“Sehemu zingine ni ujenzi wa barabara pamoja na nyumba za ghorofa katika milima mbalimbali ambayo inaangalia ufukwe wa Ziwa Victoria,” alisema.
Uwekezaji ni muhimu, Mwanza umejengwa ovyo ovyo sana. Mji upangwe na barabara zipanuliwe na hizo apartments zitasaidia kupunguza tatizo la makazi.Ulivyo Soma ni sahihi kabisa wala hujakosea. Ndohabari ya mjini, zile nyumba zote zilizopo kwenye mountain inabidi zitoke jamaa wa Brazil aje ajenge na Familia yake...
Kwa mashemeji wenye maneno kama wewe unapewa tu ili kuepusha lawama za dadaShemeji atakupa bando ya kushinda mitandaoni kila siku? Wewe unaweza fanya hivyo Kwa shemeji Yako?
Ya ngorongoro yanakuja mwanza. Mioyo ijiandae tu kuyapokeaSasa hizo ni nyumba au takataka? Walitakiwa waondolewe kitambo tuu maana wanachafua Mji..
Hao watu wa milimani Nina uhakika watakuwa wa kwanza kuitikia mwito maana watapewa maeneo mazuri yaliyopimwa na Fidia juu..
Nyanzaga Kule Sengerema wamehama kupisha Mwekezaji wa mgodi mkubwa dhahabu sembuse hao maskini wa huko milimani?
Nduhu tabhuuuuuuuKwa mashemeji wenye maneno kama wewe unapewa tu ili kuepusha lawama za dada
Baki na ujinga wako kichwaniYa ngorongoro yanakuja mwanza. Mioyo ijiandae tu kuyapokea
Ndio hivyo dada kakupanda kichwaniKwa mashemeji wenye maneno kama wewe unapewa tu ili kuepusha lawama za dada
lazima niwe mpole ilitwende sawa we endelea kushika limot king'amuzi kikiisha ntanunua kingine,Ndio hivyo dada kakupanda kichwani
Wakigoma itumike loliondo styleUlivyo Soma ni sahihi kabisa wala hujakosea. Ndo habari ya mjini, zile nyumba zote zilizopo kwenye mountain inabidi zitoke jamaa wa Brazil aje ajenge na Familia yake.
--------
Wawekezaji hao wanatarajia kuwekeza kwenye sekta ya miundombinu, viwanda na utalii katika maeneo ya Igogo, Isamilo na Kegeto.
Akizungumza na Nipashe ofisini kwake hivi karibuni, Meya wa Jiji la Mwanza, Sima Constantine, alisema mpango huo unalenga kuboresha miundombinu pamoja na kukuza sekta ya utalii utakaogharimu Sh. bilioni 150.
Alisema makubaliano hayo yanahusisha wawekezaji kutoka nchini Brazil katika Jiji la Rio de Janeiro, ambao walifika jijini humo, kuangalia fursa za uwekezaji katika miundombinu, viwanda na utalii.
Costantine alisema maeneo mengine ambayo wawekezaji hao wanayalenga ni pamoja na ujenzi wa kiwanda cha pembejeo za kilimo kwa ajili ya kuwahudumia wananchi wa Kanda ya Ziwa.
“Sehemu zingine ni ujenzi wa barabara pamoja na nyumba za ghorofa katika milima mbalimbali ambayo inaangalia ufukwe wa Ziwa Victoria,” alisema.
Alitaja sehemu zingine watakazozigusa kuwa ni pamoja na kutengeneza eneo la ufukwe wa Ziwa Victoria sehemu ya kliniki, Nera jirani na kituo cha polisi wa majini ambalo litatengenezwa na kuwa sehemu za uwekezaji na utalii.
Constantine alisema mpango huo utasaidia ukuaji wa uchumi wa Jiji la Mwanza na mtu mmoja mmoja.
Alisema wawekezaji hao wana umoja wao nchini Brazil unaojulikana kama ‘Africa Unity’ na mpaka sasa wamewekeza nchini Dubai na Ethiopia.
Aliongeza kuwa katika makubaliano ya mpango huo, Jiji la Mwanza litatoa ardhi na wawekezaji watatoa mtaji, teknolojia na mradi huo utakapokamilika utanufaisha pande zote mbili.
ULIPAJI FIDIA
Akizungumzia uwekezaji wa maeneo ya milimani, Constantine alisema, jiji limepewa jukumu la kulipa fidia katika maeneo ya Igogo, Isamilo na Kegoto ambayo yapo mlimani ili kupisha uwekezaji huo.
Constantine alisema wawekezaji hao wamekubaliana na jiji litafute ardhi na kukamilisha mipango yote ndani ya miezi mitatu kuanzia mwanzoni mwa mwezi huu kabla ya kazi hiyo kuanza.
Aliongeza kuwa wawekezaji hao wanaendelea kutafuta maeneo mengine ya kuwekeza ikiwamo mikoa ya Dodoma na Arusha.
Chanzo: Nipashe
anawakomoaje? Watu wanajenga milimani hovyo hovyo hata vyoo hawana alafu unawatetea? kweli we mpuuziHuyu mama ana chuki na jamii za wafugaji.
Ni kama vile anawakomoa.
Mbona zanzibar hawauzi ila wanakodisha maeneo kwa wageni?Utu gani? Hizo ni nyumba auntakataka? Kuwaacha kwenye Hali hiyo ya umaskini ndio utu? Acha upumbavu..
Kule magomeni wanapisha viwanja Serikali inajenga wanapewa floor za Juu harafu floor za Chini na vyumba vya Kati inakuwa mali ya Serikali inaingiza pesa..
Hata hao watoke kwenye huo umaskini wakapewa viwanja vizuri nje ya Mji na Fidia harafu hayo maeneo yako potential yaendelezwe serikali ipige pesa.
KweliUkiona umetoa comment halafu kila mtu anakushambulia wewe peke yako, JIANGALIE, UNALOLITETEA EIDHA NI LA KIJINGA AU WEWE MWENYEWE NDO UPO HIVYO
Buzuruga mlima upi?Mbona hii kitu ilikuwepo toka awamu ya nne jameni? Kigoto kuliwekwa beacon, Kiseke mlima wa Hali ya hewa, Igogo na Isamilo.Mwenda zake alijua huu mchongo na ndio uliompa kura Kanda ya Ziwa 2015 kwa kuchukua tatizo Hilo kuwa fursa kwake nakumbuka tukiwa CCM Kirumba ktk kampeni Wananchi wa maeneo husika walizirai na kulia akasema hakuna mtu kuguswa, so it's just a matter of time waje na Buzuruga