Sabaya ni jambazi 100%. Lakini zingatia naye ni binadamu.Unataka hilo jambazi liache vimelea?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sabaya ni jambazi 100%. Lakini zingatia naye ni binadamu.Unataka hilo jambazi liache vimelea?
Hatuendeshi nchi kwa hisia binafsi, bali kwa guidelines ambazo sisi Tz ni signatory, adhabu ni ile inayotolewa na hakimu tu, ya kukuondolea uhuru wa ‘movement’ zako tu, yaani ukuwa restricted katika movement, si kukutesa physically au kisaikolojia, hiyo ni extra judicial maana haijatoka kwa hakimu adhabu hiyo.Tunatofautiana namna tunavyowachukulia wafungwa...
Kuwapa mlo mmoja wamevunja utaratibu wa magereza?Hatuendeshi nchi kwa hisia binafsi, bali kwa guidelines ambazo sisi Tz ni signatory, adhabu ni ile inayotolewa na hakimu tu, ya kukuondolea uhuru wa ‘movement’ zako tu, yaani ukuwa restricted katika movement, si kukutesa physically au kisaikolojia, hiyo ni extra judicial maana haijatoka kwa hakimu adhabu hiyo.
Wafungwa wanafanyishwa kazi ambazo kama angekuwa analipwa huku uraiani ingetosha kumlisha yeye na familia yake milo mitatu, sasa iweje yeye anyimwe milo mitatu? Pia hakimu kamhukumu kufungwa kwa maana ya kuondolewa uhuru, lakini sio kuteswa kimwili au kiakili..Kwani kule unakwenda Holiday ?
Jela sio Sehemu ya kwenda, ile sio Hoteli au unashauri tuongezewe Tozo ili Jela wapate milo minne (kwanini wasilime bustani na kuzalisha ili wapate milo hata kumi na ziada wauze) au better still kujitahidi kutokwenda huko....
Kama watu wazima wameridhiana wewe ni nani uingilie, kuna wanawake wanajiweza kiuchumi, mtu kama Zari au Aunty Ezekiel ukimtumgisha mimba atashindwa kulea? Ni maamuzi binafsi yenye ridhaa baina ya watu wazima wawili, hupaswi kuingilia..Mfungwa atungishe mimba, nani atalea huyo mtoto? Wewe uko tayari kutoa binti yako akatungishwe mimba na mfungwa? Kumbafu wewe.
Kwani unahisi hajuiKuna haja kubwa hili swala ulilolileta hapa kupewa a special national attention.
Tupaze sauti zetu mpaka zimfikie mama Samia Suluhu Hassan
Sabaya ni jambazi 100%. Lakini zingatia naye ni binadamu.
wanajilisha skuizi kupitia hizo kaziKuwafanyisha Kazi wafungwa bila kuwalipa ni utumwa na ni dhuluma pia ni kinyume na Sheria ya maadili ya kazi.
Inatakiwa mfungwa akifanya Kazi alipwe awekewe kwenye account yake Ili akitoka jela apate cha kuanzia.
Sio sahihi kuwatumikisha wafungwa maana biashara ya utumwa ilishakufa.
Hata Wewe unaweza fungwaHuo uzungu hatuutaki nchini mwetu
Unatumia simu ya mzungu kuukataa uzungu?Huo uzungu hatuutaki nchini mwetu
Hata huyo atagongwa tu. Wewe uweze wenzio wasiweze?Solution ni kuoa kimwanamke kisicho na chura. Yaani akivaa Dera hujui mbele Wala nyuma
Kama jiwe alivyomuomba Mungu wa bibilia ya mabeberu ili Covid19 iliyoletwa na mabeberu itoweke.Unatumia simu ya mzungu kuukataa uzungu?
Mbeya Kuna Magereza mawili, Kuna Lile la Songwe kule mbalizi ndilo la kilimo ,halafu Kuna hili la mjini linaitwa RuandaGereza la Songwe ni gereza la kilimo na linamiliki mashamba makubwa sana ya mahindi na maharage, kwanini wanapewa chakula kidogo?
Kama huwezi kufikisha saa 4 asubuhi bila kula jiandae jela unaweza kuwa mke wa mtumimi ambaye hata saa 4 asubuhi siwezi kufikisha hata kula.siku wakinifunga nahisi wataniua njaa. [emoji26][emoji26][emoji26]
Lakini haitii maumivu Kama mke wako mwenye chura hasa, miguu ya kihaya, maziwa ya wastani , asiyetia mgorogo usikie Kuna jamaa kapitia. Wahah hata Tanga mtu unaweza kwenda.Hata huyo atagongwa tu. Wewe uweze wenzio wasiweze?
[emoji23][emoji23][emoji23]aiseeeeYuko jirani yangu hapa Kimara B alikwenda kurushia mawe kanisa la walokole usiku wa manane kisa wanampigia makelele hawezi kulala. Asubuhi polisi wakaja kumbeba, utani utani kaja mtu mmoja kumuwekea dhamana , policcm wakasema wanataka wadhamini wawili, kisa mchungaji aliwapa ubani. Ilikua ijumaa, kufumba na kufumbua mshikaji Yuko gerezani.
Amesema kule kula kwa foleni, ugali na Maharage, siku ya kwanza walimpa Maharage 17 siku ya pili 14. Kujisaidia haja kubwa unasimamiwa na kijana mdogo na unaambiwa UFANYE haraka.
Kulala ndio ishu, maana mnakabana Kama mihogo na joto hili. Vidirisha viko juu kabisa haviingizi hewa.
Ameapa hata Kama walokole watapiga mziki mpaka saa Tisa usiku. Hatowagusa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hapana huwezi kufa ila cha moto utakionamimi ambaye hata saa 4 asubuhi siwezi kufikisha hata kula.siku wakinifunga nahisi wataniua njaa. [emoji26][emoji26][emoji26]
Tena ataolewa mitala,Kama huwezi kufikisha saa 4 asubuhi bila kula jiandae jela unaweza kuwa mke wa mtu