Wafungwa kula mlo mmoja kwa siku na hufanya kazi ngumu, hii ni haki?

Napendekeza jela ziondolewe zote mjini. Mjini zibaki mahabusu tu. Wapelekwe sehemu wanazoweza kulima mashamba ya maana. Huko wapewe hata wali nyama, ila wazalishe wenyewe.
 
Kuna haja kubwa hili swala ulilolileta hapa kupewa a special national attention.

Tupaze sauti zetu mpaka zimfikie mama Samia Suluhu Hassan
 
Wangekuwa wote waliopo huko wametenda kosa kweli, ni haki yao kula hivyo, ili wakitoka wasirudie tena kosa
 
Ipo haja ya jela watu waruhisiwe kushiriki mapenzi na wake zao, mfano sabaya unamfunga Miaka 30 bado kesi zingine still ni kijana hana mtoto kwann asipewe haki ya kutungisha mimba Ili akitoka jela akute watoto wake ni wakubwa wamfae uzeeni.
hao watoto watakula mawe siyo
mwanamke yupi yupo tayari kulalwa na mfungwa ?
 
hao watoto watakula mawe siyo
mwanamke yupi yupo tayari kulalwa na mfungwa ?
Mke wa mfungwa atalalwa na nani sasa Ili apate watoto baada ya mke kuruhusiwa kuingia jela kushiriki na mme wake.
Pia makahaba waruhisiwe kuingia jela baada ya kupimwa Ili kupunguza joto
 
Uliza uambiwe! Wafungwa wanapewa chakula cha kuwafanya wasife. Ni mojawapo ya kinga kwa Askari wanaowalinda
 
Mfungwa atungishe mimba, nani atalea huyo mtoto? Wewe uko tayari kutoa binti yako akatungishwe mimba na mfungwa? Kumbafu wewe.
Soma uelewe matusi ni mtu ajapita shule.
Mke wa mfungwa kwann anyimwe haki ya kuzaa na me wake aliyejela?
 

Wanaweza wakaweka utaratibu magereza zikaingia ubia na wawekezaji.
Mwekezaji anatumia nguvu Kazi ya wafungwa kwenye miradi inayomilikiwa na magereza serikali inabakia na suala la usimamizi wa wafungwa na kuhusu macho ya uchumi na uzalishaji usimamiwa na mwekezaji then mfungwa uwekewa pesa yake huku akipata ujuzi akimaliza kifungo upewa mtaji mfano pesa na vifaa apate pa kuanzia maisha.
 
Pia makahaba waruhisiwe kuingia jela baada ya kupimwa Ili kupunguza joto
hapa sawa
Mke wa mfungwa atalalwa na nani sasa Ili apate watoto baada ya mke kuruhusiwa kuingia jela kushiriki na mme wake
ukishakula mvua tu, mke hamu na wewe hana,
hata ule 'ute' hatotoa anajua 'kitega uchumi' wake hayupo
tegemea adai talaka badala yake
 
Soma uelewe matusi ni mtu ajapita shule.
Mke wa mfungwa kwann anyimwe haki ya kuzaa na me wake aliyejela?
Sabaya alifunga lini ndoa? Unataka familia ya huyo binti ibebe mzigo wa kulea mtoto wa mfungwa? Acha kutumia masaburi, tumia akili.
 
Inauma Sana Kila nikifikiria wafungwa wa nchi hii wanavyoteseka,wanatumiwa kisiasa Sana kama nguvu Kazi ya kuwanufaisha wachache,
Hua nikifikiria siku Moja nikija kua kiongozi nibadilishe Mifumo ya kitumwa Kwenye magereza yetu hata wale waliohukumiwa vifungo vya maisha wahisi angalau ladha ya maisha na sio wanaishia kuona maisha kwao hayana thamani kisa mistake walizofanya na kuwafikisha hapo,

Hili swala linahitaji mjadala wa kitaifa kunusuru Hali maana wote humu ni wafungwa watarajiwa,usijione kama haikuhusu Hivi Haya maisha muda wowote historia yako Inaweza geuka Mpaka usiamini kisa maswala madogo madogo tu
Ushakua mfungwa tayari,
Kwani Sabaya aliwahi tegemea Kwa nafasi aliyokua nayo kama atakuja ingia jela?
 
Kuna haja kubwa hili swala ulilolileta hapa kupewa a special national attention.

Tupaze sauti zetu mpaka zimfikie mama Samia Suluhu Hassan

Umepuyanga hapo kwa kumtaja huyo kiumbe uliyemuita mama.
 
Mke wa mfungwa atalalwa na nani sasa Ili apate watoto baada ya mke kuruhusiwa kuingia jela kushiriki na mme wake.
Pia makahaba waruhisiwe kuingia jela baada ya kupimwa Ili kupunguza joto

Hivi jela za wanawake pia hapo umezingatia?
 
achana na kukosea mtaani na jeshi la polisi acheni kubambikiza kesi watu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…