Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Napendekeza jela ziondolewe zote mjini. Mjini zibaki mahabusu tu. Wapelekwe sehemu wanazoweza kulima mashamba ya maana. Huko wapewe hata wali nyama, ila wazalishe wenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gereza la Songwe ni gereza la kilimo na linamiliki mashamba makubwa sana ya mahindi na maharage, kwanini wanapewa chakula kidogo?
hao watoto watakula mawe siyoIpo haja ya jela watu waruhisiwe kushiriki mapenzi na wake zao, mfano sabaya unamfunga Miaka 30 bado kesi zingine still ni kijana hana mtoto kwann asipewe haki ya kutungisha mimba Ili akitoka jela akute watoto wake ni wakubwa wamfae uzeeni.
Mke wa mfungwa atalalwa na nani sasa Ili apate watoto baada ya mke kuruhusiwa kuingia jela kushiriki na mme wake.hao watoto watakula mawe siyo
mwanamke yupi yupo tayari kulalwa na mfungwa ?
Chokoraa watoke wapi si mtu anazaa na mke wakeSerikali wanasema wanaogopa kupata watoto wengi wa mitaani (Machokoraa)
Uliza uambiwe! Wafungwa wanapewa chakula cha kuwafanya wasife. Ni mojawapo ya kinga kwa Askari wanaowalindaView attachment 2143225
Hizi jela zetu zimekuwa sehemu ya mateso na sio sehemu ya kumrekebisha mtu tabia.
Mfano hapa jela ya Mbeya Mjini watu wanafanya kazi asubuhi hadi saa nane mchana, hio kazi wanayofanya ni nzito ambayo mturaiani mtu anaweza kulipwa hela hata ya milo miatu lakini wao wanapewa chakula mara moja tu kwa siku saa tisa mchana, hicho chakula ni ugali maharage ambao haufikii hata nusu sahani, hapo ni mpaka kesho tena.
unyanyasaji wa vipigo ni wa hali ya juu, nakumbuka rais Magufuli alitoa amri Wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana na wapigwe mateke, wafungwa hawana haki kabisa ya kutoa maoni, mfano wakigoma chakula ni kidogo na wanakula mara moja kwa siku wakifanya mgomo huwa wanapigwa sana.
Pia hakuna haki kwa walio katika ndoa kuwa faragha, mfano kijana wa miaka 27 anafungwa miaka 15, wakati huo bado hana mtoto ila ana mchumba / mke aliemwacha uraiani, hapo ni kwamba hataweza kumtungisha mimba mke wake mpaka kifungo kiishe na muda huo umri wake utakua 40+, kwa hali hii ni wazi kabisa jela inatengeneza mazingira ya mwanamke kumkimbia mme wake, atazalishwa na kuolewa na mwanaume mwengine uraiani kwa sababu jela hakuna haki ya wanandoa. hali hii nayo inapelekea jela ziwe sehemu za kutengeneza mashoga.
Soma uelewe matusi ni mtu ajapita shule.Mfungwa atungishe mimba, nani atalea huyo mtoto? Wewe uko tayari kutoa binti yako akatungishwe mimba na mfungwa? Kumbafu wewe.
Hilo la wafungwa kulipwa pesa na kuwekwa kwnye ACC zao ni ngumu sn kwa Tanzania.
Kama mahabusu ana kaa week anatoka na kukuta Askari kajimilikisha simu pamoja na viatu vya mtuhumiwa.
Unadhani ya gerezani unapokaa miaka pesa zako itawezekana kubaki salama?
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Jela unapata vyote kuteswa na kunyimwa UHURU
Mazao mengine yanaenda kuuzwa na wenye jela wapate pesa ya kuhonga na kunywa bia.Gereza la Songwe ni gereza la kilimo na linamiliki mashamba makubwa sana ya mahindi na maharage, kwanini wanapewa chakula kidogo?
hapa sawaPia makahaba waruhisiwe kuingia jela baada ya kupimwa Ili kupunguza joto
ukishakula mvua tu, mke hamu na wewe hana,Mke wa mfungwa atalalwa na nani sasa Ili apate watoto baada ya mke kuruhusiwa kuingia jela kushiriki na mme wake
Sabaya alifunga lini ndoa? Unataka familia ya huyo binti ibebe mzigo wa kulea mtoto wa mfungwa? Acha kutumia masaburi, tumia akili.Soma uelewe matusi ni mtu ajapita shule.
Mke wa mfungwa kwann anyimwe haki ya kuzaa na me wake aliyejela?
Wafungwa wote kwann wananyimwa haki ya kuzaa?
Kuna haja kubwa hili swala ulilolileta hapa kupewa a special national attention.
Tupaze sauti zetu mpaka zimfikie mama Samia Suluhu Hassan
Mke wa mfungwa atalalwa na nani sasa Ili apate watoto baada ya mke kuruhusiwa kuingia jela kushiriki na mme wake.
Pia makahaba waruhisiwe kuingia jela baada ya kupimwa Ili kupunguza joto