yq siasa za Magufuli zisizokuwa na maana kwa watanzania.
Wao wanataka kuona Magufuli akisifiwa katikati ya utawala wa Samia (wakati Magufuli alikuwa kinara wa kubeza serikali zote za Tanzania zilizomtangulia) au kuona utawala wa Samia ukianguka kwa namna yoyote.
Kubali tu alishakufa huyo mungu wako Hana lolote Tena dunianiMbona kama wewe ndio bado hujaamini?
Huyu mtu alitungisha mimba nyingi sana hapa nchini!
Inafika hatua maiti ina nguvu kuliko walio hai! Haijawahi kutokea.
Haki ya kupora wakulima korosho na fedha zao, haki ya kupora wafanyabiashara wa bureau fedha zaoMiaka 2 sasa wanaoumizwa na kifo cha jpm ni wapinzani wake kuliko waliokuwa wakimsapoti.
Huwezi furahia kifo cha mwenye haki ukabaki na amani,labda Mungu awe shemeji yako.
Umenikumbusha ofisi za wakuu wa mikoa na halmashauri ,Umesahau na majengo mapya ya mahakama kila wilaya
Tangia lini mwizi akafanya mambo Kwa uwazi,yule Lucifer miradi mingi aliifanya gizani mpigaji mkubwa yuleWewe ni miongoni mwa wale wasiokuwa na hekima au kichwanj wewe ni kichaa. Kauli zenu hizi zinamletea mazingira magumu sana kisiasa Rais Dr Samia. Kwa ufupi Rais Samia kura za kanda ya ziwa mpaka sasa hana kabisa na asikudanganye mtu.
Na kilichosababisha ni kauli za kijinga namna hii. Hakuna anayesema eti siasa za Dkt Magufuli zilikuwa nzuri sijui. Watu wanachoangalia ni umakini wake ktk kuendesha serikali, vitu vilifanyika kwa uwazi. Ni ngumu sana mtu aliyekuwa ana nunua mchele kilo.
Kwa shs 1200 leo hii 2500 umuambie eti Dkt Magufuli alikuwa mtu mbaya, labda uwe kichaa utajaribu kuongea hivyo. Ndiyo maana hata mbowe na genge lake wanatumia nguvu sana ila watu wanawaona nao wamenunuliwa na akili zao hazipo sawa. Kwa ufupi moto uliopo chini juu ya upinzani wa Dkt Samia ni mkubwa sana tena hali yake kisiasa ni mbaya sana kwa sababu ya kuwaendekeza mijitu kama wewe yenye kudhani kumdhihaki Dkt Magufuli unaongeza umaarufu wa Dkt Samia.
Kama MWENYEZIMUNGU alimundoa yule Lucifer hawezi shindwa kwa nyie shetani ndogondogoUkitaka asaulike vyunja daraja la kijazi, stand zote iringa,sumbawanga, Singida, Dodoma, Mwanza, Njombe, masoko mikoa yote, hospital zote za wilayaa, machinjio ya ng'ombe, barabara zote, umeme mpaka vijijini, kidume kilivyosimamia Bwawa la Nyerere wakati wakina zito ,mbowe waliufyata Kwa wazungu kidume kikalianzisha, SGR, Daraja la Tanzanite, Daraja la Musisi , elimu bure nk app tutamsaau
Hata wale mliokua mnawauwa walikua na vyetu fekiWewe tena na hivi alikuwa mkristo[emoji28][emoji28][emoji28]
R.I.P Daudi Mwangosi na Dr Sengondo Mvungi.R.I.P Ben Saanane na Azory Gwanda