inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Ni hiyari kuoa mke zaidi ya mmojaLabda kuoa wake wengi
Ambayo sio sifa
Mo na asas wana mke mmoja mmoja
Wewe chakubanga unakaa nyumba ya kupanga unawake wanne
Sent using Jamii Forums mobile app
Wabusu jiwe hamjui mnabusu jiwe gani?Jiwe gani unalozungumziaga!?..na unalionea wivu kweli Hilo jiwe kubusiwa!!.nenda kanisani ukapakwe mafuta na askofu halafu akubusu,simpo tu!!
Tunakuuliza wewe unayetuona tukibusu jiwe,jiwe gani Hilo!?..hebu tuoneshe na sisi,huenda tu vipofuWabusu jiwe hamjui mnabusu jiwe gani?
Na pia nmetuacha mbali kwa roho mbaya na kula rushwa.Hamia kwao
Kila dini na taratibu zake
Mbona sisi tumewaacha mbali kwenye umiliki wa shule hospital vyuo
Hapo hujilinganishi nao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijui kama nimekuelewa vizur,lkn kama nimekuelewa vizur iko hivi..Hii nimeipenda watu waepuke zinaa ,hivi na kuachana ikoje ,ama ndio Ile kuwa muishi ndani mwezi bila kusemeshana ndio urudi kuwa bado nahitaji kumpati talaka.
Kuna mmoja alishatoa kadi akadai minimum iwe 100k mchango
Ila Wana robo mbaya SANA ,hawana utu wa kusamehe au kusaidia afadhari kidogo labla wanawakeNdugu zangu japo mimi ni mkristo ila hawa ndugu zetu waislamu linapokuja suala la ndoa na mazishi huwa hawana mambo mengi.
Mtu anafariki leo kesho mapema tu anazikwa kama hakutokuwa na safari ya kumsafirisha.
Kwenye ndoa nako hakuna kuremba watu wamependana wakatambulishana kijana wa kiume akaridhia mahari dhidi ya binti ni fasta to ndoa inafungwa.
Mahari zenyewe ni kawaida tu si kama huku kwetu, wanachojali wao ni watu waowane na ndio maana ni ngumu sana kukuta jamii nyingi za waislamu wanaishi pamoja bila ndoa.
Na ukimuacha hutakiwi kuoa au kuolewaTena wao (Wakristo) sheria ya talaka inawabana mno, huwezi kumuacha mkeo kwa kosa jingine lolote isipokuwa la uzinifu tu, kwa Waisilamu hiyo hakuna, kama mmechokana basi talaka inaswihi ili kila mmoja akatafute ahueni huko mbele ya safari.
Hii pole sio yeye peke yake. Wote waliotoa, wanaotoa na watakaotoa mahari. Hasa zile za mamilioni.
utatakiwa umuoe tena,mazingira ya kumuoa tena ni Kwa talaka moja na mbili
Mashoga na machungudoa wengi ni hao wa mahari ndogoKuna watu huwa wanafanya dhihaka kuwa waislamu mahari ndogo na bla bla kibao,hawajui lengo ni kufanya ndoa iwe nyepesi ili watu wafunge ndoa waepuke zinaa,lkn upande wa pili kwakuwa hamuogopi dhambi huwa mnadunda Tu!
Kila kitu kina utaratibu wake. Ndoa inahitaji hekima na busara ndiyo maana ukifunga ndoa ya Kikristo jua kbsa kutoka kwenye moyo na akili yako imeridhia.Ila kweli watu wamekula kwa chips kavu na ukimuoa wanaendelea kumla kama kawaida ila ndo utaratb uo atuna jinsi.ila waislam nawakubal sana upande wa ndoa chap tu unamawazo..jamaa mlimuambia M ngap,?